Nazi huwezi ukaimenya na kucha kama chenzaSasa hivi nasikikiliza hotuba ya Magufuli akiwa Kawe. Naona kama vile analazimisha achaguliwe Gwajima na diwani wa CCM ndo achaguliwe.
Ni kama anatishia vile CCM mshaurini mgombea wenu angalau awe na lugha ya ushawishi.
Ccm itashindaUbabe Ubabe tu.. Mgombea wa CCM tunasikia yeye hajiombei kula bali Wagembea wake wa Ubunge na udiwani ndio uwaombea...Kama ni Kweli hii imekaaje??
Ndio mbunge wa kawe huyo, kubali kataa! Mdee akatatute mume tu..Nguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.
Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.
Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.
Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.
Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.
Gwajima bado sana.....Mkuu atalala hoi bila sababu....Gwajima ni kimeo sijui kwa nini walimpitisha..nahisi wamemfanyia makusudiSasa hivi nasikikiliza hotuba ya Magufuli akiwa Kawe. Naona kama vile analazimisha achaguliwe Gwajima na diwani wa CCM ndo achaguliwe.
Ni kama anatishia vile CCM mshaurini mgombea wenu angalau awe na lugha ya ushawishi.
Hivi kwenye ile clip ule ni mkono wake au wa baunsa...Ndio mbunge wa kawe huyo, kubali kataa! Mdee akatatute mume tu..
Wanasafisha nguruwe pori.Nguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.
Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.
Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.
Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.
Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.
Wewe mbona huolewi unadanga tu?Ndio mbunge wa kawe huyo, kubali kataa! Mdee akatatute mume tu..
Mzilankende hajuagi kushawishiSasa hivi nasikikiliza hotuba ya Magufuli akiwa Kawe. Naona kama vile analazimisha achaguliwe Gwajima na diwani wa CCM ndo achaguliwe.
Ni kama anatishia vile CCM mshaurini mgombea wenu angalau awe na lugha ya ushawishi.
Kwa kupindua meza kama kawaida.Ccm itashinda
Anajua hashindiUbabe Ubabe tu.. Mgombea wa CCM tunasikia yeye hajiombei kula bali Wagembea wake wa Ubunge na udiwani ndio uwaombea...Kama ni Kweli hii imekaaje??
Mkweche uliogongwa na scania sioGwajima is damaged beyond repair
Gwajima ni Oil chafuNguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.
Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.
Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.
Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.
Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.
Hizi ndio akili zetu watu weusi!!!yaani unakaa unaamini kabisa hotuba ya mwanasiasa aliepo madarakani,ambae kwenye utawala wake,watu wamepotea,watuHotuma ya leo imeleta matumaini makubwa sana !
Ile kauli yake kwamba watashinda kabla ya sadaka ya kwanza ilimfurahisha mnoooooooo Jiwe mpaka akamkata mtoto wa dada🤣🤣🤣🤣Gwajima bado sana.....Mkuu atalala hoi bila sababu....Gwajima ni kimeo sijui kwa nini walimpitisha..nahisi wamemfanyia makusudi