Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Yote tisa lakini kumi Gwajima ndiye anayefaa kuwawakilisha wananchi wa Kawe bungeni!
Mara akishatangazwa mshindi ndani ya miezi michache tu tofauti na value addition itaanza kuonekana jimboni kwa wananchi!
Bahati imekuja hii tuipokee na kuiunga mkono na siyo kuipiga mateke!
Mara akishatangazwa mshindi ndani ya miezi michache tu tofauti na value addition itaanza kuonekana jimboni kwa wananchi!
Bahati imekuja hii tuipokee na kuiunga mkono na siyo kuipiga mateke!