Uchaguzi 2020 CCM inatumia muda mwingi kumsafisha Gwajima lakini hasafishiki

Uchaguzi 2020 CCM inatumia muda mwingi kumsafisha Gwajima lakini hasafishiki

Sijajua ni vigezo gani walitumia CCM kumuweka huyu jamaa....

Kama lilikuwa ni pendekezo la mwenye kigoda basi wanaondoka naye!!
 
Yote tisa lakini kumi Gwajima ndiye anayefaa kuwawakilisha wananchi wa Kawe bungeni!

Mara akishatangazwa mshindi ndani ya miezi michache tu tofauti na value addition itaanza kuonekana jimboni kwa wananchi!

Bahati imekuja hii tuipokee na kuiunga mkono na siyo kuipiga mateke!
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Hamnionei hata huruma sauti hadi inakauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahitaji msaada wa kiroho. Kama za Gwajima kwako ni nguvu, haishangazi wewe ni msukule!


Siwezi kuwa vile unaweza kuzani bali niko vile nilivyo kwa kadiri ya rehema na neeema za Mungu zinavyoachiliwa kwangu kila siku asubuhi!

Gwajima hazuiliki.
 
Siwezi kuwa vile unaweza kuzani bali niko vile nilivyo kwa kadiri ya rehema na neeema za Mungu zinavyoachiliwa kwangu kila siku asubuhi!

Gwajima hazuiliki.
MWENYE REHEMA NA NEEMA HAWEZI KUWEKEZA IMANI YAKE KWA GWAJIMA! MISUKULE MKO WACHACHE MNO, MNAPIGWA MAPEMA TU. NA CCM WOTE WENYE AKILI TIMAMU WAMEISHAMFUTA MAPEMA HUYO TAPELI...
 
Nguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.

Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.

Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.

Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.

Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.


View attachment 1600665

 
Punguani, katafute malimao.Siku Bishop. Gwajima, akiapishwa ndio utajua wananchi tumeamua.
Wananchi wa wapi wameamua? hakuna mwananchi wa kuamua kumpigia kura Gwajima labda muibe kura atakuwa Mchungaji mwizi wa kura
 
MWENYE REHEMA NA NEEMA HAWEZI KUWEKEZA IMANI YAKE KWA GWAJIMA! MISUKULE MKO WACHACHE MNO, MNAPIGWA MAPEMA TU. NA CCM WOTE WENYE AKILI TIMAMU WAMEISHAMFUTA MAPEMA HUYO TAPELI...


Usiemtaka anakuja , jipange kumpokea!

Gwajima hazuiliki!

Hakuna namna Halima anaweza kufaa tena!

Mmefilisika kwa hoja mmekazana kutumia nguvu kubwa kuonesha kuwa Gwajima ni tapeli nikikuuliza utapeli wake ni upi kwa mfano?

Je unaweza kuuthibitisha?
 
Usiemtaka anakuja , jipange kumpokea!

Gwajima hazuiliki!

Hakuna namna Halima anaweza kufaa tena!

Mmefilisika kwa hoja mmekazana kutumia nguvu kubwa kuonesha kuwa Gwajima ni tapeli nikikuuliza utapeli wake ni upi kwa mfano?

Je unaweza kuuthibitisha?
Kama hujui kuwa Gwajima ni tapeli, basi upo Dar es Salaam kwa bahati mbaya! Gwajima hashindi, na mkimshindisha mtabaki midomo wazi. Kama mnafikiri wananchi ni wajinga, safari hii mtajua kumbe mlikuwa mnajidanganya. Kawe hatuwezi kuongozwa na TAPELI. Tumewaambia Kawe hatuishi Misukule, Pumbav!
 
Nguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.

Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.

Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.

Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.

Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.


View attachment 1600665


Mbona inaumika nguvu kubwa sana!!
 
Gwajima amchague yeye, sisi tutamchagua Halima Mdee.

Wasukuma warudi shamba mjini ni kuaibishana tu.

Angesema tumpelekew Halima Mdee tungemuelewa,sasa anamlilia Gwajiboy wa nini?!
 
Nimesikia gwajima atamleta mia Khalifa na mandingo bongo waje kufanya utalii ni dhahiri hawa ni pornstars wenzake
 
Kama hujui kuwa Gwajima ni tapeli, basi upo Dar es Salaam kwa bahati mbaya! Gwajima hashindi, na mkimshindisha mtabaki midomo wazi. Kama mnafikiri wananchi ni wajinga, safari hii mtajua kumbe mlikuwa mnajidanganya. Kawe hatuwezi kuongozwa na TAPELI. Tumewaambia Kawe hatuishi Misukule, Pumbav!


Tarehe 28-10-2020 siyo mbali wacha tusiandikie mate wakati wino upo !

Gwajima hazuiliki.
 
Back
Top Bottom