Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Matumaini hewa!Hotuma ya leo imeleta matumaini makubwa sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumaini hewa!Hotuma ya leo imeleta matumaini makubwa sana !
Yeye tayari ni Rais hivyo anataka watu sahihi ili awaletee Watanzania Mabadiliko ya kweliUbabe Ubabe tu.. Mgombea wa CCM tunasikia yeye hajiombei kula bali Wagembea wake wa Ubunge na udiwani ndio uwaombea...Kama ni Kweli hii imekaaje??
We umeolewa au miaka yako 45 una jihesabu msichanaNdio mbunge wa kawe huyo, kubali kataa! Mdee akatatute mume tu..
Umeshupaza shingo kwa ajili ya Gwajima.Unaweza unakomaa pengine hata kupiga kura kawe haumo.Ss wakazi wa kawe nikiwa na mlolongo wa familia yangu jirani zangu hapa ukwamani zaidi ya 50 tunasema Gwajima Big NO.kamuapishe unayemjua wewe.Punguani, katafute malimao.Siku Bishop. Gwajima, akiapishwa ndio utajua wananchi tumeamua.
Hebu muone hapa..hovyo kweli haka kamtu..mnafique kuliko unafique wenyeweNguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.
Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.
Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.
Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.
Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.
mbona hapa kachakaa sana kampeni ngumuHebu muone hapa..hovyo kweli haka kamtu..mnafique kuliko unafique wenyeweView attachment 1600664
Kawe anakubalika na labda na walokole, lakini sisi wakotoliki hatumtaki, waislam ndio wakisikia jina lake wanapata kichefuchefu hasa wale wengine maanswar sunna ndio wanatapika kabisaaaaWewe wa wapi kwa akili yako ndogo unaona ivyo, Gwajima tunamkubali kawe hiyo iko waziwazi
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Hafai kuwa kiongozi hata kidogo kama ambaye aliyemteua naye hafaiNguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.
Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.
Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.
Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.
Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.
View attachment 1600665
Mdini snmbona hapa kachakaa sana kampeni ngumu
nikimcheki kama jamaa mmoja muuza mkaa
Amekuwa kiluwiluwi anashinda kwenye maji ya mvua huko Basihayambona hapa kachakaa sana kampeni ngumu
nikimcheki kama jamaa mmoja muuza mkaa
Unawezaje kumchafua mtu ambae ametengeneza na kusambaza mkanda wake wa ngono?Kama wapinzan hawaogop kushindwa kwanin wanatumia mda mwingi kumchafua Gwajima na kumsema vibaya kuliko hata kunadi sera zao yan kila mahali ni Gwajima Gwajima inaonyesha ni jinsi gani Gwajima anawanyima Usingizi Hasa Halima mdeee Gwajima oyeeee
Nilichogundua nikuwa sio Kweli kwamba Gwajima alikuwa mtu sahii Sana kawe kuliko hao wenzake ila alichokifanya magufuli nikumpa Gwajima nafasi kwahofu yaambacho kingetoa kwawale wawili furaha au mwenzake lakn kumbe kwahil ndio kajimba kabsa kaburi la CCM.aliogopa kumpa furaha kwakuhc ingetumika propaganda ya mtoto wadada, Kama ambavyo baadhi viongozi miaka ya nyuma walivyotekaga walipo simamisha ndugu zao kwenye uchaguzi.Nguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.
Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.
Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.
Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.
Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.
View attachment 1600665
Kawe hakuna misukule na machizi, CCM mnaumbuka asubuhi na mapema na Gwajima wenu. Hakuna hata MwanaCCM mwenye akili timamu atampigia kura Gwajima.Ndio mbunge wa kawe huyo, kubali kataa! Mdee akatatute mume tu..
Wewe una jipya gani ulilofanya nyumbani kwenu ndani ya miaka 10?Kwa hiyo nyie sera hamna mmebaki kumchafua Gwajima tu!
Halima aseme kama ana jipya gani ambalo ndani ya miaka 10 ameshindwa kulifanyia kazi.
Ushawishi unaendana na matumizi mazuri ya akili. Bwana yule mtoto si rizikiSasa hivi nasikikiliza hotuba ya Magufuli akiwa Kawe. Naona kama vile analazimisha achaguliwe Gwajima na diwani wa CCM ndo achaguliwe.
Ni kama anatishia vile CCM mshaurini mgombea wenu angalau awe na lugha ya ushawishi.