Uchaguzi 2020 CCM inatumia muda mwingi kumsafisha Gwajima lakini hasafishiki

Uchaguzi 2020 CCM inatumia muda mwingi kumsafisha Gwajima lakini hasafishiki

Kwanza kabisa Jiwe amewadharau wana Kawe. Wajumbe walishamkata mkia Gwajima. Jiwe kamrudisha kibabe. Sasa Wana Kawe wana Kazi moja tu, nayo ni kutompigia kura Gwajima.
 
Tusikimbilie udini Gwaji alipokuwa huku alikuwa mzuri...kaenda kule bado ni mzurii...kutaja taja dini ni dalili ya kushindwa asbh na mapema
 
WEWE UNA JIPYA GANI ULILOFANYA NYUMBANI KWENU NDANI YA MIAKA 10?


Is this relevant to what we are discussing here?

Kwa taarifa yako mimi ninalo tena kubwa hasa lenye impacts hadi kikazi cha kwanza hadi cha 4-7

Wema wa Mungu upo siku zote kwetu wanadamu hasa tunaomuogopa !
 
Is this relevant to what we are discussing here?

Kwa taarifa yako mimi ninalo tena kubwa hasa lenye impacts hadi kikazi cha kwanza hadi cha 4-7

Wema wa Mungu upo siku zote kwetu wanadamu hasa tunaomuogopa !
Very relevant...kama una hoji nini alichofanya Halima wakati kazi zake zinaonekana kuanzia bungeni mpaka jimboni, kumbe tukueleweje? ni lini uliwahi kufika kwa katibu wa mbunge kuhoji huo utopolo unaohoji hapa? Kazi za mbunge ziko kwenye ripoti yake ya kazi. Kazi ya mbunge sio kununua katapila lake kama huyo mhuni wenu anavyoropoka!
 
Very relevant...kama una hoji nini alichofanya Halima wakati kazi zake zinaonekana kuanzia bungeni mpaka jimboni, kumbe tukueleweje? ni lini uliwahi kufika kwa katibu wa mbunge kuhoji huo utopolo unaohoji hapa? Kazi za mbunge ziko kwenye ripoti yake ya kazi. Kazi ya mbunge sio kununua katapila lake kama huyo mhuni wenu anavyoropoka!


Sasa jikiteni katika kunadi sera zenu tuzijue kama mtakuwa na jipya.

Kumchafua Gwajima haisaidii kitakachowasaidia ni kunadi sera zenu wananchi wazijue waone kama zinashawishi au hapana!

Maskini Halima hata hivyo ashukuru miaka 10 ya ubunge si haba kama alijiwekea akiba kwa kuwa na nidhamu ya matumizi.
 
Sasa jikiteni katika kunadi sera zenu tuzijue kama mtakuwa na jipya.

Kumchafua Gwajima haisaidii kitakachowasaidia ni kunadi sera zenu wananchi wazijue waone kama zinashawishi au hapana!

Maskini Halima hata hivyo ashukuru miaka 10 ya ubunge si haba kama alijiwekea akiba kwa kuwa na nidhamu ya matumizi.
Utakuwa ni msukule wa Gwajima wewe. Hivi unaona kuna mtu anamchafua Gwajima? Gwajima kajichafua mwenyewe tapeli mkubwa yule. Awadanganye misukule wake kama wewe!
 
Utakuwa ni msukule wa Gwajima wewe. Hivi unaona kuna mtu anamchafua Gwajima? Gwajima kajichafua mwenyewe tapeli mkubwa yule. Awadanganye misukule wake kama wewe!


Sasa kama kajichafua mnahangaika naye wanini mtu ambaye ameshachafuka?

Mlipaswa kuachana naye kisha mkajikita katika kunadi sera zenu ili wananchi wazipime kuona kama zinaushawishi.

Gwajima siyo wa kawaida, ana nguvu kubwa ndani yake isiyoelezeka Ndiyo maana siyo rahisi kumuelewa hata kidogo!
 
Ubabe Ubabe tu.. Mgombea wa CCM tunasikia yeye hajiombei kula bali Wagembea wake wa Ubunge na udiwani ndio uwaombea...Kama ni Kweli hii imekaaje??
Ndiyo maana anasema nileteeni Gwajima akiwa na maana kuwa yeye tayari kapita kwa kuwa anauhakika na Mahela na team yake .....!!
 
Ambacho CCM hawajajua ni kwamba Gwajima hakubaliki na watu wote isipokua kondoo wake tu wakanisani. Kazi wanayo sana tu
 
..Gwajima hawezi kusafishika kwa kauli alizotoa dhidi ya Waislamu.

..Hata akiomba radhi hawezi kuaminika, labda aamue kusilimu.
Yalishapita yale Sasa tunaganga yajayo.
 
Kama Magufuli anamtaka sana Gwajima, aombe apelekewe nyumbani kwake, lakini kuwa mbunge wa Kawe - HAPANA.

Kawe tunamhitaji mtu genuine na siyo tapeli, mfia ubaguzi wa kikabila na dini, na mtu asiye na busara, mropokaji, kama Gwajima.
 
Ile kauli yake kwamba watashinda kabla ya sadaka ya kwanza ilimfurahisha mnoooooooo Jiwe mpaka akamkata mtoto wa dada🤣🤣🤣🤣
Magu alidhani pia kumkata mtoto wa dada yake itakuwa mlango wa kutokea ili kutetea uchafu wa gwajima! Nadhani pia magu ana mawazo y kuwa alivyo na madaraka makubwa kuliko watu wote tz basi anawazidi hata akili wote hapa TZ. Wewe unamuwekaje gwajima ili awaongoze watu walewale anaochukia na kukashifu dini/imani zao eti ni za majini au za manabii wa uongo!

Sasa akiwa kiongozi wao si atazidisha ubaguzi? ccm na magu wao inabidi watumie akili walao kidogo wakati mwingine wakubali tu kwamba walikosea gwajima hafai kuwa kiongozi wa kisiasa. Mwanasiasa kamwe atakiwi kuonyesha chuki zake kwa imani za watu wengine! Hakuna kitu kinamtatiza mwanadamu kisaikolojia kama kukashifu au kubeza imani yake kwa Mungu. Hivi mimi Mkatoliki na imani yangu nikamchague gwajima aliyesema uKatoliki ni imani ya uongo, nitakuwa na akili kweli maana hiyo itakuwa ni sawa na kukubali kuwa imani yangu ya uKatoliki ni uongo! Hata muIslam mwenye kuipenda na kuiamini dini yake hawezi kwenda kumchagua gwajima aliyekashifu dini hiyo kwa kusema eti ni dini ya majini.

Nadhani pia hata magufuli anajichafua kumtetea mtu kama gwajima aliyetukana dini yake ya uKatoliki. Hii inamfanya kutoeleweka ana msimamo gani kiimani maana gwajima anaamini uKatoliki ni imani ya uongo, lakini magu anamtetea na wakati huo huo anaenda kanisani kila siku kusali. Huu nao ni unafiki wa imani.

Niwakumbushe tu waKatoliki kosa alilofanya gwajima ni kosa lisilosameheka kiimani ni kosa la kumkashifu Roho Mtakatifu ambalo halina msamaa hata kwa Mungu. Hivyo hata wale wote wanaotetea hii dhambi wanakuwa kundi moja naye bila kujali kama unajiita mKatoliki na unaingia kanisa Katoliki kusali au lah. Gwajima alishajipambanua achangamani na waKatoliki na waIslam hivyo wale wote wenye imani hizo tujitenge naye ili tuepuke kushiriki dhambi zake.
 
Wakati anatupia clip mtandaoni why ccm na tume awakumzuia ili asijewapa tabu wakati wa uchaguzi
 
Nguvu kubwa inatumika kutisha na kuifananisha nchi na Libya lakini wapi.

Kauli za zamani za Gwajima ndio zinamuhukumu, alitoa kauli za kashfa kwa waislamu na wakristu walio kinyume na imani yake.

Mkutano wa CCM Kawe leo wananchi wapo kimya sana na umepoa sana.

Nguvu kubwa inatumika kumsafisha Gwajima kuwa anafanyiwa kampeni chafu za ukabila na udini.

Lakini uchafu huu wa kashfa za udini na ukabila aliyetaka yeye mwenyewe.


View attachment 1600665
Tatizo alitukana waislamu na wakatoliki pamoja na Pengo wao, halafu muongo alisema amenunu treni na kujenga kanisa kubwa kuliko yote Afrika. UONGO MTUPU.
 
Kwanza gwajima ni mtu ambaye anatumia akili saana kuliko huwezi hata kumfananisha na wengine
Gwajima kawe anatoshaa
Muongo sana Gwajima alidanganya waumini wake kuwa amenunua treni, akawaambia waislamu na wakatoliki kuwa ni wapinga Kristo, Akamdhihaki Pengo kwa kumuambia anakula maharage ya wapi. Kifupi huyu mtu sio mkweli
 
Sasa kama kajichafua mnahangaika naye wanini mtu ambaye ameshachafuka?

Mlipaswa kuachana naye kisha mkajikita katika kunadi sera zenu ili wananchi wazipime kuona kama zinaushawishi.

Gwajima siyo wa kawaida, ana nguvu kubwa ndani yake isiyoelezeka Ndiyo maana siyo rahisi kumuelewa hata kidogo!
Unahitaji msaada wa kiroho. Kama za Gwajima kwako ni nguvu, haishangazi wewe ni msukule!
 
Back
Top Bottom