Tetesi: CCM kufukuza Wanachama 11 wakiwemo Vigogo hawa 3

Tetesi: CCM kufukuza Wanachama 11 wakiwemo Vigogo hawa 3

Mungu ni mwema wameguke tu hao vijana wana nguvu sana na wanahitajika kwa ajili ya ukombozi wa pili wa taifa baada ya kuondoka mkoloni tuna ukoloni mamboleo
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.

Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
 
Taarifa kutoka chanzo cha ndani kabisa ndani ya CCM zinasema kwamba kuna uwezekano mkubwa katika Kikao kijacho cha CCM takribani Wanachama 11 wakafutiwa Uanachama ambapo ndani yao wapo Vigogo Watatu ambao ni Nape Nauye, Hussein Bashe na Msukuma.

Nape na Bashe wanafukuzwa baada ya kugundulika kuwa wanatumika na Chama cha Upinzani CHADEMA huku Msukuma anafukuzwa kwa kosa la kuwa mropokaji, mweneza chuki na mtu asiye mkweli kwa Wanachama wenzie.
Hakuna kitu kama hicho, hii ni ndoto ya mchana
 
Msukuma na Nape ni wanasiasa wazuri, kama kweli watawafukuza nashauri waende ACT WAZALENDO,LAKINI HUSSEIN BASHE ni zaidi ya Mwanasiasa,huyu anafaa kwenda CHADEMA kabisa!!ni miongoni mwa watu MAKINI na wasio na UNAFIKI!!
 
Chadema bana ....mnasubiri maembe chini ya mstimu wa umeme!
Yaweza dondoka pia. Kuna linaloshindikana duniani hapa?
Hao mnaowakataa leo ndio mawe makuu ya pembeni lakini kwa kuwa hampendi kushauriwa wala kukosolewa basi, mtatimua wazuri wote na ndio anguko lenu!
 
Kwa nini wafukuzwe?. Mtu kama Mhe. Bashe hoja anazozijenga utazipenda. Ni msema ukweli. Mhe. Msukuma yuko sawa kabisa. Kama Maaskari wanakamata mifugo kwa masilahi yao kwa nini asiseme. Wapi dunia hii umekwishakuona ng'ombe 600 wanauzwa kwa shillingi millioni tatu tena wanunuzi wanatoka Dar?. Huo ni Utawala Bora?.
 
Kwa nini wafukuzwe?. Mtu kama Mhe. Bashe hoja anazozijenga utazipenda. Ni msema ukweli. Mhe. Msukuma yuko sawa kabisa. Kama Maaskari wanakamata mifugo kwa masilahi yao kwa nini asiseme. Wapi dunia hii umekwishakuona ng'ombe 600 wanauzwa kwa shillingi millioni tatu tena wanunuzi wanatoka Dar?. Huo ni Utawala Bora?.
Mmmh hii hatari Sana kwa mfugaji
 
Kama kusema kweli ni dhambi basi wafukuzen mlio wataja pia mmoja wawili mmewasahau,January makamba,mh mwigulu nchemba ili mzidi kuwapa nguvu wapinzan 2020
 
Bashite's Power.

Asilimia 66 ya waliotajwa hapo juu wametofautina tu na Bashite.....
hapo ndipo utagundua viongozi wa CCM na serekali yake wanavyoendekeza matumbo.
wapo radhi hata chekechea huyu awalishe hata kinyesi ilimradi tu matumbo yao yawe salama...
uhuru wa kweli kwa Mtanzania si ule wa kumwondoa mkoloni bali kuifutilia mbali CCM!
 
Back
Top Bottom