Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
rasmi, vi vita katika ulimwengu wa roho. majini (mashetani) na Malaika wa Mungu (Jeshi la mbinguni).
Lazima ushindi uwe upande wa Bwana. Majini yashinde?! never on earth!!!!!!!
Samia ndiye Rais wako baada ya October 2025!! You can take it to the bank!!
 
Watanzania wengi tunaojitambua hatujafurahishwa na mchakato uliofanyika kihuni huko Dodoma wa kumpata mgombea urais 2025
Wewe kama ndio team wale mliokuwa mkitembeza rushwa kwa wajumbe mshinde uteuzi wa Uraisi imekulla kwenu pesa yenu imeliwa bure nyie na baraza lenu feki mlipanga la mawaziri

Na ubunge hamtoboi

CCM inaweza pambana na watoa rushwa ili wapitishwe.kirahisi tu kuliko hata Takukuru

Hapo CCM imepiga bomu la nyuklia kwa watoa rushwa wote waliokuwa wakisambaza pesa wateuliuwe ugombea uraisi

CCM wamecheza kama Pele
 
sina haja ya kubabaika na kueleza sana mambo yanayohusu useless individuals ambao kwakweli hawana athari kabisaa kisiasa ndani na nje ya CCM,

na kwasabb hiyo,
tetesi husika ni nonsense politically speaking gentleman πŸ’
Huna haja ya kubabaika wakati 1/4 ni post zako kwenye uzi huu ukiwa unajieleza tu!
 
JPM bado anaongoza kura za maoni mioyoni mwa watanzania (in Bagonza post)
 
LOCUTA CAUSA FINITA !
Hata hao Wazee wote uliowataja wanalijua hilo !

Na wale wote waharibugi wa mchakato wa Katiba mpya wanalijua hilo pia !
Kitu ambacho huenda walikuwa hawakijui ni kwamba Katiba ni Sheria Mama !
Na Sheria siku zote huwa ni kama Msumeno !
Na kawaida ya Msumeno siku zote huwa unakata mbele na nyuma ! 😳!

Waswahili Wanasemaga kulia kupokezana πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ‘ !
Kazi iendelee πŸ‘πŸ™πŸ™πŸ™. πŸ‘
 
Huna haja ya kubabaika wakati 1/4 ni post zako kwenye uzi huu ukiwa unajieleza tu!
Yes,
mie si mtu wa kunyoosha maneno ya ukweli dhidi ya upotoshaji gentleman?

ukweli ni mchungu lazma uumie wewe pamoja na wenzio mnaoamini ramli na ushirikiana πŸ’
 
Unaiita ramli chonganishi na wakati huo huo unadharau wanachama watiifu wa chama kwa kuwaita useless??
ofcoz useless politicians within any vibrant and visionary political party are not tolerated πŸ’
 
Ukweli ulio wazi pale ccm hapapo kama palivyo kuwa jana, hii haihitaji ufahamu mkubwa wa mambo ya siasi bali ni kuungasha nukta na kupata mchoro kamili, hata sisi tuliopo huku pembezoni mwa nchi tunafahamu mgogoro usio wa wazi pale ccm lakini ulio mkubwa kuliko hata unge kuwa wazi.
 
Likubali au lisikubali hakuna wa kumbabaisha mh.Rais ,kama yupo mwambie ajitokeze.

Walioshindwa kipindi kile kupondua meza ndio wataweza saizi wamekatwa Mikia? πŸ˜†πŸ˜†

Hizo ni stori za kujifariji Vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…