Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
maskini,
ramli na ushirikiana vinawatesa hadi warembo dah,

yaani unawamention useless persons ndani ya CCM kwa ujasiri hivyo? mbona ni dhahiri huo ni ushirkina madam!🐒

What if the allegation is true? Mficha maradhi, kifo kitamuumbua
 
Nasema hivi, sentensi ziwe fupi fupi kiongozi HODARA kama ulivyoandika hapo juu😂😂
angalau umeanza kuchangamka kidogo na hatimae unaweza kua mtu muerevu kidogo na asie mvivu sasa gentleman,

keep it up gentleman 🐒
 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikuwa amalizie awamu ya Magufuli kisha apumzike.

Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na lina uungwqji mkono mkubwa na vingunge wa CCM akiwamo mh spika aliejiuzulu Job Ndugai, Jaji Warioba, Luhaga Mpina na kundi kubwa la wanaccm wanaojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.

View attachment 3225689
View attachment 3225695
Mimi natamani yauane kabisa haya ni majitu ya hovyo sana.
 
What if the allegation is true? Mficha maradhi, kifo kitamuumbua
even if it's true or false,

surely,
na akili timamu kabisaa unajiassemble behind the mentioned useless and failed individuals?

lazma kutakua na tatizo la kisaikojia kwa watakaothubutu kufanya hivyo 🐒
 
Mimi ni mwanaCCM mwenzio na mimi sio CCM maslahi ila nakipenda chama.Kwahyo nakueleza tu namna yakuheshimu viongozi wako wengine ambao hauwapendi.

Hiyo fursa unayoitumia yakutukana viongozi wako wengine usiowapenda mbele ya hadhara hii,ndio namna unavyowapa fursa wengine pia wasiowakubali viongozi wetu nao wawanange mbele ya hadhara hii hii.

Nasisitiza tena najua hauwakubali ila waheshimu kwa maneno ya staha hautapungukiwa kitu.
Unajisumbua kutumia busara kwa chawa aliyejitoa ufahamu, you're just wasting your calories.
 
even if it's true or false,

surely,
na akili timamu kabisaa unajiassemble behind the mentioned useless and failed individuals?

lazma kutakua na tatizo la kisaikojia kwa watakaothubutu kufanya hivyo 🐒

Hapana. Ndani ya chama chetu kila kitu kinawezekana. Maana watu useless wametamalaki. Ndio wanasukuma kete.
 
Hapana. Ndani ya chama chetu kila kitu kinawezekana. Maana watu useless wametamalaki. Ndio wanasukuma kete.
hapana gentleman,
sio kila jambo linawezekamna, hilo si sawa,

unadhani kuna aneweza kutetea kiti chake cha ubunge tu miongoni mwa hao, achilia mbali huyo water melon mwingine ambae akiambiwa nenda mbele anakwenda akiambiwa rudi kulia bial hata tafakari anakwenda?

hao watu hawana athari wala hawana ushawishi wowote ndani na nje ya ccm, na kwa maoni yangu naowaona ni completely useless in political scene :HAhaa:
 
##DUUH, UPANDE WA KWANZA BINAFSI NIMEONA HAYA...👇🏻👇🏻

➡Hoja ya Kibajaji ilikuwa na mashiko na ikaungwa karibu na wajumbe wote..

➡ Mwenyekiti wa kikao ambaye ndiye mpendekezwa wa kugombea u - Rais kagoma/kakataa kujadiliwa...

➡ Kataka aongoze kikao mwenyewe ambacho AJENDA ni kumjadili yeye mwenyewe🤔🤔. Hii ni principle ya wapi?

➡ Lakini tuliofatilia kikao hicho siku hiyo, utashangaa jambo moja lililotokea siku hiyo. Kwamba, hata baada ya wajumbe karibu wote kuunga mkono hoja ya Kibajaji (akiwemo mkwe wa Samia mwenye kifua kipana, Mchengerwa), lakini wajumbe hao hao kama mazuzu vile waliunga hoja ya mwenyekiti wao Samia aliyekataa kujadiliwa na kikao😕😕😕!!

##KWA UPANDE WA PILI, NAMUONA NDUGAYI (Former National Assembly Speaker)

➡ Huyu jamaa anaonekana kukerwa sana na mwenendo wa serikali chini ya Samia kukopa kopa hovyo. Ni dhahiri hamkubali wala kumfagilia kabisa huyu Chura Kiziwi wa Kizimkazi, nchini Zanzibar...

➡ Kajitoa muhanga na kulikemea hili waziwazi...

➡ Haina shaka yoyote kuwa, uamuzi huu wa Job Ndugayi kulisema hilo waziwazi, sio wake binafsi bali ni mjadala uliofanyika pembeni kabla kundi kubwa la watu wazito na kukubaliwa kuwa "wewe ndiyo uliseme hili boldly wazuwazi..." na ikawa hivyo...

➡ Hilo ☝🏻☝🏻linaweza kuthibitishwa na kauli hii;

"..bajeti yetu ni 30+ trillions, kati ya hizo 10trillions hulipa madeni kila mwaka. Unakwenda kukopa 1.3trillions, unalipa 10trillions halafu watu wanapiga magofi pwaa pwaa. Akili hizo? Ipo siku nchi hii itapigwa mnada hii. Mbona mmenyamaza...!!?"

➡ Soma hayo maneno ya Ndugayi between the lines. Binafsi nakubali kabisa, something is going to happen. Unabii umeshatimia katika ulimwengu wa roho, sasa utathibitika ktk ulimwengu wa mwili na kila mtu ataona kwa macho yake, kwamba, Chura Kiziwi na chawa wake wafanye kila wawezalo na wawazalo kwenye vichwa vyao, lakini Mungu aliye hai, ameshamkataa HAWEZI KUENDELEA TENA KUWA KIONGOZI WA NCHI HII NZURI YA TANGANYIKA...!!
Hizi jumbe za kufukuta wikii hii ni ya Tanp au ya Sita.

Kama halipo linakuja
 
Sema dah,inasikitisha yaani huyu mazeli apige mitano tena?
 
Hizi drama zishazoeleka.
 
👆Kama una matatizo ya kuandika kwa Kiswahili sanifu chagua lugha nyingine.
Just read what you have written.
sina muda huo gentleman,
majukumu ni mazito na muhimu zaidi kwa aajili ya wananchi, hayo mengine mjiongeze tu na itapendeza zaidi :HAhaa:
 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikuwa amalizie awamu ya Magufuli kisha apumzike.

Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na lina uungwqji mkono mkubwa na vingunge wa CCM akiwamo mh spika aliejiuzulu Job Ndugai, Jaji Warioba, Luhaga Mpina na kundi kubwa la wanaccm wanaojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.

View attachment 3225689
View attachment 3225695


CCM wanatukosea sana kutuletea Rais ambaye hakugombea hata ndani ya Chama .

Huyu ni Rais muoga sana wa demokrasia .

Halafu eti wanamuita mpenda Demokrasia .

Demokrasia gani Samia anaipenda endapo hata ndani ya chama chake anaogopa uchaguzi wa huru na haki?

Mtu ndani ya chama hafanyi uchaguzi itakuaje kwa vyama vingine.?

Na tujiulize ni nani yupo nyuma ya Samia na kwa nini anatumia pesa nyingi kuhonga ili abakie madarakani ?
Ni kweli ana uzalendo na uchungu wa maisha ya watanganyika kuliko Watanganyika wenyewe?
Kwa nini auze kila kitu cha Watanganyika kwa muda mfupi na pia kukopa madeni makubwa sana huku akiweka tozo nyingi kwa Watanganyika ?

Hilo kundi lake linaagenda gani nyuma yake . Nani anayeandaliwa baada ya Samia ambaye kwa sasa hawawezi kuwa Rais na kwa nini asigombee ndani ya chama ?

Yaani CCM inatukisea sana !
Kwa nini wasituletee Majaliwa ?
Kwa ni wasituletee Bashiru Ally au Kabudi au Hata Januari au Mwigulu au Nape Nnauye au hata Ndugai .

Kwa nini CCM isifanye mchakato kama ilivyo kawaida kila baada ya miaka kumi ?

Yaani huruma ya kumhurumia Samia aingie awamu ya pili inatoka wapi wakati alikua ni makamu wa Rais na alikua anamsaidia Hayati kumaliza awamu yao kisha waondoke wote wawili?

Kwa kweli Watanganyika hatujatendewa haki kwa miaka mitano hatuna mwangalizi na msimamizi wa mali zetu . Isitoshe tunawekewa Doto Biteko kama kikwazo cha kumzuia Waziri mkuu Majaliwa kufanya kazi zake za kuisimamia serikali matokeo yake nchi imegeuzwa kuwa shamba la wageni kama Kongo.

Vijana wa Tanzania amkeni kazeni buti , washurikisheni vijana wenzenu wote wenye uchungu na nchi hii. Wadhibitini wahuni kwenye uchaguzi ili Samia na Kundi lake wasije wakauza tena Liwale , Mikumi na Mlima Kilimanjaro maana wanatafutwa wawekezaji wa kujenga miundo mbinu ya kupanda mlima Kilimanjaro . Mlima utauzwa na Wachagga watahamishwa kama walivyotaka kuhamishiwa Mpanda wakati wa mkoloni wanagoma kutoka majumbani kwao,
Hawa watu hawana nia njema na vizazi vyetu zaidi ya watoto wao na marafiki zao wa nje ya nchi .
 
hapana gentleman,
sio kila jambo linawezekamna, hilo si sawa,

unadhani kuna aneweza kutetea kiti chake cha ubunge tu miongoni mwa hao, achilia mbali huyo water melon mwingine ambae akiambiwa nenda mbele anakwenda akiambiwa rudi kulia bial hata tafakari anakwenda?

hao watu hawana athari wala hawana ushawishi wowote ndani na nje ya ccm, na kwa maoni yangu naowaona ni completely useless in political scene :HAhaa:
Nahisi wakati wa zamani kulikuwa na mambo hayawezekani. Ila leo hii kwa sababu nyingi, kuna yanayowezekana. Dunia imebadilika ingawa watu wengine bado wako enzi zile zile
 
WADANGANYIKA tumeyataka wenyewe. Walio karibu yake wanataka kuendelea kula kwa urefu wa kamba yao!
Mazombie kabisa kabisa!
 
Wasalaam

Kuna taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha uhakika kwamba ndani ya CCM kuna sintofahamu inayoendelea, kuna kundi kubwa halijakubali Rais Samia kugombea tena urais hapo Oct 2025 kwa madai kwamba makubaliano ilikuwa amalizie awamu ya Magufuli kisha apumzike.

Inasemekana kundi hili lina nguvu na hoja nzito na lina uungwqji mkono mkubwa na vingunge wa CCM akiwamo mh spika aliejiuzulu Job Ndugai, Jaji Warioba, Luhaga Mpina na kundi kubwa la wanaccm wanaojitambua ambao wanahisi wameburuzwa na hawajaridhika na mchakato mzima wa uteuzi.

View attachment 3225689
View attachment 3225695
WanaCCM wamebiruzwa na mwanamke na kundi lake kazi kwao.kama hukubali kuburuzwa kama mtanzania na mwanaCCM mwenye haki kidemokrasia piga kelele na kama umekubali kuburuzwa kaa kimya.
 
Back
Top Bottom