Maskini siasa imeingia VETA🤔Serekali kupitia afisi ya waziri mkuu imetoa Tangazo la vijana miaka 18- 35 kujiunga vyuo vya ufundi katika mikoa na wilaya zilizo karibu na wao huku Serekali ikigharimia mafunzo hayo 100%..
Nawashauri chadema na wao waombe pesa za wazungu wawasomeshe vijana ili iwe kivutio kwao.
Vyenginevyo lissu ategemee anguko kubwa sana katika uchaguzi huu ambao atavunja record ya Mbowe katika kufanya vibaya ktk uchaguzi
A good catcher always comes from a bad pathSerekali kupitia afisi ya waziri mkuu imetoa Tangazo la vijana miaka 18- 35 kujiunga vyuo vya ufundi katika mikoa na wilaya zilizo karibu na wao huku Serekali ikigharimia mafunzo hayo 100%..
Nawashauri chadema na wao waombe pesa za wazungu wawasomeshe vijana ili iwe kivutio kwao.
Vyenginevyo lissu ategemee anguko kubwa sana katika uchaguzi huu ambao atavunja record ya Mbowe katika kufanya vibaya ktk uchaguzi
Lisikilize vizuriNakuomba weka ilo tangazo tulisome vzr
Sikiliza tangazo. Waache BAVICHA na vurugu zao,Tupee mchongo kikamilifu vijana wasome bhana😀
Ni heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.Serekali kupitia afisi ya waziri mkuu imetoa Tangazo la vijana miaka 18- 35 kujiunga na vyuo vya ufundi katika wilaya zilizo karibu na wao huku Serekali ikigharimia mafunzo hayo 100%.
Nawashauri chadema na wao waombe pesa za wazungu wawasomeshe vijana ili iwe kivutio kwao.
Vyenginevyo lissu ategemee anguko kubwa sana katika uchaguzi ambao watavunja rekodi ya Mbowe katika kufanya vibaya ktk uchaguzi.
PIGO.KUBWA KWA BAVICHA
SivijuiNi heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
.
.Hebu tueleze vyanzo vya mapato vya CCM?
VETA haijawahi kuwa na tija kwa nchi