Serekali kupitia afisi ya waziri mkuu imetoa Tangazo la vijana miaka 18- 35 kujiunga vyuo vya ufundi katika mikoa na wilaya zilizo karibu na wao huku Serekali ikigharimia mafunzo hayo 100%..
Nawashauri chadema na wao waombe pesa za wazungu wawasomeshe vijana ili iwe kivutio kwao.
Vyenginevyo lissu ategemee anguko kubwa sana katika uchaguzi huu ambao atavunja record ya Mbowe katika kufanya vibaya ktk uchaguzi.
PIGO.KUBWA KWA BAVICHA
Nawashauri chadema na wao waombe pesa za wazungu wawasomeshe vijana ili iwe kivutio kwao.
Vyenginevyo lissu ategemee anguko kubwa sana katika uchaguzi huu ambao atavunja record ya Mbowe katika kufanya vibaya ktk uchaguzi.
PIGO.KUBWA KWA BAVICHA