CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

Hata mimi sijapenda kauli yake ni kali sana na imewaathiri walengwa vilivyo,
Tukiangalia kwa jicho la tatu kwani hasa vigezo vya Air Hostess ni vipi?
 
Acheni kuendekeza kauli za kujenga chuki, ni kweli alichokiongea kakosea, lakini we unaamini kilichompelekea aongee alichokiongea ni jinsia yake au tabia na akili zake? Au hujawahi kushuhudia mwanaume akizungumza maneno ya ajabu juu ya mwanamke, au hata juu ya mwanaume mwenzie na hakuna anayehusisha maoni yake na jinsia yake why women? Anza kujiuliza ni kweli wewe ni adui wa mwanamke mwenzio? kama kweli badilika
 
Hutakuja kunisikia nikisema mwanamke huyu ni mbaya huyu ni mzuri kwa kuwa hawakujiumba wao. Kwani nikosoe kitu kilicho nje ya uwezo wao kurekebisha.

Neno langu kwa huyo mbunge kilaza (wote tunazaliwa tukiwa wajinga ila baadhi yetu hupambana kwa bidii sana wabaki kwenye ujinga) uzuri unaweza ukaondoka ndani nusu dakika tu. Shukuru Mungu kwa jinsi ulivyo leo maana hujui kesho yako.
 
Huyu hata kibiashara kaiharibia ATCL yetu, Hawa watu wanakula kodi zetu DODOMA wamekaa tuu hawajui ugumu wa kutafuta masoko. Sisi tunapambana kubrand shirika yeye analeta masihala. CCM huyu mama mwakani wamuweke Pembeni kwa dharau izi hata fomu yake isiingie vikao vya awali kujadiliwa
 
Kweli mkuu, siwezi kumnyooshea kidole mtu kwa sura yake, mimi ni nani?
 
Kuhujumu uchumi sio tu kuiba hela bali pia kauli mbaya za kiongozi juu ya mali na uduma za umma ili zionekane hazifai ili zikataliwe na wateja nayo ni hujuma na mtuhumiwa anatakiwa akashitakiwe katika mahakama ya mafisadi.

Huyo ni kibaraka wa mabeberu! Mbunge wa Kigoma Husna Mwilima kwa kauli za kuwatukana mabinti zetu (air hostess) kuwa ni wabaya ni kulihujumu ATCL na kuhujumu juhudi za Rais wetu kulifufua ATCL ambayo kimsingi ilikuwa imekufa.

Kama Mbunge ana nafasi kubwa ya kuongea na viongozi husika kama waziri wa usafiri, utalii, mkurugenzi wa ATCL na kutoa maoni yake kuliko kwenda public na kuutangazia dunia kuwa huduma za ATCL ni mbaya.

Huu ni uhujumu uchumi wa nchi.
 
Ondoa uchama mkuu tujadili utu aliuzalilisha
 
Wa kuonya kwa nguvu zote
 
Huyu inabidi aiangalie kwanza yeye anasura nzuri? Ile ni kazi kama kazi zingine tungekuwa tunaangalia sura asingepata ubunge huyu mwanamke
 
Aliyekudnganya wahudumu wa ndege wanatakiwa kuwa warembo ni nani? Umewahi kupanda japo ndege?
 
Binafsi naunga mkono hoja iliyowasilishwa na mheshimiwa mbunge ifike mahala biashara ifanywe serious huwezi kuweka watu ambao hawana sifa stahiki kwa kigezo cha udhalilishaji kuna mambo mengi yanawezwa kufanywa hapo ATCL na hao kina dada ikumbukwe Air hosters wapo pale kama wawakilishi wa urembo wa dada zetu hapa Nchini kwa hiyo iwekwe wazi tu kua wanatakiwa kua warembo msilete unafiki hapa
 
huyu inabidi aiangalie kwanza yeye anasura nzuri? ile ni kazi kama kazi zingine tungekuwa tunaangalia sura asingepata ubunge huyu mwanamke
Yeye sio Air hoster mkuu kwa hiyo urembo wake hauhusiani na mada tajwa hapa
 
Mnazingua tu...hamueeki hiyo video.
 
"Urembo wa mwanamke mwenzio unataka uufanyie nini?" Cutelove
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…