Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
Kwahiyo viongoz wote waliokufa mfano Maalim Seif naye alikua kiongoz muovu ndio maana kafa?
Hao Viongozi ndio CCM inawapenda na Itaendelea kuwaletea sanaAina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.
Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambabo walijitikeza wagombea zaidi ya 40.
Naona hili linajirudia mbio za Uspika.
CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.
Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
Mkuu povu la nini?Kama ni maiti mbona nyuzi za kumponda kila siku?Kwanini msijikite kuelezea mazuri ya huyo Samia?Vipi lini Samia atamwachia huru Mbowe?Akili yako haina akili . Sukuma GANG mnajitahidi sana kutetea maiti, ila Kwa kweli Magufuli asafishiki.
Samia kashituka kawaachia zigo lenu…
Hakuna povu mkuu, Tunamponda Magufuli kwa kua ndicho anacho stahili. Maiti amepanda UOVU anavuna UBAYA.Mkuu povu la nini?Kama ni maiti mbona nyuzi za kumponda kila siku?Kwanini msijikite kuelezea mazuri ya huyo Samia?Vipi lini Samia atamwachia huru Mbowe?
Wewe unamponda maiti ni sawa,ila mimi kumtetea maiti si sawa!UNA AKILI TIMAMU?Hakuna povu mkuu, Tunamponda Magufuli kwa kua ndicho anacho stahili. Maiti amepanda UOVU anavuna UBAYA.
Samia nae atavuna anachopanda haina haraka, Muda utaamua..
Unateteaje HARAMU mkuu, maiti amekataliwa DUNIANI na MBINGUNI , nani kati yetu hayupo timamu.?!Wewe unamponda maiti ni sawa,ila mimi kumtetea maiti si sawa!UNA AKILI TIMAMU?
Huo uharamu umempa wewe au nani?Unateteaje HARAMU mkuu, maiti amekataliwa DUNIANI na MBINGUNI , nani kati yetu hayupo timamu.
Matendo yake HARAMU yamemuharamisha na HAKI.Huo uharamu umempa wewe au nani?
Wewe ndio Jaji wa kujua matendo haramu na sio haramu?Nikipita huko mitaani naona raia wanamlilia, sasa sijui huo uharamu huwa unakaa na family yako kuujua au inakuaje. Hivi hamuoni aibu?Matendo yake HARAMU yamemuharamisha na HAKI.
Mitandao ndio inaligharimu taifa kwa kutupa viongozi wabovu na wasiofaa. Viongozi wazuri wanachunga hatua zao na mara nyingi hawapendwi wala kuchangamana na makundi ambayo hayana nia zaidi ya kujijengea uwezo wa kula kwa nafasi keki ya taifaAina ya uongozi kama ule wa Awamu ya Tano ulikuwa balaa kwa mustakabali wa umoja wa nchi yetu.
Sina haja ya kurudia madhambi mabaya ya Awamu ya Tano maana kila mtu yalimgusa.
Kiini cha hayo matatizo ni kinyang'anyiro cha urais wa 2015 ambabo walijitikeza wagombea zaidi ya 40.
Naona hili linajirudia mbio za Uspika.
CCM waliboronga vibaya mwaka 2015, na matokeo tuliyaona.
Sasa hivi CCM iwe makini na waache umavikundi, mitandao, na "gangs" za kimasilahi binafsi.
Magufuli ni mkristo, Ameuwa watanzania,Wewe ndio Jaji wa kujua matendo haramu na sio haramu?Nikipita huko mitaani naona raia wanamlilia, sasa sijui huo uharamu huwa unakaa na family yako kuujua au inakuaje. Hivi hamuoni aibu?
Kaua ndugu zako wangapi na walikosa nini na kwa ushahidi upi?Magufuli ni mkristo, Ameuwa watanzania,
Maandiko yanakataza kuua. AMELAANIWA.
Hakika orodha bado ni kubwa,5 kumsifia jiwe Ili kesho uletewe v8 na barua ya uteuzi Bashe, Mwigulu, Mollel, Waitara, Chalamila, Hapi, Kihongosi, Gambo, Sabaya, Ndugai, Tulia, Mnyeti, Mtatiro, Kange, Byakanwa
Ndugu zangu wengi kawaua, kawateka na kuwatesa kwa kua hawakumlamba makalio kama wewe.Kaua ndugu zako wangapi na walikosa nini na kwa ushahidi upi?
Unataka kusema Magufuli alikuwa mbaya?
Huyu kiongoz jini dikteta na katiri inakuaje huko mtaani Raia bado wanamlilia?Ilikuaje raia walizimia na wengine kufa kwenye msiba wake?Acha kutetea bana magufuli alikua ni dikteta jambazi jini na ndo maana uwongozi wake haukudumu na ata haya tunayopitia saiv sababu kubwa ni yeye
Apumzke kwa Aman ila CCM iwe funzo kwao wasiludie ujinga ule wa 2015
Akina nani hao na walikosa nini?Ndugu zangu wengi kawaua, kawateka na kuwatesa kwa kua hawakumlamba makalio kama wewe.
Kosa letu ni kua CHADEMAAkina nani hao na walikosa nini?
Acha uropokaji, taja ndugu zako waliouawa na sababu zake na kwa ushahidi.Kosa letu ni kua CHADEMA