CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
 
Acheni UNAFIKI
Mh Bashiru Ally alipoamua kukaa Kimya mlikuwa mnamshambulia kwa maneno kuwa kawa KIMYA SANA Leo kaamua kujitokeza na kusema kidogo kwa kutumia Uhuru wake wa Kikatiba Mmeanza MAJUNGU yenu hebu MUACHENI ATEME NYONGO yake.
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake ,najua sasa Dkt.Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt.Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM ,ni hatari sana.

Ana nguvu gani, miaka yote alikuwa CUF na hakuwa na nguvu yoyote ya maana. Alipoingia CCM hakuna chochote alioffer kwenye uga wa siasa zaidi ya kutembelea kiburi cha madaraka ya Magufuli. Huyo ukimtoa hapo kwenye huo ubunge wa mchongo anarudia yale mashati yake ya zamani yaliyochakaa. Kama ana nguvu kweli, basi ni za kishirikina na sio za kisiasa.
 
Bashiru aliekua na heshima ni yule wa enzi akiwa mkufuzi pale chuo kikuu!!

Bashiru akajiharibu alipopewa madaraka na mzila kende,akavimbirwa kwa kula na mikono na miguu huku akiwatapikia watu mabaki ya shibe take.

Kauli zake za ulevi wa madaraka zinatosha kumfanya kibaraka huko CCM na kuufyata!!
 
Bashiru ni mnafiki tu na mchumia tumbo hana lolote la kuwaambia Watanzania!!

Mtu aliyeshindwa kutetea katiba ya Watanzania na kufanya uchaguzi wa kihuni tena akatamba kwenye majukwaa kwamba hata kama wakishindwa kwenye sanduku la kura atatumia dola kuingia madarakani!! Hana lolote huyu mwimba kwaya tu!!

Angekuwa kiongozi mzuri kipindi yupo kwenye ngazi za maamuzi angetetea tupate katiba nzuri inayoweza kuwajibisha viongozi!!

Ukisikiliza wanafiki unakuwa unajipotezea muda wako tu. Akalee wajukuu tunahitaji viongozi wa kweli na wenye uchungu wa kweli na Watanzania!! Period!!
 
They say hell hath no fury, neither doth heaven hath rage than a scorned woman.

Huyo mwamba anatakiwa awe mpole.

Nguvu ya ule mhimili uliojichimbia chini zaidi bado iko pale pale.

With a nice weekend from a well wisher.
 
Bashiru aliekua na heshima ni yule wa enzi akiwa mkufuzi pale chuo kikuu!!

Bashiru akajiharibu alipopewa madaraka na mzila kende,akavimbirwa kwa kula na mikono na miguu huku akiwatapikia watu mabaki ya shibe take.

Kauli zake za ulevi wa madaraka zinatosha kumfanya kibaraka huko CCM na kuufyata!!
Bashiru ni katil;i kama Jiwe Mzilankende. Sikiliza wenye akili wanavyomfafanua na kumuona (sorry hii clip nimeshaiweka JF may be inajaza server yao)
 
Ana nguvu gani, miaka yote alikuwa CUF na hakuwa na nguvu yoyote ya maana. Alipoingia CCM hakuna chochote alioffer kwenye uga wa siasa zaidi ya kutembelea kiburi cha madaraka ya Magufuli. Huyo ukimtoa hapo kwenye huo ubunge wa mchongo anarudia yale mashati yake ya zamani yaliyochakaa. Kama ana nguvu kweli, basi ni za kishirikina na sio za kisiasa.
Hata mm namshangaa mleta mada anasema Bashiru ana nguvu. Sijui nguvu gan? Kama ana nguvu si angeanzisha chama chake? Maana qmenyanyasika sana......kutoka Katibu Mkuu Kiongozi hadi mbunge viti vya kupewa.!!? Hana nguvu yoyote. Soon akitishwa atakuwa kimya kama Ndugai.
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Nguvu gani aliyonayo huyo? Si anafinywa tuu fasta afu anaufyata.
 
Kama kuna chama cha upinzani Tanzania, CUF au CHADEMA na kinataka kurudi ktk chati, Ally Bashiru ndio karata sahihi...
Bashiru ana ideology ya chadema ile ya Slaa...
Anaanza kukubalika mitaani na ana watu ktk mfumo kwenye kiini kabisa ambao sasa hivi wamevaa ngozi ya kondoo...
 
Ana nguvu gani, miaka yote alikuwa CUF na hakuwa na nguvu yoyote ya maana. Alipoingia CCM hakuna chochote alioffer kwenye uga wa siasa zaidi ya kutembelea kiburi cha madaraka ya Magufuli. Huyo ukimtoa hapo kwenye huo ubunge wa mchongo anarudia yale mashati yake ya zamani yaliyochakaa. Kama ana nguvu kweli, basi ni za kishirikina na sio za kisiasa.
Wewe Tindo unaongea ki- visasi zaidi ya uhalisia!

Anaweza asiwe na nguvu kwako na Chadema yenu!

Bashiru wa ile CUF sio huyu wa leo!

This is another Bash-Law!

Lakini kwa CCM wanajua nguvu yake!
Ni Bashiru pekee anayejua wezi wote na uizi wao wote ndani na nje ya CCM!

Bashiru nje ya CCM kwa sasa ni hatari kuliko akiwa ndani ya CCM hiyohiyo!

Ni Bashiru pekee aliyezunguka nchi nzima kuratibu mali za CCM na kuzirudisha zile ambazo walikwishapora hao mnaowaita Makada na mimi nikiwaita "Makuda" wa chama!

Ni Bashiru huyohuyo aliezunguka nchi nzima na kuratibu uchaguzi uliowaweka madarakani 2020!

Je!
Kwa mtu timamu unayeelewa siasa,kwako huyo mtu ni wa kupuuzwa!

Je!
Wadhani Bashiru amekurupuka ovyo bila kuwa na kitu behind the scenes?

Mbona hujiulizi imekuwaje Ndugai na Bashiru wote wana trend at the same Period?

Tena wote wakiwa hapohapo Dodoma?

Vitu vingine kama huvielewi ni vema ukaviacha kushoto.
Sio kila mmoja mnambebesha hasira zenu za "kijiwe".
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Kama Lowasa na mtandao wake wote alishindwa kuna mtu ataweza tena Bashiru wa CUF?
 
Wewe Tindo unaongea ki- visasi zaidi ya uhalisia!

Anaweza asiwe na nguvu kwako na Chadema yenu!

Bashiru wa ile CUF sio huyu wa leo!

This is another Bash-Law!

Lakini kwa CCM wanajua nguvu yake!
Ni Bashiru pekee anayejua wezi wote na uizi wao wote ndani na nje ya CCM!

Bashiru nje ya CCM kwa sasa ni hatari kuliko akiwa ndani ya CCM hiyohiyo!

Ni Bashiru pekee aliyezunguka nchi nzima kuratibu mali za CCM na kuzirudisha zile ambazo walikwishapora hao mnaowaita Makada na mimi nikiwaita "Makuda" wa chama!

Ni Bashiru huyohuyo aliezunguka nchi nzima na kuratibu uchaguzi uliowaweka madarakani 2020!

Je!
Kwa mtu timamu unayeelewa siasa,kwako huyo mtu ni wa kupuuzwa!

Je!
Wadhani Bashiru amekurupuka ovyo bila kuwa na kitu behind the scenes?

Mbona hujiulizi imekuwaje Ndugai na Bashiru wote wana trend at the same Period?

Tena wote wakiwa hapohapo Dodoma?

Vitu vingine kama huvielewi ni vema ukaviacha kushoto.
Sio kila mmoja mnambebesha hasira zenu za "kijiwe".
kamfufueni magufuli basi.
sisi wapenda haki tunasema bwana alishatenda maajabu hapo 17/3/2021 zinazoendelea ni kelele tu
yaani leo ndugai ndiye awe mtu wa kutiliwa mfano na wapuuzi kama wewe?
hukumbuki ndugai alitaka kutuletea raisi wa maisha?
Bashiru aliyefuta bunge la vyama vingi akaleta la chama kimoja nani wa kumwamini huyu?
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Una huruma sana na CCM
Waachr wararuane ili nchi ipone
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Hawawezi kumuweka karibu sababu ya itikadi yake! Bashiru anawajua vizuri ao viongozi wenzake kuwa ni walafi na waroho sana. Ukimuweka Bashiru jua Polepole atasogezwa na Bashiru sababu ya itikadi yao ni moja, anachoamini Bashiru ndicho anachoamini Polepole na ndicho anachoamini Prof Kabudi! Usione haya mapambano ila wanapambana na mengi.

We Ofisi gan uliwah kuona ukiwa mnyoofu utapendwa? Lazima uundiwe zengwe na magenge mpaka wakuchonoe.
 
Dr.Bashiru alikua katibu mkuu wa chama akaja kuwa katibu mkuu..hivyo siri nyingi za ccm na serikali yake anazijua vyema...wamlambishe asali tu atulie vinginevyo watadharirika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom