CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

Bwana Bashiru. Ana Heshimika na Atazidi kuheshimika sana. Maana ufanisi wa SERIKALI ya Awamu ya Tano Ulionekana hata na kipofu.

Huyu ni Mjamaa kindaki ndaki. Tunaanza kupata mashaka kwa Nini Halipochaguliwa kama Katibu kiongozi ndio Magufuli Akafariki?

Hapa kuna kitu kimejificha sana. Eidha kuna watu walijua kabisa michezo yao ndio imefika mwisho maana tuliona Impact Yake ndani ya CCM kama Katibu MKUU.
Bashiru aliekua na heshima ni yule wa enzi akiwa mkufuzi pale chuo kikuu!!

Bashiru akajiharibu alipopewa madaraka na mzila kende,akavimbirwa kwa kula na mikono na miguu huku akiwatapikia watu mabaki ya shibe take.

Kauli zake za ulevi wa madaraka zinatosha kumfanya kibaraka huko CCM na kuufyata!!
 
Anachomaanisha ni ukaaji wake wa kuwa katibu mkuu wa ccm na katibu mkuu kiongozi

It's very possible akawa anajua mengi ambayo wengi hawayajui

Kwa chama cha mapinduzi kuwa katibu mkuu ni cheo kikubwa Sana na kina maamuzi makubwa


Bashiru anajua wabunge wote ambao walishinda Kwa wizi wa Kura, anajua plan yote the way walifanya

Akianza kusema kweli ni hatari

Kuna siku bungeni kibajaji alisema kuwa mbunge yoyote ambae Yuko sure aliingia Bunge Kwa haki anyoshe kidole na wote walikaa kimya

Hata angejua siri kiasi gani, hana lolote atafanya akiwa nje ya mfumo wa maamuzi. Tena hiyo kujifanya kujua siri ndio hatari zaidi kwake.
 
Hata angejua siri kiasi gani, hana lolote atafanya akiwa nje ya mfumo wa maamuzi. Tena hiyo kujifanya kujua siri ndio hatari zaidi kwake.

Hatari Kwa wengine pia
 
Bwana Bashiru. Ana Heshimika na Atazidi kuheshimika sana. Maana ufanisi wa SERIKALI ya Awamu ya Tano Ulionekana hata na kipofu.

Huyu ni Mjamaa kindaki ndaki. Tunaanza kupata mashaka kwa Nini Halipochaguliwa kama Katibu kiongozi ndio Magufuli Akafariki?

Hapa kuna kitu kimejificha sana. Eidha kuna watu walijua kabisa michezo yao ndio imefika mwisho maana tuliona Impact Yake ndani ya CCM kama Katibu MKUU.

Impact ya wizi wa kura?
 
Wewe Tindo unaongea ki- visasi zaidi ya uhalisia!

Anaweza asiwe na nguvu kwako na Chadema yenu!

Bashiru wa ile CUF sio huyu wa leo!

This is another Bash-Law!

Lakini kwa CCM wanajua nguvu yake!
Ni Bashiru pekee anayejua wezi wote na uizi wao wote ndani na nje ya CCM!

Bashiru nje ya CCM kwa sasa ni hatari kuliko akiwa ndani ya CCM hiyohiyo!

Ni Bashiru pekee aliyezunguka nchi nzima kuratibu mali za CCM na kuzirudisha zile ambazo walikwishapora hao mnaowaita Makada na mimi nikiwaita "Makuda" wa chama!

Ni Bashiru huyohuyo aliezunguka nchi nzima na kuratibu uchaguzi uliowaweka madarakani 2020!

Je!
Kwa mtu timamu unayeelewa siasa,kwako huyo mtu ni wa kupuuzwa!

Je!
Wadhani Bashiru amekurupuka ovyo bila kuwa na kitu behind the scenes?

Mbona hujiulizi imekuwaje Ndugai na Bashiru wote wana trend at the same Period?

Tena wote wakiwa hapohapo Dodoma?

Vitu vingine kama huvielewi ni vema ukaviacha kushoto.
Sio kila mmoja mnambebesha hasira zenu za "kijiwe".
Kwa mtazamo wako Bashiru na Lowassa yupi hasa alikuwa mwiba kwa Ccm na ni yupi anaekubalika na jamii?
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Ukishaweka nje ya system usitegemee uwe na nguvu mzee 😂😂 wakiamua kukulostisha ni mazimaa!!
 
Ana nguvu gani, miaka yote alikuwa CUF na hakuwa na nguvu yoyote ya maana. Alipoingia CCM hakuna chochote alioffer kwenye uga wa siasa zaidi ya kutembelea kiburi cha madaraka ya Magufuli. Huyo ukimtoa hapo kwenye huo ubunge wa mchongo anarudia yale mashati yake ya zamani yaliyochakaa. Kama ana nguvu kweli, basi ni za kishirikina na sio za kisiasa.
Wew mjinga Yule jamaa ni daktari ujue
 
Bashiru ni mnafiki tu na mchumia tumbo hana lolote la kuwaambia Watanzania!!

Mtu aliyeshindwa kutetea katiba ya Watanzania na kufanya uchaguzi wa kihuni tena akatamba kwenye majukwaa kwamba hata kama wakishindwa kwenye sanduku la kura atatumia dola kuingia madarakani!! Hana lolote huyu mwimba kwaya tu!!

Angekuwa kiongozi mzuri kipindi yupo kwenye ngazi za maamuzi angetetea tupate katiba nzuri inayoweza kuwajibisha viongozi!!

Ukisikiliza wanafiki unakuwa unajipotezea muda wako tu. Akalee wajukuu tunahitaji viongozi wa kweli na wenye uchungu wa kweli na Watanzania!! Period!!

Wewe ndo mnafiki kabisa. Kwa akili yako unategemea kuwa Katibu wa Chama mpya ndani ya miaka 3 Sijui abadilishe katiba ya chama na nchi? Huo ndo unafiki wa hali ya juu, Tumia akili basi hata kidogo
 
Ukishaweka nje ya system usitegemee uwe na nguvu mzee 😂😂 wakiamua kukulostisha ni mazimaa!!
Bashiru ndio 'system' yenyewe. Jaribu na wewe kwenda kuongea na kundi lolote la kijamii kwa namna alivyofanya Bashiru juzi uone kama utarudi kuchati hapa JamiiForums
 
Ana nguvu gani, miaka yote alikuwa CUF na hakuwa na nguvu yoyote ya maana. Alipoingia CCM hakuna chochote alioffer kwenye uga wa siasa zaidi ya kutembelea kiburi cha madaraka ya Magufuli. Huyo ukimtoa hapo kwenye huo ubunge wa mchongo anarudia yale mashati yake ya zamani yaliyochakaa. Kama ana nguvu kweli, basi ni za kishirikina na sio za kisiasa.
Bashiru Hana nguvu, Bibi Tozo hata nguvu za kuongea tu Hana.
 
Wew mjinga Yule jamaa ni daktari ujue

Hakuna tofauti ya mwenye elimu ya udaktari na mwenye elimu ya darasa la 7 hapa Tanzania. Labda udaktari wake unakutisha ww.
 
Hakuna tofauti ya mwenye elimu ya udaktari na mwenye elimu ya darasa la 7 hapa Tanzania. Labda udaktari wake unakutisha ww.
Yule siyo wa level ya kukosa chakula wew utakuwa humjui
 
Wewe ndo mnafiki kabisa. Kwa akili yako unategemea kuwa Katibu wa Chama mpya ndani ya miaka 3 Sijui abadilishe katiba ya chama na nchi? Huo ndo unafiki wa hali ya juu, Tumia akili basi hata kidogo
Kuwa katibu wa chama kwa miaka 3 ndo kulimfanya kutoa maneno ya shombo?

Ubongo wako kama unaonekana hata nukta ni kubwa!!
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Hivi kati ya Mhe Edward Ngoyai Lowassa na Mhe Ally Bashiru nani mwenye nguvu nyingi?
Yuko wapi Lowassa hivi sasa?
 
Hivi kati ya Mhe Edward Ngoyai Lowassa na Mhe Ally Bashiru nani mwenye nguvu nyingi?
Yuko wapi Lowassa hivi sasa?
Kwahiyo Lowassa ndiyo atakuwa pekee mwenye nguvu hata miaka Mia moja ijayo ?? Kwahiyo jamii ni stagnant kbs?? Kuna watu sijui shule walienda kufanya nini??
 
Back
Top Bottom