CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

CCM muwekeni Bashiru jirani ana nguvu sana kuliko balozi Polepole

Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Kama ana nguvu akabebe mawe
 
Wanasiasa bongo ni wanafki

Wana ndimi mbili

Ova
 
Wewe Tindo unaongea ki- visasi zaidi ya uhalisia!

Anaweza asiwe na nguvu kwako na Chadema yenu!

Bashiru wa ile CUF sio huyu wa leo!

This is another Bash-Law!

Lakini kwa CCM wanajua nguvu yake!
Ni Bashiru pekee anayejua wezi wote na uizi wao wote ndani na nje ya CCM!

Bashiru nje ya CCM kwa sasa ni hatari kuliko akiwa ndani ya CCM hiyohiyo!

Ni Bashiru pekee aliyezunguka nchi nzima kuratibu mali za CCM na kuzirudisha zile ambazo walikwishapora hao mnaowaita Makada na mimi nikiwaita "Makuda" wa chama!

Ni Bashiru huyohuyo aliezunguka nchi nzima na kuratibu uchaguzi uliowaweka madarakani 2020!

Je!
Kwa mtu timamu unayeelewa siasa,kwako huyo mtu ni wa kupuuzwa!

Je!
Wadhani Bashiru amekurupuka ovyo bila kuwa na kitu behind the scenes?

Mbona hujiulizi imekuwaje Ndugai na Bashiru wote wana trend at the same Period?

Tena wote wakiwa hapohapo Dodoma?

Vitu vingine kama huvielewi ni vema ukaviacha kushoto.
Sio kila mmoja mnambebesha hasira zenu za "kijiwe".

Nisikilize boss, hizo nguvu za Bashiru nazifananisha na nguvu ya mamba, nguvu ya mamba iko ndani ya maji. Bashiru nje ya mbeleko ya vyombo vya dola ni kama binti wa chekechea.

Hizi mbwembwe ni kama zile nguvu za Lowassa akiwa CCM. Alipotoka tu ndani ya CCM siku anaenda kuwashukuru wananchi huko Geita, alikamatwa na mgambo akawa anayetetemeka kama mwanamke aliyefumaniwa. Magufuli alikuwa anaonekana jasiri kwa ajili ya jeuri ya madaraka, ingetokea atoke madarakani, angekuwa hawezi hata kumgombeza house maid wake.

Huyo Bashiru hapo alipo ana siri kibao, lakini hana lolote atafanya maana hana access na ngazi za maamuzi. Ni kama yuko na bunduki isiyo na risasi. Na kama anategemea nguvu ya wananchi hana, maana yeye na Magufuli walishiriki kuondoa nguvu za wananchi na kukabidhi kwa dola.
 
Je!
Kwa mtu timamu unayeelewa siasa,kwako huyo mtu ni wa kupuuzwa!

Je!
Wadhani Bashiru amekurupuka ovyo bila kuwa na kitu behind the scenes?

Mbona hujiulizi imekuwaje Ndugai na Bashiru wote wana trend at the same Period?
Hivi na wewe unadhania system itamuacha tu bila ya kufukua maskeleton yake yaliyojificha?

Mzee, system ikiamua kukufuatilia itakupata tu na kosa (japo la kukwepa kodi miaka 20 nyuma)
 
Warumi 3: 23
Kwa maana wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nyakati kama hizi wakati fisiemu inayumba cdm walitakuwa kuwa strong but sijui kimepatwa na nini kama hawapo vile
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.

Wee hutaki mabadiliko...let it flow....
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Kwahiyo apewe Asali ??!!
 
Bashiru ni katil;i kama Jiwe Mzilankende. Sikiliza wenye akili wanavyomfafanua na kumuona (sorry hii clip nimeshaiweka JF may be inajaza server yao)


Sioni kitu cha maana alichokiongea huyu jamaa....anaimba ngojera tu...sijui Bashiru halisi Bashiru mlevi...

Aliongea vitu sahihi kwa wakati sahihi period...
 
Kama ana nguvu akaendeleze SGR inataka watu wenye nguv kama zake zisizo na kazi.
 
Vipi amewekwa mbali mno hampati taarifa au shida ni nini? Uongozi umebadilika jamani kaeni kimya dawa iingie.
 
Sioni kitu cha maana alichokiongea huyu jamaa....anaimba ngojera tu...sijui Bashiru halisi Bashiru mlevi...

Aliongea vitu sahihi kwa wakati sahihi period...
We differ in the level of integrating issues, particularly those involving higher mental faculties. Kama huoni alichoongea basi level yako ya integration ni questionable!
 
We differ in the level of integrating issues, particularly those involving higher mental faculties. Kama huoni alichoongea basi level yako ya integration ni questionable!

You are simply a fool...don't label someone foolish for your own ignorance...

If you think what he talked made sense that is subject to your own state of mind and knowledge....
 
Ana nguvu gani, miaka yote alikuwa CUF na hakuwa na nguvu yoyote ya maana. Alipoingia CCM hakuna chochote alioffer kwenye uga wa siasa zaidi ya kutembelea kiburi cha madaraka ya Magufuli. Huyo ukimtoa hapo kwenye huo ubunge wa mchongo anarudia yale mashati yake ya zamani yaliyochakaa. Kama ana nguvu kweli, basi ni za kishirikina na sio za kisiasa.

Anachomaanisha ni ukaaji wake wa kuwa katibu mkuu wa ccm na katibu mkuu kiongozi

It's very possible akawa anajua mengi ambayo wengi hawayajui

Kwa chama cha mapinduzi kuwa katibu mkuu ni cheo kikubwa Sana na kina maamuzi makubwa


Bashiru anajua wabunge wote ambao walishinda Kwa wizi wa Kura, anajua plan yote the way walifanya

Akianza kusema kweli ni hatari

Kuna siku bungeni kibajaji alisema kuwa mbunge yoyote ambae Yuko sure aliingia Bunge Kwa haki anyoshe kidole na wote walikaa kimya
 
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.

Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na kuongea kwa Bashiru ni pigo kwa CCM.

Dkt. Bashiru ana nguvu sana tena sana ni Mara 100 ya nguvu ya Polepole na ni heri nguvu hiyo ikatumika akiwa ndani.

Dkt. Bashiru ni hatari sana kwa CCM akiwa nje ya CCM, ni hatari sana.
Bashiru hawezi kuwa hatariiii
 
Sina haja ya kutoa tafakuri kwenye hili, Bashiru hana dhambi, kachangamsha game na kuzubaisha taswira tu. An innocent man is humble and intelligent by nature.
Mtajua hamjui someni vizuri katiba
 
Anachomaanisha ni ukaaji wake wa kuwa katibu mkuu wa ccm na katibu mkuu kiongozi

It's very possible akawa anajua mengi ambayo wengi hawayajui

Kwa chama cha mapinduzi kuwa katibu mkuu ni cheo kikubwa Sana na kina maamuzi makubwa


Bashiru anajua wabunge wote ambao walishinda Kwa wizi wa Kura, anajua plan yote the way walifanya

Akianza kusema kweli ni hatari

Kuna siku bungeni kibajaji alisema kuwa mbunge yoyote ambae Yuko sure aliingia Bunge Kwa haki anyoshe kidole na wote walikaa kimya
Na huyo panzi wa kigogo lusinde nae kubweka kumhusu Dr.Bashiru
Kidagaa kama lusinde nacho eti kinabwata so sad.
 
Na huyo panzi wa kigogo lusinde nae kubweka kumhusu Dr.Bashiru
Kidagaa kama lusinde nacho eti kinabwata so sad.

Bashiru anaweza kufunguka uchaguzi ukarudiwa hapa 😂
 
Back
Top Bottom