marcusgarvey
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 891
- 235
Barabara unazoziona nyingi zimejengwa kwa hela za wahisani,tunadaiwa trilion 1,barabara nyingi ziko chini ya kiwango na magufuli kazipitisha mfano dodoma iringa road,ni mbovu sijui kama itamaliza hata mwaka mmoja,ile dhana ya value for money hapa ni zero