Hili ndio jibu, case closed....NI KWEI NIMEGUGO
AFRIKA NZIMA SISIEM NDO CHAMA PEKEE AFRIKA KIMEKAA MADARAKANI TANGU ENZI NA ENZI
ILA INADHIHIRISHA KUWA WATANZANIA NDIO NCHI YENYE WAJINGA WENGI AFRIKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio jibu, case closed....NI KWEI NIMEGUGO
AFRIKA NZIMA SISIEM NDO CHAMA PEKEE AFRIKA KIMEKAA MADARAKANI TANGU ENZI NA ENZI
ILA INADHIHIRISHA KUWA WATANZANIA NDIO NCHI YENYE WAJINGA WENGI AFRIKA
Sahihi 100% hamna lingineHizi hapa sababu
1. Watanzania ni wajinga wengi hawajasoma
2. Watanzania ni washamba na hawana exposure
3. Watanzania ni waoga
4. Watanzania wengi ni maskini na wana njaa hivyo wananunulika
5. Ccm wanatumia nguvu ya dola na Pesa
6. Hivyo vitu vyote juu vinasababishwa/kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na CCm haohao
Wezi wa kuraChama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
CCM kinaongoza kwa muda mrefu barani Afrika na hakiwezi kutoka madarakani karibu kwasababu kinaongoza kwa kufuata mahitaji ya wakati ya Watanzania na hivyo kuonekana kipya wakati wote. Ebu angalia viongozi wake wanavyobadilishana uongozi kwa amani kabisa! Alianza Mwl. Nyerere. Akafuatia Mzee Mwinyi. Akaja Uncle Mkapa Kisha Mzee Kikwete. Baada yake akafuatia Jiwe Magufuli na Sasa tunaye Mama Samia. Hii inakifanya kiwe na maono mapya Kila uongozi mpya unapoingia!Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Mbeya Kaka [emoji22][emoji22][emoji22]Duh,pole
Wapi umeporwa
Ova
Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Wapinzani wa nchi hii ndo hawaelewekiChama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Siri yao kuu mpaka wakawa madarakani mpaka muda huu ni kusiasisha vyombo vya dola basi.Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Hawa watu Kuna vitu wamefanya au wanafanya(vibaya).Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Kwa Tanzania hii sijaona chama cha kuitoa CCM MADARAKANI mpaka sasaChama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Na bado watakaa sana kwani kiasili ni chama cha kupigania maendeleo ya umma. Upinzani wa ndani kwa ndani umeweza kufanya chama kubakia kwenye msingi wa kujali maslahi ya umma. Hii ndio imesababisha chama kukubalika huku wananchi wakiwa na mashaka na upinzani.Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Wana siri mbili. Mosi, ni mabingwa wa kuiba kura wakati wa uchaguzi na kuzuia wapinzani wao kufanya siasa kwa uhuru. Pili, Tanzania hakuna upinzani makini wala wa maana. Wengi ni wapigaji na CCM wanaotumia vyama kama maduka yao ya mifukoni kuganga njaa. Hivi unapokuwa na viongozi kama Lipumba, marehemu Mrema, Mbatia, Cheyo, na Zitto Kabwe unategemea nini? Mpinzani aliyewahi kutokea Tanzania ni shujaa Christopher Mtikila waliyemkolimba.Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.