CCM ninayoijua siyo hii. Kamati ya Maadili ya CCM iko wapi?

Alimpiga Risasi ...Dodoma
 

ukifanya kazi kwa weledi kwani kuna mtu atakudhalilisha? hivi kati ya mkuu wa mkoa na yule dada nani alikuwa anamdhalilisha mwenzake? maana huwa tunawaita mheshimiwa .........lakini yeye anasema mkuu wa mkoa............
 
Mparaganyiko mwanana πŸ‘

Makonda shikilia hapo hapo !
Watu wanamuona JPM ndani ya Wewe πŸ‘
Nilikusikia ukiapa mbele ya alipolazwa JPM kwamba hutomsaliti hata ukiwekewa Bastola kichwani πŸ‘

Keep it up πŸ‘ mpaka kieleweke πŸ‘
Simamia unachokiamini !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…