Halafu walivyo mazuzu wakapiga makofiWaache waendelee kudemka
Hahaha! Neno "kudemka" mbunge Msukuma nina uhakika 100% atakuwa hajalielewa.Waache waendelee kudemka
Hapama anawaambia wafanye kilichowapeleka siyo kucheza ngoma!!!Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni
Huu ndo mtaji wa sisiem, Low Thinking Capacity kama ya huyu mama..Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni
Rais amesema kuna kuboresha kwenye baadhi ya maeneo. Hili ni pamoja na kubadilisha viongozi kadhaa wasiona tija. Hicho hakikwepeki hata haysti JPM mara kadhaa alibadilisha watu na taratibu, hilo ni zoezi endelevu kwenye uendeshaji wa serikali.Haina maana wanatofautiana na JPM.Ila Kimsingi,kisera na mwelekeo ni wazi atafuata nyao za JPM kasema.
Au ni wewe ndiyo mwenye low thinking capacity kwa kushindwa kufanya analysis ya maneno aliyozungumza leo.Huu ndo mtaji wa sisiem, Low Thinking Capacity kama ya huyu mama..
Yaah. Ataendeleza mema tu. Utekaji na uporaji wa fedha Sasa baasi!Halafu kawaambia ataendeleza Yale "MEMA"