Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
[emoji23][emoji23] umealikwa kudemka si uendeHakuna sehemu tulivu dunia hii, laba aliyoenda JPM ambapo katuliaaaa anawazoom tuu mnavyodemka[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] umealikwa kudemka si uendeHakuna sehemu tulivu dunia hii, laba aliyoenda JPM ambapo katuliaaaa anawazoom tuu mnavyodemka[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] umealikwa kudemka si uende
Yaani we acha tu. Mama kawaweza sana kuwapa maneno yao. Walizoea kudemka bila kukemewa huko nyuma!!!!Tena ngoma yenyewe kibao kata
They are still dreaming nice things. Don't wake them up.View attachment 1755807
Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.
Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.
Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?
Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.
Samia anaongea kwa ajili ya taifa au CCMView attachment 1755807
Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.
Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.
Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?
Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.
Ana lugha ya kiungwana na anao uungwana.Ukiisiliza na kuichambua kwa utuo historia ya Mama Samia aliyoitoa mwenyewe kwenye kongamano la siku ya wanawake utagungua kuwa sio wa kwao kama wengi wa wanaccm wanavyofikiri. Sema walimbeba juu juu na kumtwiga majukumu ambayo hakuyatarajia.
Mama ni Muungwana sana sema mfumo uliomzunguka ni ngumu kujitenganao japo anajaribu kwa akili sana.
Mama anaonekana kutumia hekima na busara nyingi sana kwy mambo yake, anaonekana hapendi kukwazana na wenye nacho ila kupitia hekima hiyohiyo na busara anapata maarifa zaidi.
Bado nina imani naye na tayali kaonyesha utofauti mkubwa hata kumsikiliza tu anatoa dalili za faraja mbeleni.
Kwa kifupi: Mama kakiri nguvu ya wanamtandao. Wanapiga mziki hadi yeye anasikia na kuona wabunge wake wakiucheza. Kazeni mwendo wana JF na wanamitandao wengine wote. "You are a force that can effect changes including constitutional reforms".Huu ndo mtaji wa sisiem, Low Thinking Capacity kama ya huyu mama..
hahahahha, nimecheka sana, mpaka watu wamenishangaaaHahaha! Neno "kudemka" mbunge Msukuma nina uhakika 100% atakuwa hajalielewa.
Atakuwa amechanganya na like neno la kisukuma "kudamka" likimaanisha kuamka asubuhi na mapema.
Ni kweli kabisa
Vyama vya upinzani havipo kupinga kila kitu cha serikali /Rais/chama tawalaUlitaka wasimuunge
Hao ni kuleta mawazo mbadala,yenye fikra na mitazamo tofauti yenye nia ya kujenga ama kuboresha wazo kwa maslahi ya taifa au wote na sii kwa kundi la wachache.Ama kuleta ama kuchochea dhana ya uwajibikaji.Vyama vya upinzani havipo kupinga kila kitu cha serikali /Rais/chama tawala
Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni
Hii forum iko wazi na huru kwa mjumbe kuchangia alimradi asivunje heshima au kutoa matusi.Niww unaejidhirishia kabisa ni Mataga msukuma wa Lumumba kwa ku reply kitu kisichokuhusu..
Mimi hata sijui maana ya kudemka, ni msamiati mpya kwanguHivi kudemka ni kama kushoboka daah ngoja turudi skuli hii misamiati mipya sio michezo