Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Sasa walitegemea aseme yeye na Magufuli ni tofauti halafu aumize hisia za wafuasi wa Magufuli?
Mama katumia diplomasia ya kisiasa tu kutuliza mnyukano wa kisiasa ndani ya Chama.
Magufuli keshakufa harudi tena
Mama katumia diplomasia ya kisiasa tu kutuliza mnyukano wa kisiasa ndani ya Chama.
Magufuli keshakufa harudi tena