CCM rudini shule mkasome Kiswahili. Rais Samia ni mwingi wa tafsida

CCM rudini shule mkasome Kiswahili. Rais Samia ni mwingi wa tafsida

Wewe ndio haukumuelewa basi. Au hukusikia kuwa pia anaweka sawa kwenye makosa/kusahihisha ili mambo yaende vzr zaidi. Kubadili watendaji ni Jambo tarajiwa ili waweze kusimamia anayoamini kuwa ni marekebisho.

Hata JPM kuhusu TRA kwa mfano mara kadhaa alishasema hadharani kuwa hakuwatuma kunyanyasa watu. Kwa hatua hiyo sioni wapi ambapo wawili hawa si wamoja zaidi ya kuona propaganda zako za mitandaoni ambazo amezikemea ktk hotuba yake hiyo SSH.
 
View attachment 1755807

Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.

Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.

Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?

Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.
Kwani wewe mkuu umehama kule umejiunga na ya CCM, au bado upo kule?
 
Rais amesema kuna kuboresha kwenye baadhi ya maeneo. Hili ni pamoja na kubadilisha viongozi kadhaa wasiona tija. Hicho hakikwepeki hata haysti JPM mara kadhaa alibadilisha watu na taratibu, hilo ni zoezi endelevu kwenye uendeshaji wa serikali.Haina maana wanatofautiana na JPM.Ila Kimsingi,kisera na mwelekeo ni wazi atafuata nyao za JPM kasema.
Jpm alipenda demokrasia?


Jpm alipenda Uhuru na haki?

Jpm alipenda kukusanya Kodi kwa akili?

Hamuezi kumuelewa huyu mama mpk mwisho wa urais wake.
 
Wewe ndio haukumuelewa basi. Au hukusikia kuwa pia anaweka sawa kwenye makosa/kusahihisha ili mambo yaende vzr zaidi. Kubadili watendaji ni Jambo tarajiwa ili waweze kusimamia anayoamini kuwa ni marekebisho. Hata JPM kuhusu TRA kwa mfano mara kadhaa alishasema hadharani kuwa hakuwatuma kunyanyasa watu. Kwa hatua hiyo sioni wapi ambapo wawili hawa si wamoja zaidi ya kuona propaganda zako za mitandaoni ambazo amezikemea ktk hotuba yake hiyo SSH.
Baada ya MO kutekwa magufuli wako alifanya nn?

Mama hataki laana ya kuua na kuteka.
 
View attachment 1755807

Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.

Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.

Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?

Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.


Not only sexless but also senseless.
 
Au ni wewe ndiyo mwenye low thinking capacity kwa kushindwa kufanya analysis ya maneno aliyozungumza leo.
Niww unaejidhirishia kabisa ni Mataga msukuma wa Lumumba kwa ku reply kitu kisichokuhusu..
 
Hakuna cha usawa. Kamwe hawawezi kuwa sawa
Tumejionea wako tofauti sana ,hata zile rumours kua mwaka fulani alumsusia mwendazake nimeziamini [emoji23][emoji23][emoji23]

In brief hawakai chungu kimoja
 
Hata JPM kuhusu TRA kwa mfano mara kadhaa alishasema hadharani kuwa hakuwatuma kunyanyasa watu
Hakuwatuma?? Seriously??

Anyway, azidi kuungua huko jehanamu mwendazake huyu.
 
Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni
Duuh huna akili kwani wabunge sio sehem ya mtandaoni?Ila mama anajua lugha,mimi na Jpm kitu kimoja mazombie ya Lumumba yameshangilia,katika hali ya kawaida mlitaka aseme sio kitu kimoja?Kitu kimoja kwa nafasi ya urais sio matendo.
 
Back
Top Bottom