CCM rudini shule mkasome Kiswahili. Rais Samia ni mwingi wa tafsida

Wewe ndio haukumuelewa basi. Au hukusikia kuwa pia anaweka sawa kwenye makosa/kusahihisha ili mambo yaende vzr zaidi. Kubadili watendaji ni Jambo tarajiwa ili waweze kusimamia anayoamini kuwa ni marekebisho.

Hata JPM kuhusu TRA kwa mfano mara kadhaa alishasema hadharani kuwa hakuwatuma kunyanyasa watu. Kwa hatua hiyo sioni wapi ambapo wawili hawa si wamoja zaidi ya kuona propaganda zako za mitandaoni ambazo amezikemea ktk hotuba yake hiyo SSH.
 
Kwani wewe mkuu umehama kule umejiunga na ya CCM, au bado upo kule?
 
Jpm alipenda demokrasia?


Jpm alipenda Uhuru na haki?

Jpm alipenda kukusanya Kodi kwa akili?

Hamuezi kumuelewa huyu mama mpk mwisho wa urais wake.
 
Baada ya MO kutekwa magufuli wako alifanya nn?

Mama hataki laana ya kuua na kuteka.
 


Not only sexless but also senseless.
 
Au ni wewe ndiyo mwenye low thinking capacity kwa kushindwa kufanya analysis ya maneno aliyozungumza leo.
Niww unaejidhirishia kabisa ni Mataga msukuma wa Lumumba kwa ku reply kitu kisichokuhusu..
 
Hakuna cha usawa. Kamwe hawawezi kuwa sawa
Tumejionea wako tofauti sana ,hata zile rumours kua mwaka fulani alumsusia mwendazake nimeziamini [emoji23][emoji23][emoji23]

In brief hawakai chungu kimoja
 
Hata JPM kuhusu TRA kwa mfano mara kadhaa alishasema hadharani kuwa hakuwatuma kunyanyasa watu
Hakuwatuma?? Seriously??

Anyway, azidi kuungua huko jehanamu mwendazake huyu.
 
Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni
Duuh huna akili kwani wabunge sio sehem ya mtandaoni?Ila mama anajua lugha,mimi na Jpm kitu kimoja mazombie ya Lumumba yameshangilia,katika hali ya kawaida mlitaka aseme sio kitu kimoja?Kitu kimoja kwa nafasi ya urais sio matendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…