Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kuna uzi wake kule kwenye jukwaa lingine anasema hana hamu ya kuwa na wanaumeNot only sexless but also senseless.
kabisa ni mwanamke na mwanaume, mpenda haki na katiliHakuna cha usawa. Kamwe hawawezi kuwa sawa
Hivi kudemka ni kama kushoboka daah ngoja turudi skuli hii misamiati mipya sio michezoWaache waendelee kudemka
Hiyo ni ngumu, na haiwezekani! Maneno ya kudemka na kujibu midemko, yote wanapatia humu! Wewe mwenyewe, mama mwenyewe, wote hawawezi kuzima data!Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni
Rais SSA ni professional public administrator kwa basic undergraduate degree. Hapo ametumia Law number 3 ya "Laws of Power" (Robert Greene) inasema "Conceal your intentions"View attachment 1755807
Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.
Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.
Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?
Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.
Sio tuendelee kungojea pengine Gwajima yupo kwenye maombi ya kumfufua!Sasa walitegemea aseme yeye na Magufuli ni tofauti halafu aumize hisia za wafuasi wa Magufuli?
Mama katumia diplomasia ya kisiasa tu kutuliza mnyukano wa kisiasa ndani ya Chama.
Magufuli keshakufa harudi tena
Duuh huna akili kwani wabunge sio sehem ya mtandaoni?Ila mama anajua lugha,mimi na Jpm kitu kimoja mazombie ya Lumumba yameshangilia,katika hali ya kawaida mlitaka aseme sio kitu kimoja?Kitu kimoja kwa nafasi ya urais sio matendo.
Mama Samia akili kubwa kayaacha mazwazwa ya mwendazake njia pandaSasa walitegemea aseme yeye na Magufuli ni tofauti halafu aumize hisia za wafuasi wa Magufuli?
Mama katumia diplomasia ya kisiasa tu kutuliza mnyukano wa kisiasa ndani ya Chama.
Magufuli keshakufa harudi tena
Haya makoromije ni Bure kabsaView attachment 1755807
Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.
Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.
Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?
Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.
Huyo tapeli ndiye alimuingiza chaka mwenda zake akaichukulia Corona poa hadi ikamfyekekea mbali.Sio tuendelee kungojea pengine Gwajima yupo kwenye maombi ya kumfufua!
Kwa hiyo kama Magufuli kafa na ccm nayo imekufa?Sasa walitegemea aseme yeye na Magufuli ni tofauti halafu aumize hisia za wafuasi wa Magufuli?
Mama katumia diplomasia ya kisiasa tu kutuliza mnyukano wa kisiasa ndani ya Chama.
Magufuli keshakufa harudi tena
Huu ndo mtaji wa sisiem, Low Thinking Capacity kama ya huyu mama..
Mama anaemdesha nchi kwa akili aswa!
Ukiisiliza na kuichambua kwa utuo historia ya Mama Samia aliyoitoa mwenyewe kwenye kongamano la siku ya wanawake utagungua kuwa sio wa kwao kama wengi wa wanaccm wanavyofikiri. Sema walimbeba juu juu na kumtwiga majukumu ambayo hakuyatarajia.View attachment 1755807
Maana ya neno tafsida ni utumiaji wa lugha ya adabu na heshima ili kuondoa ukali/ukakasi wa lugha na kuleta staha.
Kundi fulani la wanaCCM limeshangilia sana mama Samia aliposema yeye na JPM ni kitu kimoja. Wanasahau kuwa huyu mama mtu wa Pwani ambako kiswahili ndiyo chimbuko.
Angekuwa sawa angemtumbua Bashiru?
Angekuwa sawa angepiga marufuku uporaji wa TRA?
Angekuwa sawa angetoa Uhuru wa vyombo vya habari?
Angekuwa sawa Safari za ndege za Chato zingesitishwa?
Muungwana ukimuomba kitu akikujibu "tutaangalia" ujue kakataa.
Sasa ninyi wakoromije endeleeni kupiga makofi.
Huo mhimili unatoaje taarifa kwa umma kama haupo mtandaoni au unafikiri mtandaoni ni Jf tuWabunge mmojammoja ni sehemu ya mitandao mimi nimeliongelea bunge kama mhimili
Rudi kasome tena uelewew..... usikurupuke
Huo mhimili unatoaje taarifa kwa umma kama haupo mtandaoni au unafikiri mtandaoni ni Jf tu
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]mama D , ukipata nafasi twende sehemu tulivu tukademke ili tumsibitishie mama kwamba Hayati aliacha Legacy ya ukweli!!