CCM rudini shule mkasome Kiswahili. Rais Samia ni mwingi wa tafsida

They are still dreaming nice things. Don't wake them up.
 
Wabunge wametukanwa kistaarabu ila walivyo mazwazwa, wakashangilia kwa nguvu. Ndugai na msaidizi wake wao wametukanwa tusi kubwa zaidi. Kuruhusu udemkaji bungeni ni udhaifu mkubwa sana wa kiti cha Speaker
 
Samia anaongea kwa ajili ya taifa au CCM
 
Ana lugha ya kiungwana na anao uungwana.

Ukishakuwa na mamlaka ya urais inabidi ukubali kuchafuliwa ile haiba yako, ni cheo kizuri kuwa nacho na ukapimwa na wenye akili lakini ni mzigo kwa nchi hizi za kiafrika ambazo tunapenda sana kushikana uchawi.
 
Huu ndo mtaji wa sisiem, Low Thinking Capacity kama ya huyu mama..
Kwa kifupi: Mama kakiri nguvu ya wanamtandao. Wanapiga mziki hadi yeye anasikia na kuona wabunge wake wakiucheza. Kazeni mwendo wana JF na wanamitandao wengine wote. "You are a force that can effect changes including constitutional reforms".
 
Hahaha! Neno "kudemka" mbunge Msukuma nina uhakika 100% atakuwa hajalielewa.

Atakuwa amechanganya na like neno la kisukuma "kudamka" likimaanisha kuamka asubuhi na mapema.
hahahahha, nimecheka sana, mpaka watu wamenishangaaa
 
Vyama vya upinzani havipo kupinga kila kitu cha serikali /Rais/chama tawala
Hao ni kuleta mawazo mbadala,yenye fikra na mitazamo tofauti yenye nia ya kujenga ama kuboresha wazo kwa maslahi ya taifa au wote na sii kwa kundi la wachache.Ama kuleta ama kuchochea dhana ya uwajibikaji.
 
Kwa kifupi rais SSH ameliambia bunge lipuuze ya mitandaoni

Ni kweli kabisa, maana ameona mijadala ya mitandaoni ni digital, wakati mijadala ya bungeni bado ni analogia. Sasa kaamua kuepusha aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…