Ahsante
Mchambuzi MaCCM wanangangania uwanja mpana wa kifisadi, hawataki kuwajibika;
Kama hivi,
Mdude Chadema Nyagali > Sauti ya Tanganyika DENI LA TAIFA KUTOKA TRION 27 MWAKA JANA MPAKA TRION 40.6
KWA NINI DENI LA TAIFA LINAONGEZEKA WAKATI MATUMIZI NI YALE YALE?
1.MISHAHARA KWA WATUMISHI NI ILE ILE
2.BARABARA NI ZILEZILE.
3.HOSPITAL NI ZILEZILE NA BADO HAZINA MADAWA
4 KAMA NI KATIBA TOKA MCHAKATO UANZE KWA JAJI WARIOBA MPAKA BUNGE LA KATIBA NI BILON 82 TU NDO ZILIZOTUMIKA.
HUENDA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI NDIYO YANAYOSABABISHA DENI HILI KUWA KUBWA EBU TUANGALIE MATUMIZI KWENYE OFISI LA RAIS USUSANI SAFARI ZA NJE .
1.Rais kama anasafiri nje ya nchi huongozana na maafisa wasiopungua 22 wakiwamo afisa usalama madoctor n.k.
2.mjumbe ama afisa yoyote anayekuwa kwenye msafara wa rais analipwa 600000/= laki sita kwa siku sasa unapaswa kuzidisha pesa hiyo kwa wajumbe wote 22 ambapo utapata milion 13200000/=milion kumi na tatu laki mbili kwa siku.
3.mjumbe ama afisa anayekuwa kwenye msafara wa rais analala HOTEL yenye thamani ya DOLA 1200 ambayo sawa na 1900000/= milion moja na laki 9 pesa hiyo uizidishe mara wajumbe 22 unapata 41800000/= milion arobaini na moja na laki nane kwa siku moja
4.hivyo basi ukijumlisha posho na malazi ya maafisa ama wajumbe kwenye msafara wa rais unapata shilingi 55000000/=milioni hamsini na tano kwa siku moja.
jumla ya safari za rais nje ya nchi ni 395 ukizidisha 395 mara shilingi milion 55 utapata hesabu kamili ya matumizi ya safari zote za rais nje ya nchi kwa maana calculator yangu imenock kwa kulingana na ukubwa wa hesabu.
5.bado usafiri ndege ya rais iliruka angani kwa muda wa saa moja hutumia milion 16.2
bado matumizi mengine kwenye ofisi ya rais kama vile safari za ndani n.k
6.baraza la mawaziri ;waziri mmoja hutengewa mafuta lita 200 ambazo sawa na laki nne 400000/= kwa siku ata kama anakoenda hakujulikani na hakuna faida kwa serikali na kuna mawaziri 60 ukizidisha idadi ya mawaziri hao mara laki 4 unapata 24000000/=milion ishilini na nne kwa siku moja
SASA NDUGU ZANGU KWA MATUMIZI HAYA KWA NINI TAIFA LISIPATE DENI KUBWA?
KWA NINI WATANZANIA MNAENDELEA KUKUMBATIA CCM KWA MATUMIZI MABAYA KAMA HAYA WAKATI HUO KUNA SHULE HAZINA MADARASA?
TAFAKARI CHUKUA HATUA
That's a tip of the iceberg!!