CCM, Serikali Mbili Zilizoboreshwa, na Hatima Ya Muungano

CCM, Serikali Mbili Zilizoboreshwa, na Hatima Ya Muungano

Umeamua tu kutoelewa. And I can even see the tone is changing. Nielezee kimahesabu kama unavyodai, hiyo asilimia 86 ina-represent nini?
Kimahesabu.
Kobello,
what tone are you talking about. Mtu wa kuhamaki huwa ni wewe, tumeshakuzoea, sina haja ya kuhamaki wakati nachokijadili ninakijua na nimekifanyia utafiti. Usilazimishe mambo ambayo hayapo.

Siwezi jibu hoja yako "kitakwimu" kwa vile haujajibu hoja yangu ya awali kuhusu haki za wanawake - kitakwimu, based on the same dataset. Hizi porojo za siasa zina muda wake, na kama nilivyokueleza, nikipata muda wa kuzijadili siasa, nitakurudia.
 
Last edited by a moderator:
Masuala ya kidemokrasia nia yapi, yalianishwa natume au walikatazwa kuchangia kwa kuwa sio ya kidemokrasia. Kama muundo wa muungano ni swala la kidemokrasia mbona hakukuwa na kura za kuchagua muunndo upi wa muungano utakao wafaa wananchi?


Kwa hiyo unaamini kuna usawa wa kijinsia kwenye sasa? Vipi kuhusu huduma za maji waliolizungumzia walikua watu 962 nao walikua kimya kwa kuwa wameridhika au? Afya, umeme na huduma za elimu vipi?


Hapa mimi nilichukulia kwa tafsiri yako mkuu Kobello kwamba ambao awakuzungumzia wameridhika (kwa kupinga au kukubali ndo maana wapo kimya). Kwa hiyo kama unakubaliana na hapo juu kilichobaki ni kuzungumzia waliochangaia hoja na sio ambao hawakuchangia (nikiwa na maana kwamba tujadili wale ambao wamezungumzia muumdo wa muungano kama ni s1, s2 au s3).
View attachment 154339
Haki za binadamu siyo suala la kidemokrasia, nilitaka tu nikueleweshe hilo, kwa sababu watu wengi huchanganya mambo haya. Ndiyo maana mkatoa mfano wa haki za wanawake as if such a thing needs majority decision. Haki za binadamu ingekuwa ni suala la kidemokrasia, watu weusi huku bado wangekuwa wanakaa viti vya nyuma kwenye mabasi. Ila, tafadhali tuachane na hili suala kwanza maana naona kama tutachanganyana. Tuachane na mambo ya kidemokrasia au la.

Turudi kwenye uchukuzi wa maoni ya watu wachache. Tulifanye hili suala kiurahisi zaidi, Je? Kama watu wawili wangetaka kuwe na serkali tatu, halafu watu laki tatu na nusu wasizungumzie kabisa muungano. Unaweza kusema majority wanataka serikali tatu?
 
Kobello,
what tone are you talking about. Mtu wa kuhamaki huwa ni wewe, tumeshakuzoea, sina haja ya kuhamaki wakati nachokijadili ninakijua na nimekifanyia utafiti. Usilazimishe mambo ambayo hayapo.

Siwezi jibu hoja yako "kitakwimu" kwa vile haujajibu hoja yangu ya awali kuhusu haki za wanawake - kitakwimu, based on the same dataset. Hizi porojo za siasa zina muda wake, na kama nilivyokueleza, nikipata muda wa kuzijadili siasa, nitakurudia.
Nimekujibu kitakwimu, kuwa asilimia 1.4 waliotaka haki za wanawake ziingizwe kwenye katiba siyo majority. Huwezi kusema kuwa majority ya waliotoa maoni yao walitaka haki za wanawake ziingizwe kwenye katiba, bali majority hawakugusia uingizwaji wa haki za wanawake kwenye katiba.
Hii hata kitakwimu inaonyesha kuridhika kwa waliotoa maoni na haki za wanawake Tanzania.
Simple as that.
HUWEZI Kuconclude kuwa watanzania wengi hawakuridhishwa na haki za wanawake kikatiba. Ila kama asilimia 51 wangegusia haki za wanawake, ungeconclude kuwa asilimia kubwa ya waliotoa maoni hawakuridhishwa na haki za wanawake kikatiba.
 
Haki za binadamu siyo suala la kidemokrasia, nilitaka tu nikueleweshe hilo, kwa sababu watu wengi huchanganya mambo haya. Ndiyo maana mkatoa mfano wa haki za wanawake as if such a thing needs majority decision. Haki za binadamu ingekuwa ni suala la kidemokrasia, watu weusi huku bado wangekuwa wanakaa viti vya nyuma kwenye mabasi. Ila, tafadhali tuachane na hili suala kwanza maana naona kama tutachanganyana. Tuachane na mambo ya kidemokrasia au la.

Turudi kwenye uchukuzi wa maoni ya watu wachache. Tulifanye hili suala kiurahisi zaidi, Je? Kama watu wawili wangetaka kuwe na serkali tatu, halafu watu laki tatu na nusu wasizungumzie kabisa muungano. Unaweza kusema majority wanataka serikali tatu?
Hapo kwenye bluue ni kitu kisichowezekana kabisa kwa hoja ya moto kama muungano upate wazungumzaji wawili katika kundi la watu laki tatu. Kwenye kijani hapo lazima watakua wamechangia sehemu nyingine. Kama utakubali wamechangia sehemu nyingine tuliganganishe na sehemu hizo nyingine tuone kuna utofauti mkubwa.
hapo nilipopigia mstari ninasema ndio majority wanataka tatu hii ni kwa mujibu wa takwimu.

Tume ya Katiba said:
Katika pande mbili za Muungano, jumla ya maoni 684,259 yalitoka Tanzania Bara ukilinganisha na maoni 49,646 kutoka Tanzania Zanzibar. Maoni 38,306 hayakutambulika upande yalikotoka.

  • Kwa eneo la Haki za Binadamu, maoni 100,650 yalichangiwa kutoka Tanzania Bara ukilinganisha na maoni 1,581 kutoka Tanzania Zanzibar.
  • Kwa suala la Muungano, kati ya maoni 80,119 yaliyotolewa, maoni 37,881 yalitoka Tanzania Zanzibar yakikaribia maoni 39,223 kutoka Tanzania Bara
  • .
 
Hapo kwenye bluue ni kitu kisichowezekana kabisa kwa hoja ya moto kama muungano upate wazungumzaji wawili katika kundi la watu laki tatu. Kwenye kijani hapo lazima watakua wamechangia sehemu nyingine. Kama utakubali wamechangia sehemu nyingine tuliganganishe na sehemu hizo nyingine tuone kuna utofauti mkubwa.
hapo nilipopigia mstari ninasema ndio majority wanataka tatu hii ni kwa mujibu wa takwimu.

.
[/LIST]
A hypothetical example, umoto wa suala la muungano ni wa kufikirika tu ndugu yangu. Kuna watu wala hawajui tofauti ya unguja na pemba tena wapo wengi tu. But anyways ...

Sijaona maandishi ya kijani.

Na hizo takwimu ni za haki, hazina uhusiano na takwimu za mfumo wa muungano. Ila, labda unaweza kunielezea.

Kutokana na takwimu hizo za haki, asilimia ileile 85 bado haikuzungumzia haki za binadamu, meaning
.Liwalo na liwe, au
2. Status quo inatosha.
Conclusion, majority wanaridhika na status quo kuhusu haki za binadamu. Let's agree not to agree ila angalau nimekujibu na kukuonesha kwanini CCM bado inaamini serikali mbili ni matakwa ya wengi.
Not my wish, but facts are just ..... facts.
 
A hypothetical example, umoto wa suala la muungano ni wa kufikirika tu ndugu yangu. Kuna watu wala hawajui tofauti ya unguja na pemba tena wapo wengi tu. But anyways ...

Sijaona maandishi ya kijani.

Na hizo takwimu ni za haki, hazina uhusiano na takwimu za mfumo wa muungano. Ila, labda unaweza kunielezea.

Nilitaka kuonyesha hichi unachokikataa kwamba wachangiaji wake hawana uhalali (na unawaona wachache) ndio wana wazungumzaji wengi kuzidi hoja nyingine

Kutokana na takwimu hizo za haki, asilimia ileile 85 bado haikuzungumzia haki za binadamu, meaning
.Liwalo na liwe, au

katika hiyo asilimia iliyobaki ina wachangiaji wengine ambao hawakuigusia hoja ya muundo wa muungano
2. Status quo inatosha.
Conclusion, majority wanaridhika na status quo kuhusu haki za binadamu. Let's agree not to agree ila angalau nimekujibu na kukuonesha kwanini CCM bado inaamini serikali mbili ni matakwa ya wengi.
Not my wish, but facts are just ..... facts.
Mkuu Kobello hizi attachment unaziona au uzioni? Au kila mtu hapa ana tafsiri yake ya takwimu?
Angalia hii ya maeneo yaliyopata wachangia wengi.
View attachment 154340
 
Last edited by a moderator:
Nilitaka kuonyesha hichi unachokikataa kwamba wachangiaji wake hawana uhalali (na unawaona wachache) ndio wana wazungumzaji wengi kuzidi hoja nyingine



katika hiyo asilimia iliyobaki ina wachangiaji wengine ambao hawakuigusia hoja ya muundo wa muungano

Mkuu Kobello hizi attachment unaziona au uzioni? Au kila mtu hapa ana tafsiri yake ya takwimu?
Angalia hii ya maeneo yaliyopata wachangia wengi.
View attachment 154340
Naona chenga. Bora yaishe mkuu, hatuelewani na tusiiharibu thread kwa masuala mengine.
 
Watanzania waliotoa maoni yao kwa Tume kwa mdomo na maandishi walikuwa 351,664. Kati yao ni wananchi 47,820 au sawa na asilimia 13.6 ndiyo waliokerwa na muundo wa Muungano hivyo wakauzungumzia. Wananchi 303,844 au sawa na asilimia 86.4 hawakuzungumzia muunganokabisa.
Kwanini hao ambao hawakuzungumzsia muungano maoni yao yasishirikishwe?? Mbona nilijieleza vizuri tu?
Mkuu Kobello , kuna mambo unajaribu kuyaingiza wakati huo huo yanakinzana na hoja zako.

Kwanza, kumbuka kuwa CCM wanasema tume ya Warioba haikuwa na sample size inayotakiwa.
Ingawa hawatuambii ni sample size gani inashangaza ni hao hao wanatumia sample size ya 80 kuonyesha kuwa kiwango hicho hakikuzungumzia muungano. Nawe unawaunga mkono kwa doubel standard hiyo.

Katika society yetu lazima uelewe kuwa upande wa Tanzania bara suala la muungano halikuwa kubwa kiaisi hicho. Ni baada ya kelele nyingi sana kutoka Zanzaibar, Watanganyika wakaliona tatizo.
Vurugu za znz za maandamano, kuchoma moto, tindikali n.k. ni dalili za ukubwa wa tatizo.
Unaguzi wa wznz ulijenga curiosity ya Watanganyika. Ghafla jambo likawa kubwa kuliko unavyodhani

Zanzibar ina 2/3 ya maamuzi ya mambo ya muungano.
Hata kura ya maoni znz wana uwezo wa kuzuia au kukubali.

Uchache wao katika sample size ya tume haumaanishi kuwa suala hilo ni dogo.
Hivyo kwa asilimia 80 unayozungumzia inategemea ni kutoka wapi.
Asilimia 20 inaweza kuwa znz peke yake, je hiyo unaweza ku ignore kwasababu tu umeangalia asilimia 80?

Ukubwa wa suala la muungano umeonekana katika majadiliano.
Lazima pia uelewe mgawanyiko ndani ya bunge la katiba unaonyesha ukubwa wake.
Kama asilimia 80 haikujali muungano, vipi katiba inakwama kwa suala la muungano?

Mswada wa kwanza wa sheria ya mchakato ulileta matatizo sana si bungeni hadi kule znz.
Hivi unawezaje kusema asilimia 80 haikujali na hilo ni suala dogo? Mbona kulikuwa na vurugu kila mara?

Katika rasimu asilimia iliyoongelea akina mama na watoto, au walemavu si zaidi ya 5.
Je, tuache kuongelea mambo hayo kwasababu hayakuzungumziwa na asilimia 80?

Je, kutoongelea walemavu au wazee na haki zao hiyo ina maana suala hilo lilikuwa dogo na tuliache tu.

Lakini pia kuna hoja, kama CCM wanadhani sehemu kubwa ya jamii(asilimia 80) hawajali muungano, ugomvi wa kura ya wazi na siri unatoka wapi?

Kwanini CCM wanaandika rasimu ya muungano pembeni na si haki za wanawake, walemavu na wazee?
Kuna kitu gani ambacho CCM inakiona ni kizito hadi kutumia muda na nguvu nyingi kupinga muundo ambao basically unauonekana hauna madhara kwao.

Kwanini CCM wasisubiri asilimia 80 katika kura ya maoni ili wakwamishe rasimu ya Warioba, kinyume chake wanatumia watu 400 waliowafunga minyororo ya kura ya wazi kubadili mawazo ya'asilimia 20' waliotaka muundo wa muungano ubadilishwe.

Je, wale CCM 400, ni asilimia ngapi kama tutawaweka katika idadi ya waliotoa mawazo katika tume ya warioba, na je wanawezaj kubadili asilimia 80 na kuwa 50 au 90?

Kama jibu ni siyo, iweje watu 400 ambao hawafikii hata 0.00i percent iwe na haki ya kuandika rasimu ya muungano, haki ambayo asilimia 20 haina?

Kobello, tume iliyoshughulikia kubadili mfumo wa chama kimoja au vingi ilikuja na maoni kuwa asilimia 80 hawataki vyama vingi, ikiwa ni hivyo ilikuwaje serikali ikasikiliza asilimia 20 waliotaka vyama vingi.
Na kwanini safari hii asilimia 20 ya S3 ionekane ni kituko.

Zimeundwa tume zaidi ya 10 kuhusu suala la muungano. Kobello, nitajie jambo jingine lililowahi kuundiwa tume nyingi kama hili la muungano.

Hapa tunabidi kujiuliza maswali haya
1. Hivi sample size ya tume ya Nyalali kuhudu vyama vingi ilikuwa na ukubwa gani tukilinganisha na tume ya Warioba?

2. Je, sample size ya Warioba ilikuwa sahihi au la
a) Kama ni sahihi ni kipi ambacho kinaleta tatizo kuhusu walioongelea na wasioongelea
b) Kama si sahihi, kwanini kuna wakati CCM wanatumia sample hiyo kufanya justifications ya mambo yao ili hali hawakubaliani na sample size
 
Mchambuzi,

..lets say wanaanzisha bunge dogo kwa ajili ya wa-Tanganyika, then what happens at the government level?

..je, kutakuwa na baraza la mawaziri wa Kitanganyika ndani ya baraza la mawaziri la muungano?

..au, kutakuwa na wakati mawaziri wa serikali ya muungano wenye asili ya Zanzibar hawashiriki majadiliano au vikao vinavyojadili mambo ya Tanganyika?


cc Mzee Mwanakijiji, Ritz, chama, NasDaz, Mdondoaji, gombesugu


Joka Kuu,

Huu ni usanii usioeleweka na nchi yetu imejaa usanii. Even if wakiboresha serikali mbili na kujaribu kutatua matatizo bado muundo wa muungano wa federal hatuweza kuondoa changamoto za muungano. Kimsingi zinazoitwa kero za muungano ni kero cha fursa za kimaendeleo na uchumi na hatuwi wakweli. Sera ya chadema ya majimbo ndio mwarobaini wa muungano kwa vile tunakuwa na serikali moja na sera za majimbo. Wananchi waweze kuleta maendeleo katika majimbo yao husika. KWA MAANA HIYO KUWE NA SERIKALI MOJA TU YA MUUNGANO WA TANZANIA. Vyenginevyo hata tukiwa na serikali tatu kero za muungano zitaendelea kuongezeka na in fact zitasababisha muungano uwe dhaifu kwasababu serikali hizi mbili za Tanganyika na Zanzibar zitapunguza ushirikiano wao katika serikali ya muungano na eventually muungano utavunjika.

Simaanishi Serikali mbili nazo ndio zitadumisha muungano hapana ila ninavyoangalia ni kuwa serikali mbili zina mapungufu mengi sana. Moja wapo ni pale Serikali ya Muungano ilipoanza kupoteza mamlaka yake kama dola kamili zanzibar na hapo ndio zilipoanza kelele nyingi za kwanini mazingira yako hivyo. Pia Serikali ya Zanzibar inadhalilishwa ndani ya muungano kwa kuwa viongozi wake hawathaminiwi na pia hawatambuliwi. Hata hivyo kiupande mwengine Zanzibar nao wasaniii kwamfano katika michango yao serikali ya muungano wazanzibar hawachangiii kitu na matokeo yake hata ile thamani inapotea. Isitoshe katika fursa za kiuchumi wazanzibar wanadai zibakie kwao ila katika mambo ya ulinzi na fursa za kiuchumi bara wazanzibar nao wanataka. Hizi tamaa za kijinga na kwa kweli wazanzibari hawawi wakweli na wawazi nini wanataka katika muungano.

Binafsi mwarobaini wa Muungano ni SERIKALI MOJA AU KILA MMOJA AELEKEE UPANDE WAKE.

Nilikuwapo!!!!
 
Mkuu Kobello , kuna mambo unajaribu kuyaingiza wakati huo huo yanakinzana na hoja zako.

Kwanza, kumbuka kuwa CCM wanasema tume ya Warioba haikuwa na sample size inayotakiwa.
Ingawa hawatuambii ni sample size gani inashangaza ni hao hao wanatumia sample size ya 80 kuonyesha kuwa kiwango hicho hakikuzungumzia muungano. Nawe unawaunga mkono kwa doubel standard hiyo.

Katika society yetu lazima uelewe kuwa upande wa Tanzania bara suala la muungano halikuwa kubwa kiaisi hicho. Ni baada ya kelele nyingi sana kutoka Zanzaibar, Watanganyika wakaliona tatizo.
Vurugu za znz za maandamano, kuchoma moto, tindikali n.k. ni dalili za ukubwa wa tatizo.
Unaguzi wa wznz ulijenga curiosity ya Watanganyika. Ghafla jambo likawa kubwa kuliko unavyodhani

Zanzibar ina 2/3 ya maamuzi ya mambo ya muungano.
Hata kura ya maoni znz wana uwezo wa kuzuia au kukubali.

Uchache wao katika sample size ya tume haumaanishi kuwa suala hilo ni dogo.
Hivyo kwa asilimia 80 unayozungumzia inategemea ni kutoka wapi.
Asilimia 20 inaweza kuwa znz peke yake, je hiyo unaweza ku ignore kwasababu tu umeangalia asilimia 80?

Ukubwa wa suala la muungano umeonekana katika majadiliano.
Lazima pia uelewe mgawanyiko ndani ya bunge la katiba unaonyesha ukubwa wake.
Kama asilimia 80 haikujali muungano, vipi katiba inakwama kwa suala la muungano?

Mswada wa kwanza wa sheria ya mchakato ulileta matatizo sana si bungeni hadi kule znz.
Hivi unawezaje kusema asilimia 80 haikujali na hilo ni suala dogo? Mbona kulikuwa na vurugu kila mara?

Katika rasimu asilimia iliyoongelea akina mama na watoto, au walemavu si zaidi ya 5.
Je, tuache kuongelea mambo hayo kwasababu hayakuzungumziwa na asilimia 80?

Je, kutoongelea walemavu au wazee na haki zao hiyo ina maana suala hilo lilikuwa dogo na tuliache tu.

Lakini pia kuna hoja, kama CCM wanadhani sehemu kubwa ya jamii(asilimia 80) hawajali muungano, ugomvi wa kura ya wazi na siri unatoka wapi?

Kwanini CCM wanaandika rasimu ya muungano pembeni na si haki za wanawake, walemavu na wazee?
Kuna kitu gani ambacho CCM inakiona ni kizito hadi kutumia muda na nguvu nyingi kupinga muundo ambao basically unauonekana hauna madhara kwao.

Kwanini CCM wasisubiri asilimia 80 katika kura ya maoni ili wakwamishe rasimu ya Warioba, kinyume chake wanatumia watu 400 waliowafunga minyororo ya kura ya wazi kubadili mawazo ya'asilimia 20' waliotaka muundo wa muungano ubadilishwe.

Je, wale CCM 400, ni asilimia ngapi kama tutawaweka katika idadi ya waliotoa mawazo katika tume ya warioba, na je wanawezaj kubadili asilimia 80 na kuwa 50 au 90?

Kama jibu ni siyo, iweje watu 400 ambao hawafikii hata 0.00i percent iwe na haki ya kuandika rasimu ya muungano, haki ambayo asilimia 20 haina?

Kobello, tume iliyoshughulikia kubadili mfumo wa chama kimoja au vingi ilikuja na maoni kuwa asilimia 80 hawataki vyama vingi, ikiwa ni hivyo ilikuwaje serikali ikasikiliza asilimia 20 waliotaka vyama vingi.
Na kwanini safari hii asilimia 20 ya S3 ionekane ni kituko.

Zimeundwa tume zaidi ya 10 kuhusu suala la muungano. Kobello, nitajie jambo jingine lililowahi kuundiwa tume nyingi kama hili la muungano.

Hapa tunabidi kujiuliza maswali haya
1. Hivi sample size ya tume ya Nyalali kuhudu vyama vingi ilikuwa na ukubwa gani tukilinganisha na tume ya Warioba?

2. Je, sample size ya Warioba ilikuwa sahihi au la
a) Kama ni sahihi ni kipi ambacho kinaleta tatizo kuhusu walioongelea na wasioongelea
b) Kama si sahihi, kwanini kuna wakati CCM wanatumia sample hiyo kufanya justifications ya mambo yao ili hali hawakubaliani na sample size


Labda nikuulize Swali moja Nguruvi kwani Warioba aliulizwa awatenganishe wazanzibari na watanganyika. Na waliochaguliwa ni watanzania. Kwanini basi isiwe sample size 365,000 badala yake ikawa 47,000? Huu usanii wa kuchukua sample hii na kuacha nyengine umetokea wapi? Mbona kuna wapemba walitaka serikali moja kule pemba hakuwachukua kwa vigezo hivyo. Pia kuna wasukuma na wahaya walitaka serikali 17 hasi 23 kule hawakuchukua yale maoni yao? Au watuambie significance ya kuchukua hao 47,000 kutoka katika 365,000 ni kiasi gani?
 
Hauitaji kuwa na akili nyingi sana kujua kwamba wabunge kutoka Zanzbar kwenye Bunge la Muugano watakuwa redundant (hawana kazi) ya kufanya maana sheria nyingi zinazotungwa katika Bunge la Muungano zinahusu Tanzania Bara na za Mambo ya Muungano ni chache mno. Pia Bajeti sehemu kubwa sana inahusu wizara za TZ Bara. Kwa mapendekezo ya CCM itafika wakati wabunge wa Zanzibar hawataitwa kwenye vikao vya Bunge vya kawaida maana agenda haziwahusu. Kwa maana nyingine watakuwa wanalipwa mshahara mkubwa kwa kazi kidogo sana. Hili ni tatizo pia.
 
Joka Kuu,

Huu ni usanii usioeleweka na nchi yetu imejaa usanii. Even if wakiboresha serikali mbili na kujaribu kutatua matatizo bado muundo wa muungano wa federal hatuweza kuondoa changamoto za muungano. Kimsingi zinazoitwa kero za muungano ni kero cha fursa za kimaendeleo na uchumi na hatuwi wakweli. Sera ya chadema ya majimbo ndio mwarobaini wa muungano kwa vile tunakuwa na serikali moja na sera za majimbo. Wananchi waweze kuleta maendeleo katika majimbo yao husika. KWA MAANA HIYO KUWE NA SERIKALI MOJA TU YA MUUNGANO WA TANZANIA. Vyenginevyo hata tukiwa na serikali tatu kero za muungano zitaendelea kuongezeka na in fact zitasababisha muungano uwe dhaifu kwasababu serikali hizi mbili za Tanganyika na Zanzibar zitapunguza ushirikiano wao katika serikali ya muungano na eventually muungano utavunjika.

Simaanishi Serikali mbili nazo ndio zitadumisha muungano hapana ila ninavyoangalia ni kuwa serikali mbili zina mapungufu mengi sana. Moja wapo ni pale Serikali ya Muungano ilipoanza kupoteza mamlaka yake kama dola kamili zanzibar na hapo ndio zilipoanza kelele nyingi za kwanini mazingira yako hivyo. Pia Serikali ya Zanzibar inadhalilishwa ndani ya muungano kwa kuwa viongozi wake hawathaminiwi na pia hawatambuliwi. Hata hivyo kiupande mwengine Zanzibar nao wasaniii kwamfano katika michango yao serikali ya muungano wazanzibar hawachangiii kitu na matokeo yake hata ile thamani inapotea. Isitoshe katika fursa za kiuchumi wazanzibar wanadai zibakie kwao ila katika mambo ya ulinzi na fursa za kiuchumi bara wazanzibar nao wanataka. Hizi tamaa za kijinga na kwa kweli wazanzibari hawawi wakweli na wawazi nini wanataka katika muungano.

Binafsi mwarobaini wa Muungano ni SERIKALI MOJA AU KILA MMOJA AELEKEE UPANDE WAKE.

Nilikuwapo!!!!

Serikali moja halafu tukaita muunngano wa Tanganyika na Zanzibar ni kitu kisichowezekana. Kama hilo lilishindikana miaka 50 iliyopita, itawezekana vipi leo? Kama serikali mbili bado zanzibar inahisi kumezwa na muungano, serikali moja maana yake si ni kuifuta? Sijui kwanini huwa mnajadili serikali moja kama option huku mkijua ni mfumo usiotekelezeka kama nia ya kulinda muungano.

Serikali moja ni sawa na kuwaambia zanzibar you are either with us or leave. Hapa tunaangalia mfumo ambao utatoa a chance for muungano kuendelea kuwepo, sio kuvunja muungano. Na kwa miaka zaidi ya 30, zanzibar wamekuwa wakitaka Tanganyika izinduliwe. Kiburi cha CCM cha kung'ang'ania unitary system ndio yale yale ya Sri Lanka, United Kingdom na kwingineko. Zanzibar wamefikia hatua ya kuvunja Katiba ya Muungano kwa vile katiba hiyo si fair, na sio kwao tu, bali hata kwa Tanzania Bara. Lakini kwa bahati mbaya sana, wachache ndio wanaona hili.

Serikali moja wengi tungependa iwe hivyo lakini hatuna muda wa kujadili vitu ambavyo ni "wishful thinking". Let's be pragmatic, and give serikali tatu a chance, one more chance.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Binafsi mwarobaini wa Muungano ni SERIKALI MOJA AU KILA MMOJA AELEKEE UPANDE WAKE.

Nilikuwapo!!!!

Mkuu Mdondoaji hilo lisengewezekana kwa Tume hii ya mabadiliko ya Katiba kwa kuwa kwenye muongozo waliopewa waliambiwa uwepo wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibaar. Kwa hiyo hapo ni mbili, tatu, nne au mkataba ndo machaguo yaliyobaki kwa tume na wakapendekeza tatu.

Sheria ya mabadiliko ya Katiba said:
Kazi za Tume
9.-(1) Majukumu ya Tume yatakuwa ni


(a) kuratibu na kukusanya maoni ya wananchi;
(b) kupitia na kutafiti usahihi na ulinganifu wa masharti ya kikatiba yanayohusu mamlaka ya wananchi, mifumo ya kisiasa, demokrasia, utawala wa sheria na utawala bora;
(c) kutoa mapendekezo kwa kila hadidu ya rejea; na
(d) kuandaa na kuwasilisha ripoti.
(2) Katika kutekeleza masharti ya kifungu kidogo cha (1), Tume itaongozwa na misingi mikuu ya kitaifa na maadili
ya jamii ya kuhifadhi na kudumisha mambo yafuatayo:
(a) kuwepo kwa Jamhuri ya Muungano;
(b) uwepo wa Serikali, Bunge na Mahakama;
(c) mfumo wa kiutawala wa kijamhuri;
(d) uwepo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar;
(e) umoja wa kitaifa, amani na utulivu;
(f) uchaguzi wa kidemokrasia wa mara kwa mara katika vipindi maalum kwa kuzingatia haki ya watu wote wenye sifa ya kupiga kura;
(g) ukuzaji na uhifadhi wa haki za binadamu;
(h) utu, usawa mbele ya Sheria na mwenendo wa sheria; na
(i) uwepo wa Jamhuri ya Muungano isiyofungamana na dini yoyote na inayoheshimu uhuru wa kuabudu.
(3) Kwa madhumuni ya kifungu kidogo cha (2), na kwa jambo lolote jingine muhimu kwa Taifa, Tume itatoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao kwa uhuru kwa lengo la kuendelea kuboresha masuala hayo
muundo.jpg
 
Last edited by a moderator:
Zanzibar imeshaweka mipaka yake, Mipaka ya Tanganyika haikubadilishwa na jina la Tanzania Bara (Thanks God), kwani ni ile ile ya 1961. Sasa shida ipo wapi kuitaja Tanganyika kwamba nayo ni nchi ndani ya jamhuri ya muungano? Ni lazima washirika wa muungano watambulike kwanza kama nchi.

Mkataba wa muungano ulitambua Tanganyika na Zanzibar kama nchi huru kabla ya muungano, na rasimu ya pili pia inasisitiza hilo. Kwa vile hati ya muungano imegubikwa na magumashi, hii ni hatari kwa utambulisho wa washirika wa muungano, ndio maana zanzibar wamefikiria mbali na kujitambua kama nchi. Hati ya muungano ingekuwa ndio msingi wa katiba ya muungano, ukiukwaji wa zanzibar wa katiba ya muungano usingejitokeza.

Chini ya serikali mbili zilizoboreshwa, tutarajie mengi na makubwa zaidi kutoka upanda wa zanzibar. Na ni haki yao kufanya hivyo kwani katika suala la mfumo wa muungano, CCM haifanyi haki kwa washirika wa muungano. Ni basi tu wenzetu Zanzibar wana upeo zaidi juu ya hili, watanganyika wamelemewa na uzito wa koti la muungano. Isitoshe, ni Zanzibar ndio imeamsha watanganyika juu ya haki yao kikatiba.

Katika maoni yake kwa tume, baraza la wawakilishi lilipendekeza kuwepo kwa:
1. Mamlaka huru ya zanzibar.
2. Mamlaka huru ya Tangannyika.
3. Na mamlaka ya muungano.

Pia iwekwe wazi maeneo, mipaka, uwezo, nguvu, na utendaji wa mipaka ya kila mamlaka.

Katiba ya Jamhuri (1977) haiuweka mipaka hiyo kwa Tanzania Bara na Muuungano. This was one of the biggest flaws za katiba hii ambayo CCM inasema itaboreshwa, huku suala la mipaka ya mamlaka ya Tanzania Bara na Muungano likiendelea kupuuzwa.

Kwa vile zanzibar ndio wanafanya muungano huu uwepo, CCM itakuja umbuka tu kwani zanzibar wakijitoa, kitachobaki ni mamlaka moja tu - ile ya muungano, kwani ya Tanzania Bara/Tanganyika haipo. Hapo ndipo watanganyika watakuja kuelewa sasa nini kilikuwa kinaendelea.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Naona chenga. Bora yaishe mkuu, hatuelewani na tusiiharibu thread kwa masuala mengine.
Mkuu Kobello nadhani tunashindwa kuelewana kitu kidogo kwamba hio asilimia iliyobaki sio kwamba wameridhika na muundo huu wa sasa. Naomba tafsiri yako kwa hili jedwali hapo chini ili nione tafsiri yako ni kwa muundo tu au mambo mengine.
maaoni2.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kobello nadhani tunashindwa kuelewana kitu kidogo kwamba hio asilimia iliyobaki sio kwamba wameridhika na muundo huu wa sasa. Naomba tafsiri yako kwa hili jedwali hapo chini ili nione tafsiri yako ni kwa muundo tu au mambo mengine.
View attachment 154392
Asilimia 76 ya wazanzibari walitoa maoni yao kuhusu muungano, na asilimia 6 ya watanzania bara walitoa maoni yao kuhusu muungano.
Asilimia 14 ya watanzania walitoa maoni yao juu ya muungano. Wazanzibari kwa ujumla walizungumzia muungano na watanzania bara waigawaqnmyika katika issues mbalimbali.
Huwezi kumuuliza mtoa maoni, ni suala lipi linamtatiza, halafu umpe limit ya kuzungumzia suala moja. Halafu uca-compile data na kusema asilimia kubwa ya watanzania walizungumzia muungano; Hapo utakuwa umekosea.

Ingetakiwa watu 200,000 walizungumzia muungano, 101,000 walitaka serikali tatu ... hapo utaconclude kuwa majority walitaka serikali 3.
Jedwali na taarifa zimekanganya watu, kubalini tu.
 
Asilimia 76 ya wazanzibari walitoa maoni yao kuhusu muungano, na asilimia 6 ya watanzania bara walitoa maoni yao kuhusu muungano.
Asilimia 14 ya watanzania walitoa maoni yao juu ya muungano. Wazanzibari kwa ujumla walizungumzia muungano na watanzania bara waigawaqnmyika katika issues mbalimbali.
Huwezi kumuuliza mtoa maoni, ni suala lipi linamtatiza, halafu umpe limit ya kuzungumzia suala moja. Halafu uca-compile data na kusema asilimia kubwa ya watanzania walizungumzia muungano; Hapo utakuwa umekosea.

Ingetakiwa watu 200,000 walizungumzia muungano, 101,000 walitaka serikali tatu ... hapo utaconclude kuwa majority walitaka serikali 3.
Jedwali na taarifa zimekanganya watu, kubalini tu.
Kwani tume ya Nyalali, Amina, Kisanga na nyingine zilikuwa na sample sie gani?
 
Usiseme mbili zinalamishwa, sababu hata ww unavojieleza kuna sehem umeshindwa zielezea kuna mtu kakuhoji hapo juu u seems huna idea, so naweza sema we pia unalazimisha tatu,
Tusubiri wao wa serikali 3 nao waje na mchanganuo wao tulinganishe tujue lipi litafaa kwa ajili ya muungano huu,
Kudos kwa xplanations zako zimenifungua macho baadhi ya sehem, sasa nasubiri na ya upande mwengne,
Tupime.
 
Usiseme mbili zinalamishwa, sababu hata ww unavojieleza kuna sehem umeshindwa zielezea kuna mtu kakuhoji hapo juu u seems huna idea, so naweza sema we pia unalazimisha tatu,
Tusubiri wao wa serikali 3 nao waje na mchanganuo wao tulinganishe tujue lipi litafaa kwa ajili ya muungano huu,
Kudos kwa xplanations zako zimenifungua macho baadhi ya sehem, sasa nasubiri na ya upande mwengne,
Tupime.

Ni lini wananchi walitoa maoni juuu ya mfumo wa muungano na walio wengi wakapendekeza serikali mbili?

Hayo maboresho ya serikali mbili yanalenga nini kama sio kufurahisha upande mmoja wa muungano (zanzibar) ambao kwa zaidi ya miaka 30 umekuwa ukipinga mfumo wa serikali mbili, huku Tanzania Bara iliyovaa koti la muungano "ikilazimisha" kwamba huo ndio mfumo sahihi?

Kwanini CCM ililazimisha kura ya wazi kama kweli iliamini kwamba serikali mbili zimeridhiwa na wajumbe walio wengi ndani ya BLK?

Kama ccm inajiamini mfumo wa serikali mbili sio wa kulazimisha, kwanini wasingeacha tu mchakato ufikie kura ya maoni bila vitisho na uchakachuaji ili wakapate hiyo majority kama kweli imeridhiwa na wananchi wali wengi?

Mbona tumekuja na michanganuo mingi tu kuonyesha faida za serikali tatu vis a vis serikali mbili katika mijadala mingi tu? Tembelea jukwaa la "great thinkers" na pia baadhi ya mijadala hiyo ipo kwenye nyuzi nyingine kwenye jukwaa hili hili la Katiba Mpya. Tembelea profile yangu, tembelea profile ya Nguruvi3, kwa kukutajia cha

N upande wa hoja ya serikali mbili ndio umeshindwa kuja tetea mfumo huu na badala yake wameishia kulia lia tu kuhusu "amani na utulivu", kutishia wananchi na majeshi, na sasa kuanza kupotosha kuhusu takwimu wakati wao wenyewe wanatumia takwimu hizo hizo kufanya maboresho wanayo dai.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kobello , kuna mambo unajaribu kuyaingiza wakati huo huo yanakinzana na hoja zako.

Kwanza, kumbuka kuwa CCM wanasema tume ya Warioba haikuwa na sample size inayotakiwa.
Ingawa hawatuambii ni sample size gani inashangaza ni hao hao wanatumia sample size ya 80 kuonyesha kuwa kiwango hicho hakikuzungumzia muungano. Nawe unawaunga mkono kwa doubel standard hiyo.

Katika society yetu lazima uelewe kuwa upande wa Tanzania bara suala la muungano halikuwa kubwa kiaisi hicho. Ni baada ya kelele nyingi sana kutoka Zanzaibar, Watanganyika wakaliona tatizo.
Vurugu za znz za maandamano, kuchoma moto, tindikali n.k. ni dalili za ukubwa wa tatizo.
Unaguzi wa wznz ulijenga curiosity ya Watanganyika. Ghafla jambo likawa kubwa kuliko unavyodhani

Zanzibar ina 2/3 ya maamuzi ya mambo ya muungano.
Hata kura ya maoni znz wana uwezo wa kuzuia au kukubali.

Uchache wao katika sample size ya tume haumaanishi kuwa suala hilo ni dogo.
Hivyo kwa asilimia 80 unayozungumzia inategemea ni kutoka wapi.
Asilimia 20 inaweza kuwa znz peke yake, je hiyo unaweza ku ignore kwasababu tu umeangalia asilimia 80?

Ukubwa wa suala la muungano umeonekana katika majadiliano.
Lazima pia uelewe mgawanyiko ndani ya bunge la katiba unaonyesha ukubwa wake.
Kama asilimia 80 haikujali muungano, vipi katiba inakwama kwa suala la muungano?

Mswada wa kwanza wa sheria ya mchakato ulileta matatizo sana si bungeni hadi kule znz.
Hivi unawezaje kusema asilimia 80 haikujali na hilo ni suala dogo? Mbona kulikuwa na vurugu kila mara?

Katika rasimu asilimia iliyoongelea akina mama na watoto, au walemavu si zaidi ya 5.
Je, tuache kuongelea mambo hayo kwasababu hayakuzungumziwa na asilimia 80?

Je, kutoongelea walemavu au wazee na haki zao hiyo ina maana suala hilo lilikuwa dogo na tuliache tu.

Lakini pia kuna hoja, kama CCM wanadhani sehemu kubwa ya jamii(asilimia 80) hawajali muungano, ugomvi wa kura ya wazi na siri unatoka wapi?

Kwanini CCM wanaandika rasimu ya muungano pembeni na si haki za wanawake, walemavu na wazee?
Kuna kitu gani ambacho CCM inakiona ni kizito hadi kutumia muda na nguvu nyingi kupinga muundo ambao basically unauonekana hauna madhara kwao.

Kwanini CCM wasisubiri asilimia 80 katika kura ya maoni ili wakwamishe rasimu ya Warioba, kinyume chake wanatumia watu 400 waliowafunga minyororo ya kura ya wazi kubadili mawazo ya'asilimia 20' waliotaka muundo wa muungano ubadilishwe.

Je, wale CCM 400, ni asilimia ngapi kama tutawaweka katika idadi ya waliotoa mawazo katika tume ya warioba, na je wanawezaj kubadili asilimia 80 na kuwa 50 au 90?

Kama jibu ni siyo, iweje watu 400 ambao hawafikii hata 0.00i percent iwe na haki ya kuandika rasimu ya muungano, haki ambayo asilimia 20 haina?

Kobello, tume iliyoshughulikia kubadili mfumo wa chama kimoja au vingi ilikuja na maoni kuwa asilimia 80 hawataki vyama vingi, ikiwa ni hivyo ilikuwaje serikali ikasikiliza asilimia 20 waliotaka vyama vingi.
Na kwanini safari hii asilimia 20 ya S3 ionekane ni kituko.

Zimeundwa tume zaidi ya 10 kuhusu suala la muungano. Kobello, nitajie jambo jingine lililowahi kuundiwa tume nyingi kama hili la muungano.

Hapa tunabidi kujiuliza maswali haya
1. Hivi sample size ya tume ya Nyalali kuhudu vyama vingi ilikuwa na ukubwa gani tukilinganisha na tume ya Warioba?

2. Je, sample size ya Warioba ilikuwa sahihi au la
a) Kama ni sahihi ni kipi ambacho kinaleta tatizo kuhusu walioongelea na wasioongelea
b) Kama si sahihi, kwanini kuna wakati CCM wanatumia sample hiyo kufanya justifications ya mambo yao ili hali hawakubaliani na sample size
Kwa upande wa Zanzibar, asilimia 62 ya asilimia 76(waliotoa maoni) walitaka mfumo wa serikali tatu au mkataba (evenly distributed) na asilimia 23 walitaka serikali mbili. Asilimia 13 walitaka serikali moja.
Hii inamaanisha kuwa 47% ya waliotoa maoni (ambayo ndiyo sample size =N) walitaka either serikali tatu au muungano wa mkataba 17% walitaka serikali mbili, huku 10% walitaka serikali moja. 24% hawakuzungumzia muungano kabisa.

Kimahesabu 24% ya wazanzibari hawajali status quo au at least liwalo na liwe.
17% walitaka serikali mbili (status quo)
47% hawakutaka status quo.
Kati ya hao 47% , nusu yake walitaka serikali 3 yaani nikupe at least 25%.
Therefore only 25% walitaka serikali 3.

Soma taratibu utaelewa.
 
Back
Top Bottom