Uchaguzi 2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

Uchaguzi 2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

Utoto umekuzidi, kwani makonda ni waziri mkuu au makamo wa Rais? Haya ni masuala ya ushoga

Soma hii

Huyu Makonda mbona mwenyewe anatuhumiwa kwenye mambo hayo ya ushoga?
Anawezaje kuyapinga ama kuyakataza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatoswi yona popote na ccm itafika salama. Kama wangekubali zogo la mikutano ya chadema wala kusingekua na utekelezaji madhubuti wa programme za maendeleo. Ingekua kelele tu kama vyura kisimani. Ccm wasingetulia na wao wangejibu. Tatizo cdm wanachukulia mikutano ya rais na viongozi madarakani kama ni ya ccm. Serekali yenye ridha hutekeleza sera za chama chao inabidi upinzani kuendesha siasa kwa namna inakubalika sio kushindania madaraka na chama kilichopewa ridhaa. Hii ndio demokrasia.
Demokrasi kulingana na mawazo yako?????



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wanajadili zuio la Makonda kuingia Marekani badala ya kujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Wenye akili ndogo wameanza kusema "Kwani Marekani ni mbinguni? Kwani asipoenda atapungukiwa nini?" Hii ni comment ya Mbunge mmoja wa CCM kule Twitter.

Lakini hoja si Makonda kuzuiwa kuingia Marekani au kuingia Chato. Hoja ya msingi ni madai yaliyotolewa na Marekani kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Makonda.

Pamoja na mambo mengine, Pompeo amesema Marekani ina USHAHIDI kuwa Makonda ameshiriki KUDHULUMU HAKI YA KUISHI KWA WATU KADHAA. Hii ni kauli ngumu sana, inayotafakarisha sana.

Kudhulumu haki ya watu kuishi means kuamua kumuondolea mtu uhai kabla ya wakati wake. Je ni kweli Makonda amefanya hayo? Kwa akina nani? Kwa ruhusa ya nani? Kwa sababu gani? Lini? Wapi? Na kwanini?

Kumbuka taifa lenye teknolojia kubwa kama Marekani linaposema lina USHAHIDI juu ya jambo fulani bila shaka limejiridhisha vya kutosha.

Kwahiyo ili tuwe na mjadala wenye tija tuachane na kujadili zuio, tujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Hata kama asingezuiwa kwenda Marekani, lakini tuhuma alizotajwa nazo ni kubwa sana. Zinaogofya, zinatafakarisha, zinatisha. Kumbuka Marekani imesema ina USHAHIDI na kumbuka Pompeo alikua Mkurugenzi wa CIA kabla ya kuwa Waziri.!

The United States has sanctioned a Tanzanian official who sparked fear in the gay community by announcing plans to track and punish homosexuals in the East African nation.


The U.S. statement Friday said Paul Christian Makonda, regional commissioner for Dar es Salaam, is accused of “targeting marginalized individuals,” repressing the opposition and cracking down on freedom of expression.


In a travel warning in December, the U.S. said “individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.“



The new statement also says the U.S. is deeply concerned with the deteriorating respect for human rights in Tanzania, whose first-term President John Magufuli has been accused by rights groups of widespread repression of the opposition, journalists and others.


The U.S. statement comes ahead of Tanzania’s presidential election in October. A separate statement by the U.S. Embassy on Friday said it was encouraged by Magufuli’s assurances of a “free, fair, and transparent” vote and his invitation to international observers.
 
Mungu ni mwema kila wakati na atatutendea Taifa letu yaliyo mema tu. Naamini Magufuli amechokwa na kila mtu mpaka na wale waliomsaidia kuiba kura akina Lubuva, Kipilimba, Nape na Kinana. Na lazima Mkutano Mkuu umtose kama mgombea wa CCM hapo August 2020. Kama washauri wake aliamua wawe ni akina Makonda, Bashiru Ally na Pole pole badala ya wazee wetu wastaafu wenye busara na upeo basi anawajibika kwa haya yanayotokea.

Naamini kama CCM wasipomtosa 2020 tutarajie machafuko makubwa nchini kwa kuwa Magufuli hawezi akapata hata 20% ya kura za kupigwa kwa sanduku la kura. Badala yake atafanya vituko zaidi kuliko uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019. Na wananchi hawatavumilia.

Atambue tu kuwa toka Uhuru wa Tanzania mwaka 1961 Taifa letu halijawahi kuwa na mstakabali mbovu wa kisiasa na kidiplomasia ya Dunia kama kipindi hiki. Kitendo cha Paul Makonda kuzuiwa kwenda Marekani ni ujumbe tu kuwa kuna mengi yanafuata. Mojawapo ni hili hapa;


Magufuli asijidanganye kuwa kwa vile huwa hasafiri nje ya Tanzania basi hayamhusu. Hapana, jina lake na la Kabudi, Mambosasa lipo tu kwa watu ambao hawatakiwi kwenda US, muda tu wa kutaja haujafika

Wamarekani wanazo details za udhaifu wa Serikali ya Magufuli ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za binadamu, ukosefu wa utawala wa sheria, utekaji wa wakosoaji, kubambikia watu kesi, mauaji na ukandamizaji wa demokrasia ya vyama vya upinzani.

Magufuli asijidanganye kuwa anaweza kufanya Tanzania anavyoyaka kama anavyofanya kwenye familia yake, hapana!! Utulivu wa Tanzania una masilahi makubwa kwa nchi za Magharibi hasa US, UK na Germany. Tanzania ikitulia maana yake eneo zima la maziwa makuu limetulia. Waganda walipochafuana miaka ya 1970s walikimbilia Tanzania, Warundi na Wanyarwanda walipochafuana miaka ya 1960s nao walikuja Tanzania. Kuanzia 1960 mpaka 1990s Tanzania ilikuwa Makao makuu ya vyama vya ukombozi vya Afrika kama SWAPO, MPLA, ANC, PAC na ZANU.
Hata Wakenya mwaka 2008 walipouana ni Tanzania iliyohusika kuwapatanisha.

Nchi za Magharibi haziwezi kukubali Magufuli na Makonda waharibu amani ya nchi hii. CCM hamujachelewa mtupeni huyu Magufuli kwenye bahrii kama Yona alivyotupwa alipokataa kwenda NINAWI ili chombo kiendelea na safari. Mkishindwa ataondolewa kwa nguvu na CCM itakuwa imekwisha kama iliyokwisha UNIP ya Kaunda au KANU ya Kenyatta. Uchaguzi ni wenu na muda munao, na uwezo munao.

Very well said
 
Kamwe watanzania hatutakubali kuteseka kwa sababu ya kumpendezesha mtu mmoja. Meko ni lazima arejee Chato. Ametuvuruga vya kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kikwete aliwahi kusema wenye maono walimkataa Meko kwa sababu hakuwahi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa. Ccm kwa ulafi na kuto kuona mbali mkampa nchi hayo ndiyo matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM sikio la kufa halisikii dawa kumbukeni hadithi ya Yona kwenye merikebu pia kumbukeni hadithi ya belshaza na maandishi ya ukutani menemene tekeli na peresi chanzo cha yote haya ni Rais Magufuli.

Washauri wake wabaya wanamzamisha yeye na nyie pia.

Wenzenu kina Rais Mstaafu Mkapa na Kikwete walifanikiwa kwasababu waliamini katika kugawana keki ya taifa kwa wote nyie mnatumia falsafa ya the winner takes it all alone hamuwezi kutoboa.

Mlikosea sana kumfumbia macho Rais Magufuli alipopiga marufuku mikutano ya siasa wakati nyie mkiendelea nayo.

Tena msijifiche kwenye mambo ya ushoga hizi ni propaganda zenu za kitoto sababu kubwa ninamna jiwe alivyoendesha nchi kibabe kwa kutumia vyombo vya dola.

Kulikuwa na sababu gani ya kumpoteza Ben Saanane na Azory Gwanda au kumpiga risasi Lissu?


Kwakweli hili mmelikoroga wenyewe na mtalinywa wenyewe.
Hatuwezi kuiombea nchi na viongozi wake wakati neema yenu ni mateso yetu.

Mjue tunawaombea kila lililo baya ili mlipe uhalifu mliolifanyia taifa.
Aaameeen
 
Mungu ni mwema kila wakati na atatutendea Taifa letu yaliyo mema tu. Naamini Magufuli amechokwa na kila mtu mpaka na wale waliomsaidia kuiba kura akina Lubuva, Kipilimba, Nape na Kinana. Na lazima Mkutano Mkuu umtose kama mgombea wa CCM hapo August 2020. Kama washauri wake aliamua wawe ni akina Makonda, Bashiru Ally na Pole pole badala ya wazee wetu wastaafu wenye busara na upeo basi anawajibika kwa haya yanayotokea.

Naamini kama CCM wasipomtosa 2020 tutarajie machafuko makubwa nchini kwa kuwa Magufuli hawezi akapata hata 20% ya kura za kupigwa kwa sanduku la kura. Badala yake atafanya vituko zaidi kuliko uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019. Na wananchi hawatavumilia.

Atambue tu kuwa toka Uhuru wa Tanzania mwaka 1961 Taifa letu halijawahi kuwa na mstakabali mbovu wa kisiasa na kidiplomasia ya Dunia kama kipindi hiki. Kitendo cha Paul Makonda kuzuiwa kwenda Marekani ni ujumbe tu kuwa kuna mengi yanafuata. Mojawapo ni hili hapa;


Magufuli asijidanganye kuwa kwa vile huwa hasafiri nje ya Tanzania basi hayamhusu. Hapana, jina lake na la Kabudi, Mambosasa lipo tu kwa watu ambao hawatakiwi kwenda US, muda tu wa kutaja haujafika

Wamarekani wanazo details za udhaifu wa Serikali ya Magufuli ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za binadamu, ukosefu wa utawala wa sheria, utekaji wa wakosoaji, kubambikia watu kesi, mauaji na ukandamizaji wa demokrasia ya vyama vya upinzani.

Magufuli asijidanganye kuwa anaweza kufanya Tanzania anavyoyaka kama anavyofanya kwenye familia yake, hapana!! Utulivu wa Tanzania una masilahi makubwa kwa nchi za Magharibi hasa US, UK na Germany. Tanzania ikitulia maana yake eneo zima la maziwa makuu limetulia. Waganda walipochafuana miaka ya 1970s walikimbilia Tanzania, Warundi na Wanyarwanda walipochafuana miaka ya 1960s nao walikuja Tanzania. Kuanzia 1960 mpaka 1990s Tanzania ilikuwa Makao makuu ya vyama vya ukombozi vya Afrika kama SWAPO, MPLA, ANC, PAC na ZANU.
Hata Wakenya mwaka 2008 walipouana ni Tanzania iliyohusika kuwapatanisha.

Nchi za Magharibi haziwezi kukubali Magufuli na Makonda waharibu amani ya nchi hii. CCM hamujachelewa mtupeni huyu Magufuli kwenye bahrii kama Yona alivyotupwa alipokataa kwenda NINAWI ili chombo kiendelea na safari. Mkishindwa ataondolewa kwa nguvu na CCM itakuwa imekwisha kama iliyokwisha UNIP ya Kaunda au KANU ya Kenyatta. Uchaguzi ni wenu na muda munao, na uwezo munao.
Aaameenn
 
Wanajifichia kwwnye ushoga na watoto kurudi shule baada ya kupata ujauzito
Wamesahau kitendo cha kuingia clauds ma wanajeshi waliobeba bunduki?
Waliona ni sifa Leo inawatafuna
Wamesahau kufungia magazeti kwa sababu ya kukosoa sirikali?
Wamesahau kumfungulia kesi za uchochezi mmiliki jamii forum?
Mambo ni mengi
#kazinabata


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wanajadili zuio la Makonda kuingia Marekani badala ya kujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Wenye akili ndogo wameanza kusema "Kwani Marekani ni mbinguni? Kwani asipoenda atapungukiwa nini?" Hii ni comment ya Mbunge mmoja wa CCM kule Twitter.

Lakini hoja si Makonda kuzuiwa kuingia Marekani au kuingia Chato. Hoja ya msingi ni madai yaliyotolewa na Marekani kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Makonda.

Pamoja na mambo mengine, Pompeo amesema Marekani ina USHAHIDI kuwa Makonda ameshiriki KUDHULUMU HAKI YA KUISHI KWA WATU KADHAA. Hii ni kauli ngumu sana, inayotafakarisha sana.

Kudhulumu haki ya watu kuishi means kuamua kumuondolea mtu uhai kabla ya wakati wake. Je ni kweli Makonda amefanya hayo? Kwa akina nani? Kwa ruhusa ya nani? Kwa sababu gani? Lini? Wapi? Na kwanini?

Kumbuka taifa lenye teknolojia kubwa kama Marekani linaposema lina USHAHIDI juu ya jambo fulani bila shaka limejiridhisha vya kutosha.

Kwahiyo ili tuwe na mjadala wenye tija tuachane na kujadili zuio, tujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Hata kama asingezuiwa kwenda Marekani, lakini tuhuma alizotajwa nazo ni kubwa sana. Zinaogofya, zinatafakarisha, zinatisha. Kumbuka Marekani imesema ina USHAHIDI na kumbuka Pompeo alikua Mkurugenzi wa CIA kabla ya kuwa Waziri.!
Mkuu umesema kitu sahihi kabisaaa..
Hii nchi kuna wajinga wengi waioelewa lolote hapa duniani Ila ukiangalia Kwa jicho la tatu tunapata picha kuwa hii message imefika Kwa magufuli mwenyewe kuwa DUNIA imemvua nguo Kwa matendo alivyofanya,Kwa akili za kawaida haiwezakani Mkuu wa mkoa afanye unyama na ugaidi alafu ikulu isijue!!

America wametumia indirect speech Kwenye suala hili.PIN iliyowekewa MAKONDA ni ya serikali yote ya magufuli
 
Naona watu wanajadili zuio la Makonda kuingia Marekani badala ya kujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Wenye akili ndogo wameanza kusema "Kwani Marekani ni mbinguni? Kwani asipoenda atapungukiwa nini?" Hii ni comment ya Mbunge mmoja wa CCM kule Twitter.

Lakini hoja si Makonda kuzuiwa kuingia Marekani au kuingia Chato. Hoja ya msingi ni madai yaliyotolewa na Marekani kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Makonda.

Pamoja na mambo mengine, Pompeo amesema Marekani ina USHAHIDI kuwa Makonda ameshiriki KUDHULUMU HAKI YA KUISHI KWA WATU KADHAA. Hii ni kauli ngumu sana, inayotafakarisha sana.

Kudhulumu haki ya watu kuishi means kuamua kumuondolea mtu uhai kabla ya wakati wake. Je ni kweli Makonda amefanya hayo? Kwa akina nani? Kwa ruhusa ya nani? Kwa sababu gani? Lini? Wapi? Na kwanini?

Kumbuka taifa lenye teknolojia kubwa kama Marekani linaposema lina USHAHIDI juu ya jambo fulani bila shaka limejiridhisha vya kutosha.

Kwahiyo ili tuwe na mjadala wenye tija tuachane na kujadili zuio, tujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Hata kama asingezuiwa kwenda Marekani, lakini tuhuma alizotajwa nazo ni kubwa sana. Zinaogofya, zinatafakarisha, zinatisha. Kumbuka Marekani imesema ina USHAHIDI na kumbuka Pompeo alikua Mkurugenzi wa CIA kabla ya kuwa Waziri.!
Umenena ukweli mtupu.

Miezi miwili iliyopita, balozi wa marekani hapa nchini alimtembelea mke wa Azory Gwanda huko kibiti. Alifanya mazungumzo nae

Pia makonda ndiye aliyetuahidi kuwa Mo atapatikana jumamos

Roma mkatoliki
Kijana wa udism

Waliokuwa wanatakiwa kuuwawa
Tundu Lisu
Freeman Aikael Mbowe

Waliopetezwa
Saa8
Azory

Waliofungwa jela
Sugu
Lema
Lijualikali
Mbowe
Mdee

Watu kibao waliokotwa kwenye viroba

Karibia viongozi wote wa chadema wanna kesi mahakamani

This is shame

Yaani huyu ingekuwa Kama general suleman wa Iran, sisi siku hiyo ingekuwa mapumziko na kula bia kwa kwenda mbele

Mungu yupo yanamwisho

Bado Kuna wase

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mwema kila wakati na atatutendea Taifa letu yaliyo mema tu. Naamini Magufuli amechokwa na kila mtu mpaka na wale waliomsaidia kuiba kura akina Lubuva, Kipilimba, Nape na Kinana. Na lazima Mkutano Mkuu umtose kama mgombea wa CCM hapo August 2020. Kama washauri wake aliamua wawe ni akina Makonda, Bashiru Ally na Pole pole badala ya wazee wetu wastaafu wenye busara na upeo basi anawajibika kwa haya yanayotokea.

Naamini kama CCM wasipomtosa 2020 tutarajie machafuko makubwa nchini kwa kuwa Magufuli hawezi akapata hata 20% ya kura za kupigwa kwa sanduku la kura. Badala yake atafanya vituko zaidi kuliko uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019. Na wananchi hawatavumilia.

Atambue tu kuwa toka Uhuru wa Tanzania mwaka 1961 Taifa letu halijawahi kuwa na mstakabali mbovu wa kisiasa na kidiplomasia ya Dunia kama kipindi hiki. Kitendo cha Paul Makonda kuzuiwa kwenda Marekani ni ujumbe tu kuwa kuna mengi yanafuata. Mojawapo ni hili hapa;


Magufuli asijidanganye kuwa kwa vile huwa hasafiri nje ya Tanzania basi hayamhusu. Hapana, jina lake na la Kabudi, Mambosasa lipo tu kwa watu ambao hawatakiwi kwenda US, muda tu wa kutaja haujafika

Wamarekani wanazo details za udhaifu wa Serikali ya Magufuli ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za binadamu, ukosefu wa utawala wa sheria, utekaji wa wakosoaji, kubambikia watu kesi, mauaji na ukandamizaji wa demokrasia ya vyama vya upinzani.

Magufuli asijidanganye kuwa anaweza kufanya Tanzania anavyoyaka kama anavyofanya kwenye familia yake, hapana!! Utulivu wa Tanzania una masilahi makubwa kwa nchi za Magharibi hasa US, UK na Germany. Tanzania ikitulia maana yake eneo zima la maziwa makuu limetulia. Waganda walipochafuana miaka ya 1970s walikimbilia Tanzania, Warundi na Wanyarwanda walipochafuana miaka ya 1960s nao walikuja Tanzania. Kuanzia 1960 mpaka 1990s Tanzania ilikuwa Makao makuu ya vyama vya ukombozi vya Afrika kama SWAPO, MPLA, ANC, PAC na ZANU.
Hata Wakenya mwaka 2008 walipouana ni Tanzania iliyohusika kuwapatanisha.

Nchi za Magharibi haziwezi kukubali Magufuli na Makonda waharibu amani ya nchi hii. CCM hamujachelewa mtupeni huyu Magufuli kwenye bahrii kama Yona alivyotupwa alipokataa kwenda NINAWI ili chombo kiendelea na safari. Mkishindwa ataondolewa kwa nguvu na CCM itakuwa imekwisha kama iliyokwisha UNIP ya Kaunda au KANU ya Kenyatta. Uchaguzi ni wenu na muda munao, na uwezo munao.
Comment imeshiba nondo za uhakika.
Big up mkuu
 
Na Cha ajabu wanahangaika na zitto lakini hawajibu hoja zake, Mimi nikitegemea hizo tuhuma ambazo wanamtuhumu zitto wangesema ya Kuwa hakuna hata moja ambayo Ni ya kweli, lakini Kama hawakanushi yaliyomo badala yake wanabaki kumtuhumu zitto maana yake Ni kwamba wanayafanya hayo na zitto kawaumbua. Siku zote ukiziba watu midomo watatafuta njia mbadala ya kusemea mawazo yao na haya ndo madhara yake. Waliamini ya kwamba haitawezekana kufahamika yanayoendelea lakini dunia Sasa inaelewa
Unazuiwa hata usienda maliwato ''Yaani unazuiwa mkutano na wapiga kura wako lakini anayekuja kwa mbinu ya kukagua miradi ya maendeleo ama eti kukijenga chama anaruhusiwa kufanya mikutano. ukiawa upinzani ni mshirika wa mabeberu 'CCM wajue kwamba wanaopiga kura siyo viongozi wa vyama vya upinzani'
 
Mimi nafikiri hoja sio kwenda Marekani, Marekani ni nchi kama nchi nyingine. Tanzania yetu itajengwa na watanzania wenyewe na sio Marekani. Hatuwezi kuwapigia magoti Marekani. Tuna imani na Rais wetu Mhe. Magufuli na viongozi wote aliowateua kwa kufanya kazi usiku na mchana kwa ajili ya nchi yetu. Watanzania tuache fikra tegemezi, tuchape kazi.
 
Kweli mambo ni mengi
Wanajifichia kwwnye ushoga na watoto kurudi shule baada ya kupata ujauzito
Wamesahau kitendo cha kuingia clauds ma wanajeshi waliobeba bunduki?
Waliona ni sifa Leo inawatafuna
Wamesahau kufungia magazeti kwa sababu ya kukosoa sirikali?
Wamesahau kumfungulia kesi za uchochezi mmiliki jamii forum?
Mambo ni mengi
#kazinabata


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wanajadili zuio la Makonda kuingia Marekani badala ya kujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Wenye akili ndogo wameanza kusema "Kwani Marekani ni mbinguni? Kwani asipoenda atapungukiwa nini?" Hii ni comment ya Mbunge mmoja wa CCM kule Twitter.

Lakini hoja si Makonda kuzuiwa kuingia Marekani au kuingia Chato. Hoja ya msingi ni madai yaliyotolewa na Marekani kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Makonda.

Pamoja na mambo mengine, Pompeo amesema Marekani ina USHAHIDI kuwa Makonda ameshiriki KUDHULUMU HAKI YA KUISHI KWA WATU KADHAA. Hii ni kauli ngumu sana, inayotafakarisha sana.

Kudhulumu haki ya watu kuishi means kuamua kumuondolea mtu uhai kabla ya wakati wake. Je ni kweli Makonda amefanya hayo? Kwa akina nani? Kwa ruhusa ya nani? Kwa sababu gani? Lini? Wapi? Na kwanini?

Kumbuka taifa lenye teknolojia kubwa kama Marekani linaposema lina USHAHIDI juu ya jambo fulani bila shaka limejiridhisha vya kutosha.

Kwahiyo ili tuwe na mjadala wenye tija tuachane na kujadili zuio, tujadili sababu zilizopelekea hilo zuio. Hata kama asingezuiwa kwenda Marekani, lakini tuhuma alizotajwa nazo ni kubwa sana. Zinaogofya, zinatafakarisha, zinatisha. Kumbuka Marekani imesema ina USHAHIDI na kumbuka Pompeo alikua Mkurugenzi wa CIA kabla ya kuwa Waziri.!
Mbona unazunguka kueleza sababu? Sababu au hizo Haki zinazotajwa ni mambo ya ushoga, uko tayari tushangilie haki za mashoga? Kuweni wawazi tu! Hakuna haja ya kuzunguka. Tena iwe jukwaani maana sasa munazomea bila hata kujua maana yake ni nini.
 
Wawe makini na taratibu za uchaguzi, huu utaratibu wa kuwaengua wapinzani kwa kigezo cha fomu uachwe kwani unaonekana kama ubakaji wa demokrasia, na hilo wameliongelea kwenye zuio la kusafiri kwa makonda
 
Back
Top Bottom