Uchaguzi 2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

Kwa hizi hoja ulizotoa una haki ya kupiga kifua na kupaza sauti ukisema "Mimi ni mburula" mara 3
 
Usidanganyike Marekani siyo wa hivyo.Nchi hii ni huru na Magufuli yuko huru na Wamarekani wanamheshimu JPM kama kiongozi halali wewe endelea kupoteza muda badala ya kujitafutia kipato. Maalimu Seif aliwahi piga kambi USA akiomba aapishwe kwa nguvu ya USA hadi kesho tunaye mtaani.
 
Reactions: UCD
Nyinyi watu hamueleweki, Jana mlikuwa mnamlilia Zitto kuwa amesababisha Mabeberu yasitupe mkopo. Leo baada ya Makonda kupigwa stop Marekani unasema sisi hatuwezi kuwapigia magoti Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu ni serious, usilinganishe na chochote. Jiwe kaingia choo cha like this time.
 
 

Hao si ndo wale wabunge wa " Large sex payers" badala ya Large Tax Payers.
 
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiria tamko la mwanadiplomasia mbobevu na nguli toka jalalani.
 
Kwangu mm nampongeza rc makonda kwa kujadiliwa mpaka U.S.A ,politicaly amewin Sana na ameingia katika hansad ya marekani
 
Kwiiisha habari zenu na linalofuata ni The Hague tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…