Uchaguzi 2020 CCM taa nyekundu na muda unawatupa mkono mtoseni Yoha baharini mpone tufani

Hahahah... Yohana ni sikio la kufa. Me naomba tu hali iendelee kuwa tete. Mwisho wa siku labda yohana atatoswa tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao sasa ni sawa na sikio la kufa yaani wanazidi kujikaanga kwa mafuta yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aka kakundi ka wasukuma hapana
 

Upumbavu mtupu. Foolish
 
Mbona unazunguka kueleza sababu? Sababu au hizo Haki zinazotajwa ni mambo ya ushoga, uko tayari tushangilie haki za mashoga? Kuweni wawazi tu! Hakuna haja ya kuzunguka. Tena iwe jukwaani maana sasa munazomea bila hata kujua maana yake ni nini.
Hivi Mzee watu hawawi abducted? Hawapotezi maisha yao? Hawafungwi just because they criticize the government? Kwanini haya mambo yamezidi utawala huu? Unaona sawa damu za watu kumwagika kwa sababu za kipuuzi? Criticizing the government? Tuwe na busara na hekima, Mimi sitetei marekani, I just want to live in peace in my own country, criticize the government and praises it when it deserves, tunauwana kwa sababu IPI? Tunafungana magereza indefinitely kwa sababu zipi? Tito kijana mdogo mmemuweka ndani kwa sababu za kutunga tu just bcz anai criticize government on Twitter? Mkipotezea reli haitafika. Dodoma? Iam done...msituchoshe!
 
Sikio la kufa halisikii dawa. Usijeshangaa mtu tofauti akawajibishwa ili kumlinda mtu fulani. Nchi yetu iko kwenye giza nene.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safari ya magufuli kwenda the hague bila kulipa nauli imewiva. kucheza na mabeberu ni kucheza na moto. time will tell.
 
Ni watu wachache kwenye akili tu.watagundua kuwa US wamemtarget magu. Kupitia kwa bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…