Uchaguzi 2020 CCM tumefanya makosa kwa miaka mitano. Hakuna wa kumlaumu, sasa tulinywe!

Watavuna walichopanda
 
Hela mnachota wapi hivi maana wasanii 200 wote walipwe leo

Sisi huo muda hatuna watapanda machalii wa R tu
 
Ngoja waje wakuite mwanaCHADEMA KAMA MIMI.
 
mkuu kama kweli hu mwana ccm nikupongeze kwa uandishi kama huu ,msema ukweli ni mpenzi wa mungu , kuna sehem ccm walijikaanga wenyewe but mda wa kurekebisha bado hupo jpo haita saidia sana , maana ccm imeingiliwa hata sijui gwajima washirika wake amewaidi nini , na sijui anamuabudu mungu yupi mpaka kwenye madhabau jasho liki mtoka anawaita wachungaji wenzio waropokaji , kweli dunia ina mambo.
sasa gwajima ana pesa na makanisa ila mie sijawai kua na kanisa wala kusali kanisa lolote so kama kipindi flani alivyo mfuta mh mackonda nami leo namfuta gwajima katika uso wa tz na dunia kwa ujumla kuanzia korea na sisemi apigwe kama kauli yake but imekuwa nampa miezi 12 na imekua
 
ccm ni kunguru hafugiki
 
Mwaka tusikubali kuibiwa kura, tuzilinde na tuzisimamie ikibidi tuzipiganie ,tusikubali kuporwa ushindi bora kinuke yametuchosha haya majizi ya kura miaka na miaka.
 
Hahaha, CCM inapenda ubabe. Unayoyasema ni kumpigia mbuzi gitaa. Ukiwa legelege lazima unyanyaswe. Chama Cha Mapinduzi sio chama cha kuonea huruma vyama vingine, kwasababu hakuna chama kinachoionea CCM huruma. Kwahio pambaneni na hali zenu na CCM haijakosea kitu. 🎶Wembe ni ule ule, ushiiiindi.
 
Nyerere alisema,maadui wa kubwa nchi hii ni
Namnukuu "watu,ardhi,siasa safi,uongozi bora".
Ccm ameyaweka kando,adui wa nchi hii amemfanya ni chadema.
Huko ni kuchanganyikiwa na kupoteza mwelekeo.Pisheni!!
 
I hope so
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…