Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
 
Kupona kwa Lissu kwa zile 16 bullets ni unabii. Huwezi kupona wewe hata iweje ni lazima ufe tu.. sasa subirini muone muujiza wa Mungu... ndipo mtatia heshima.

Kheri yetu sisi tuliotambua kwamba huu ni unabii mapema kabisa!! He has a spiritual power within !!
 
CCM wanasahau kuwa

Kila aliyemuombea Lissu dua kimoyomoyo ili asife kutokana na ile kadhia na apone huenda atampa kura yake.

Sasa utaachaje kumpa kura mtu ambaye uwepo wake hai leo ni ushuhuda wa ujibiwaji wa maombi yako na muujiza wa dhahiri wa uponyaji wa Mungu?

Na kila aliyetoa senti kumchangia Lissu ili akatibiwe, naye ni potential mpiga kura wake, maana mtu akipanda mbegu shambani hutaka kuipalilia ikue na itoe na ayashuhudie matunda yake.
 
tatizo amekuwa muongo muongo sana hebu sikiliza hii
Hujafahamu anachosema TL au wajitoa mshipa wa fahamu?? Mwaka huu mtateseka sana
Mkurugenz habari maelezo katoa ufafanuz lkn hakuna kilichojibiwa
Katibu Mkuu wizara ya Fedha katoa ufafanuz hakuna alichoeleza
Polepole kaja kusema Kama kawaida yake porojo na matusi
Kesho mtampanga nani??
Kazi mnayo mwaka huu
 
CCM wanasahau kuwa

Kila aliyemuombea Lissu dua kimoyomoyo ili asife na apone huenda atampa kura yake.

Sasa utaachaje kumpa kura mtu ambaye uwepo wake hai leo ni ushuhuda wa ujibiwaji wa maombi yako na muujiza wa dhahiri wa uponyaji wa Mungu?

Na kila aliyetoa senti kumchangia Lissu ili akatibiwe, naye ni potential mpiga kura wake, maana mtu akipabda mbegu shambani hutaka kuipalilia ikue na itoe matunda.
CCM wamesahau kilicho mtoa Rais Kaunda wa zambia madarakani pamoja na kwamba Rais Kaunda aliwajengea SGR kutoka dar Hadi Kamprimposhi zambia,pamoja na kwamba aliwaletea Uhuru zambia.
 
Anafanya kampeni za nini sasa?

Si akae tu nyumbani unabii utimie wenyewe!
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Yesu ni Mungu.
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Kama kweli we ni Ccm, lazima uvccm wakutukane . Kwao ni kusifu na kuabudu no matter what !!.

Hoja yako ina mashiko. Siasa za vurugu na kutishiana maisha ni ya karne iliyopita. Na nashindwa kuelewa kwanini Ccm wasiongoze mabadiliko kiungwana na kujenga misingi ya kidemokrasi bila violence.
 
Back
Top Bottom