Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Mkuu MAHANJU inawezekana usieleweke kwa mada hii ila ni ukweli mtupu kuwa nguvu ile iliyomwokoa Tundu Lissu na mauti siyo ya kuibeza hata kidogo.....maana nguvu ile haitaishia kumponya tu bali inalenga kufanya kuwa kiongozi mkubwa hapa nchini.
 
sio bure ndani ya Lissu kuna dark matter na dark energy ccm mkitaka kumpoteza mtapotezwa nyie kwenye uso wa dunia.
 
Mkuu usiwaamshe we acha waendelee kutembelea nyota ya mazoea! Lissu anakuja na mahitaji ya wakati!
Waseyempenda kaja,wakubaliana na hali zao.Mh.Lissu hazuiliki kwa nguvu za kibinadamu.Mungu ametuletea Mkombozi wa kurejesha Tanzania kwenye misingi yake ambayo ni Haki,Usawa,Uhuru na Umoja.Hakika maendeleo endelevu yatapatikana kwa Watanzania wote bila Ubaguzi au Vikwazo vinavyoepukika.
Twendeni na Lissu,tuchague Wabunge,Wawakilishi na Madiwani tunaowaamini bila kujalisha vyama vyao.Hata kama ni CCM, kama anafaa tumchague,tulinde kura zetu hadi mwisho waliochaguliwa tu ndiyo watangazwe.Hilo ni jukumu LA kila mwenye sifa za kupiga kura.
 
Kupona kwa Lissu kwa zile 16 bullets ni unabii. Huwezi kupona wewe hata iweje ni lazima ufe tu.. sasa subirini muone muujiza wa Mungu... ndipo mtatia heshima.

Kheri yetu sisi tuliotambua kwamba huu ni unabii mapema kabisa!! He has a spiritual power within !!
... hivi Samia kapotelea wapi. Muda sasa sijasikia habari zake.
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Tangu lini ccm wakawa na masikio
 
CCM wamesahau kilicho mtoa Rais Kaunda wa zambia madarakani pamoja na kwamba Rais Kaunda aliwajengea SGR kutoka dar Hadi Kamprimposhi zambia,pamoja na kwamba aliwaletea Uhuru zambia.
Mkuu kuna sgr inatoka dar mpaka kapirimposhi?
 
Kupona kwa Lissu kwa zile 16 bullets ni unabii. Huwezi kupona wewe hata iweje ni lazima ufe tu.. sasa subirini muone muujiza wa Mungu... ndipo mtatia heshima.

Kheri yetu sisi tuliotambua kwamba huu ni unabii mapema kabisa!! He has a spiritual power within !!
Kila Manzania anashuhudia Matendo Makuu ya Mungu wetu,wengi hufariki kwa risasi moja/hata ya bastola.Mh Lissu kanusurika kwa risasi zaidi ya 16 na baadhi ya vipande vyake bado vipi mwilini mwake.
Wasioona Rohoni wanashindwa kusoma maandishi ukutani na kutafsiri njozi/ndoto.Huu wa Lissu ulikuwa muujiza rahisi kuwabadili hawa majambazi lakini wameshupaza shingo zao.Hawana jinsi tena isipokuwa kulinywa togwa lao.
 
Wewe ni binti wa mzee yule asiyejua kuongea, ni halali yako kuongea hvyo maani ni watoto mnaofuliwa hadi chupi lazima uringe huna shida yaani unasema aliparazwa matako ulaaniwe wewe!
Upinzani ulishakufaga tangu Mzee alivyowakimbia UKAWA
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Mwenye Mungu ana vyote
 
Kila Manzania anashuhudia Matendo Makuu ya Mungu wetu,wengi hufariki kwa risasi moja/hata ya bastola.Mh Lissu kanusurika kwa risasi zaidi ya 16 na baadhi ya vipande vyake bado vipi mwilini mwake.
Wasioona Rohoni wanashindwa kusoma maandishi ukutani na kutafsiri njozi/ndoto.Huu wa Lissu ulikuwa muujiza rahisi kuwabadili hawa majambazi lakini wameshupaza shingo zao.Hawana jinsi tena isipokuwa kulinywa togwa lao.
Unawahubiria mambo ya Mungu watu wanaotegemea nguvu za giza? Angalia Comments za baadhi ya wana CCM ndo utagundua wana highest degree ya Roho mbaya na ushirikina
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Aliyempiga nani tuanzie na hapo ndio mjue Mungu ni wa wote na hajawahi kuchoka wala kushindwa Lissu anasimama kuonyesha Utukufu wa Mungu wewe ni nani hata upinge!?

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
hoja mlenda mlenda
 
Back
Top Bottom