Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

"Ukienda kushoto,ukaenda kulia:kipengele cha kumtangaza mshindi bado wabunge wamekisahau kukifanyia mapitio.
"MSHINDI NI MGOMBEA ALIYETANGAZWA,na wala SIO ALIYEPATA KURA NYINGI"
Ni na maana kuwa uhuru na haki kwa mpiga kura na mgombea katika nafasi ya uongozi utata upo katika maneno yenye herufi kubwa!!
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.

Huyo mwenezi wenu hivi ni kabila gani samahani lakini
 
Ni aghalabu,, aghalabu sana kiasi sina mfano kama ushahidi. ni MUUJIZA.
Ila naamini pia kuwa huu muujiza haumaanishi urais
Urais utokane na sera zake na yaliyo ndani ya moyo wake.

Pengine muujiza umetendeka kwake ili aje ashuhudie binadamu kuwa Mungu anaweza amua lolote alitakalo kuwa na likawa.
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
MAHANJU NI WEWE KWELI AU MWINGINE? NYIE SI NDIO MLITUDHAMBULIA HUMU HADI TUKAZIBA MASIKIO?
 
Katika historia ya Tanzania ndiyo tuna upinzani wenye nguvu kuwahi kutokea
Sahihi. Kuna jamaa zako Lumumba bado wanapinga unajua kama ningekuwa sina muda mrefu humu ningesema wewe ni Bavicha uliyejivisha uccm lakini nakujua vizuri kitambo sana. Ndege John, Imhotep? John the baptist? Britanicca wote wameshabwaga manyanga.
 
Back
Top Bottom