Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Subirini wiki mbili za mwisho wa October, PANDORA BOX litafunguliwa lenye nyeti za mgombea wengi watu lazima wajue INTEGRITY ya boss wenu siyo kuongopea anataka kuwa rais wakati makando kando kibao. Hiyo inaitwa niguse NINUKE. Hao walioko nyuma yake wajiandae kumsafisha. Maendeleo hayana chama
 
tatizo amekuwa muongo muongo sana hebu sikiliza hii
Aneyebebwa na Mungu huwa siyo mwongo na mropokaji; huwa ni mtu makini sana na msema kweli tupu. Lisu hawezi kusimamama akahutubia dakika kumi bila kuweka sentensi yenye uwongo.
 
Asante kuliona hili mwanachama mwenzangu useye pepesa macho. Lisu ni mpango wa Mungu anayebisha abishe kwani muda unazidi kusonga mbele tutaendelea kuyaona.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Mm ni mwanaccm kusema kweli Lisu nimwombea sana.Mungu azidi kumpa uzima na roho ya kusahe. Amina

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Samia, Majaliwa watampa lissu
 
Ameeeen

Hakika Tundu Lissu atashinda..hilo halina mpinzani..mbeba maono hafi
 
internal documents znatambua ccm itakua madarakani mpaka 2100, according na mahojiano ya polepole na timefm,
 
nasubiria tarehe 23 mafile yatolewe tujue nje ndan ya lissu, na yale mawasiliano walikua wanafanya yawekwe hadharani,
 
CCM wasimdharau Lissu, kwanza mwongeaji mwenye ushawishi na maneno mengi. Asiyechoka na anakidhi shauku ya wananchi tofauti kabisa na Lowassa anayesema tu hapo vipi, watatuweza? 2015
Hivyo wawe makini.
 
Upinzani ulishakufa, sasa mnahangaika na wafu/ mfu wa kazi gani? Si mkazike tu? Ni ajabu sana!
 
tatizo amekuwa muongo muongo sana hebu sikiliza hii

Lissu anazungumzia Mikataba ya ununuzi ,wewe umeweka Taarifa ya kujulishwa kutengwa kwa kiasi kadhaa cha Pesa.Mikataba ndio mpango mzima.
 

Usipoteze, sio kwamba aelewi, Hata ki kuelewa
 
Wewe Lu-ma-ga, unanifurahisha sana. Kama kuna nyeti zitafunguliwa, atakayebaki uchi anajulikana. Sidhani kama unajua maana ya PANDORA BOX lakini ngoja nikupe benefit of doubt. Mzee anachokozwa ajaribu tu kuingia huko aone muziki wake lakini mpaka sasa anasita, unajua kwa nini?

Labda huwajui wanaomuunga Mh. Tundu Antiphas Lisu (wengine wao ni wabeba mikoba), lakini mpelekee ujumbe aliyekutuma kwamba akiingia huko, atakuwa kama vile kagusa nyaya za umeme na shoti atakayopata mmh!

Kikulacho kiko nguoni mwako!
 
Kuna mwanamuziki wa Reggae huko Toronto Canada anaitwa Jamal , kapigwa Risasi 30 lakini hajagombea Nafasi yeyote ya Uongozi ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…