Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.
Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.
Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Inakuuma?Kuna mwanamuziki wa Reggae huko Toronto Canada anaitwa Jamal , kapigwa Risasi 30 lakini hajagombea Nafasi yeyote ya Uongozi ,
MAHANJU NI WEWE KWELI AU MWINGINE? NYIE SI NDIO MLITUDHAMBULIA HUMU HADI TUKAZIBA MASIKIO?Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.
Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.
Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Sahihi. Kuna jamaa zako Lumumba bado wanapinga unajua kama ningekuwa sina muda mrefu humu ningesema wewe ni Bavicha uliyejivisha uccm lakini nakujua vizuri kitambo sana. Ndege John, Imhotep? John the baptist? Britanicca wote wameshabwaga manyanga.Katika historia ya Tanzania ndiyo tuna upinzani wenye nguvu kuwahi kutokea