CCM: Ujenzi barabara ya Iringa - Msembe kilometa 104 kufungua fursa Nyanda za Juu Kusini, Ni utapeli Tena?

CCM: Ujenzi barabara ya Iringa - Msembe kilometa 104 kufungua fursa Nyanda za Juu Kusini, Ni utapeli Tena?

Mikataba iliyosainiwa ni mingi mno ya Barabara ila hakuna ujenzi unaoendelea!

Wabunge 2025 mmejiandaa vipi kujibu maswali ya wananchi wakati wa kuomba kura?

Mitano Tena mtamuuzaje ili akubalike?
Wapi huko ujenzi hauendelei?
 
 
 
 
Back
Top Bottom