CCM: Ujenzi barabara ya Iringa - Msembe kilometa 104 kufungua fursa Nyanda za Juu Kusini, Ni utapeli Tena?

CCM: Ujenzi barabara ya Iringa - Msembe kilometa 104 kufungua fursa Nyanda za Juu Kusini, Ni utapeli Tena?

Wakandarasi hawajalipwa, Ile ya Kilolo ni Shida tu
 
 
 
 
Tanroads kujenga barabara ya Tarime-Mugumu kwa Sh81 bilioni


Source: Gazeti la mwananchi,
Jumaa, Novemba 10, 2023
 
Wananchi wanaambiwa mkoa Fulani umepokea fedha za Samia ,billion 47, mkoa mwingine billion 40.

Sasa vituo vya afya na madarasa na shule za wasichana ndio utekwlezsji wa ila za ccm 2020 hadi 2025?
Mnapita mitaani na mitano Tena😳
 
Makandarasi 42 wasaini mikataba kuanza ujenzi barabara za Lindi🤣🤣
 
Back
Top Bottom