CCM Vipande vipande, waliotuhumiwa kuuza madawa ya kulevya awamu ya 5 wapanga kujiuzulu

Sio kwa maccm haya!
 
😆😆😆
 
Kucheleeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal uko sahihi, Chadema sijui kwanini wakusikia Makonda wanapanic wanamuogopa ni JPM tu
 
Wako wengi sanaaa.....Mzee no 2 Chama...na wenhine wengi tuone Prince....na njaa zake kama atatoka maana ajue hata ubunge ndio basi tenaaa.....milele amina ...tunasubiri
Huyo namba 2 tuhuma za unga hayumo
 
Naona mmeshindwa kuwatuliza Lissu na Mbowe wakae chungu kimoja mnaunga unga vistori vyenu

Makonda amewapelekea moto sana hizi week mpaka mmesahau operesheni changia mwenyekiti
Chadema ni Chama Makini. Umakini huo ndiyo uliowapelekea kumrdisha Mwendawazimu Konda Boy chamani eti ndiye anaewaweza Chadema.

Jiwe mwenyewe alinyoosha mikono kwa Chadema aje kuwa huyu Mpayukaji?? Aliwanunua kwa fedha na Vyeo Watendaji Wakuu Chadema lkn bado kikawa Imara kuliko Jana.

Kila wakati tunawaambia jitengeni na Vyombo vya Dola/ wekeni bunduki chini tupambaneni kwa HOJA.
 
Wanatakiwa wakijiuzulu na wafe kabisa wasiwepo itakuwa furaha sana...hao ndio mafisadi na wanaoshirikiana na wakwepa kodi..hii nchi imechoka umaskini kwasababu yao.
Kifo kipo sekunde moja tokea hapo ulipo,hakina mwenyewe.
 
Musiba na sanaya wataziba gepu lao
 
Chadema bwana yao ndani na nje yamewashinda wanapiga majungu kwa CCM yani mna safari ndefu sana kushika Dola nchi hii msipobadilika

Awamu ya pili ya ziara ya Mwenezi Makonda ni nyanda za juu kusini jiandae kisaikolojia
 
 
Vp Mkuu bado utachukua Form ya kuomba ridhaa ya CCM kuwa Mgombea wao wa Ubunge??? Huyu unaemsema hapa hata wewe mwenyewe unamfahamu fika kuwa hazimo. Ukimfuata sasa hivi ukamuuliza alichozungumza kule Kagera wala hakumbuki. Shida yako kubwa umeanza kuwa "CHAWA UZEENI "
 
Ninakupongeza sana kwa kukipigania chama pendwa CCM na kutotaka mgawanyiko ndani ya chama. Huu uzi wako ni mzuri kwasababu unatukumbusha CCM kufuatilia hili suala kama lipo. Ndugu Erythrocyte kwa dhati kabisa nakushukuru kwa kukipigania Chama Cha Mapinduzi na kutaka kuona CCM imara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…