Watu adui zako wanapata cheo. It's an every day thing. Kwa nini ujiuzulu?
Rais anapowapa wale watu vyei hakuulizi wewe maoni yako.
Hakuna ushahidi kwamba Makonda alimsingizia mtu yeyote. Makonda mwenyewe alisema alipoulizwa,mbona umeiacha hii kampeni dhidi ya madawa ya kulevya; Ah,bwana,wanasema niache,wanasema inaleta taharuki. "Huwezi hata kuamini ni nani wanaowafadhili hao watu"
Isipokuwa tu Makonda alipata matatizo mahakamani alipotaka kuwasaidia makahaba waliotelekezwa na watoto.
Nimemsikia dereva mmoja wa daladala(Musoma) anazungumza juzi.
Anasema,"Basi,bwana,wake wanawake wakaenda mahakamani kulalamika. Wakaitwa wazazi wa wale wanawake. Wakaulizwa mnawafahamu hawa jamaa wanaolalamikiwa? Wakasema hatujawaona hata siku moja. Basi,anasema,mahakama ikaamua,hayo mambo hayahusu mahakama,transactions za watu wanazofanya mitaani bila kuwashirikisha wazazi.