Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kuna mjumbe wa mtaa wangu leo aliniambia CCM inaandikisha kadi za chama na pia inachukua namba za NIDA!
Nani ameruhusu zoezi hili?
Nani ameruhusu zoezi hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usituchonganishe sisi Watanzania na Wajumbe, hao ni viongozi wa CCM katika ngazi za Mashina na wao wapo kwa ajili ya wana CCM na tunaishi nao vizuri tu.Nchi ya kijinga sana,na hawa wajumbe ndiyo maadui namba moja wa Watanzania.
Sissa za CCM ni za Hila, ufitiniSiasa ni Sayansi 😂🔥
Ewaaaaaa hizo sasa ndio hasira, Unahama na mtaa kabisaMbona hiyo ni kawaida kila ukikaribia uchaguzi mkuu?
Mimi mwaka 2015 alikuja mjumbe akataka namba zangu eti tutapewa kipaumbele kwenye kupewa kitambulisho cha mpiga kura nilikataa alikasirika sana nikahama na mtaa kabisa.
Utaweza kupambana na chama tawala?Mimi atakayekuja nyumbani kwangu kuniletea huo upuuzi ajue panga litamhusu
Hivi CHADEMA huwa haina wajumbe wa mitaa?Kuna mjumbe wa mtaa wangu leo aliniambia CCM inaandikisha kadi za chama na pia inachukua namba za NIDA!
Nani ameruhusu zoezi hili?
CCM ni Chama dola, Taasisi zote zipo chini ya CCM.. ikiamua inaweza kupiga simu moja hapo NIDA makao makuu na kutumiwa taarifa zozote za Raia wanayemhitaji..Kuna mjumbe wa mtaa wangu leo aliniambia CCM inaandikisha kadi za chama na pia inachukua namba za NIDA!
Nani ameruhusu zoezi hili?
Sidhani kama ni rahisi hivyo kupata taarifa za watu kutoka NIDA, ingekuwa rahisi hivyo tusingekuwa tunasumbuliwa na kupeleka copy za vitambulisho ofisi mbalimbali za serikali. Pia unapaswa ufahamu uchaguzi ni suala la kwenye mtaa/kijiji na raia huwa wanahama mitaa au vijiji.CCM ni Chama dola, Taasisi zote zipo chini ya CCM.. ikiamua inaweza kupiga simu moja hapo NIDA makao makuu na kutumiwa taarifa zozote za Raia wanayemhitaji..
Bora uulize kwa makini kwanini wanafanya hivyo NIDA zinaenda kutumika wapi?.
Kama ni mfumo wa KUJISAJIRI katika app ya CCM hapo sawa.. kama ni nje na matumizi hayo kuna kila sababu ya kuhoji ni si lazima ni hiari
Hawa mbona wepesi kabisaUtaweza kupambana na chama tawala?
Hakuna kitu kama hiko. Nida ni sensitive informationKuna mjumbe wa mtaa wangu leo aliniambia CCM inaandikisha kadi za chama na pia inachukua namba za NIDA!
Nani ameruhusu zoezi hili?