Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Nchi Hii Sheria Hazifuatwi Ni Wanyonge Tu Watakaoonewa Muda WoteKuna mjumbe wa mtaa wangu leo aliniambia CCM inaandikisha kadi za chama na pia inachukua namba za NIDA!
Nani ameruhusu zoezi hili?