Kilichopo ni maslahi na makundi ndani ya chama... Kundi litakaloshinda nguvu ndio mtu wao atatolewa ama atabakishwa... Naijua ccm nje ndaniHawezi kufukuzwa huyo. CCM hawafukuzi mtu kwa kutoa maoni au kwa kuzungumza bungeni. Hii ndiyo tofauti kati ya ccm na wapinzani, wao wapinzani hawana uvumilivu hata wa maoni ndani ya chama. Mpaka usikie mtu kafukuzwa ccm basi ni issue kubwa. Usije kushangaa Mpina akarudi tena kupitishwa kugombea ubunge.
Refer to Nape, alimtusi mhe Mwenyekiti na bado jina likarudi!!
Mkuu umekula maharage ya wapi leo mbona unaota mchana kweupe? Au umekula kitu ya Arusha?Chadema inahujumiwa na viongozi wao wanaokula meza moja na ccm kwa Siri lakini mbele ya wanachama wao wanajifanya mahasimu wa ccm!!
Ndio maana wafuasi wao wengi wamelitambua hilo siku hizi na nyongo imewatumbukia! They are no longer enthusiastic na chama na ndio maana hata hayo maandamano yalikuwa hafifu!
Viongozi wajitafakari na kuona kama kuendelea kuwepo kwao kuna faida kwa chama au ni kwa maslahi yao na familia zao.
Mimi sio kondoo kama wewe; huoni kondoo wenye kupata akili wamezinduka kufanywa kitega uchumi!Mkuu umekula maharage ya wapi leo mbona unaota mchana kweupe? Au umekula kitu ya Arusha?
hili ndio swali la msingi, Jibu lake NDIOHakuna uhakika 100%. Tusubiri kwanza. Hivi ni kwanini mtu yeyote anayetetea maslahi na rasimali za taifa anaonekana ni CHADEMA? Hivi huko kwenye vyama vingine hakuna wazalendo?
Kama mtamchukua awe mwanachama wa kawaida,Mkirogwa kumchukua Chadema mtapoteana na hamtaamn,huu ni mkakati uliosukwa vzuri kuandaa kada mtiifu wa CCM, mtu mwenye ushawishi na anayeendana na sera za chadema Ili apewe nafasi ya maamuzi ktk upinzan na awavuruge.
Jibu swali kwanza. Kwanini mtu yeyote anayetetea maslahi ya wanyonge na rasilimali za taifa anahusishwa na CHADEMA?Mimi sio kondoo kama wewe; huoni kondoo wenye kupata akili wamezinduka kufanywa kitega uchumi!
As long as huyo mjasiliamali wenu ataendelea kuwa Mwenyekiti wenu hamfiki mbali; mtabaki kuwa saccos yake. Ndio maana wenye akili wanaangalia viable options za kupata chama kingine makini. Huo ndio utakuwa mwisho wa siasa za ubabaishaji.
Huna lolote wewe.unawashwa na mambo usiyoyajua.unaokoteza stori za vijiweni unakuja kuropokea uku.Usifikiri watu wote ni wajinga.mbowe atatoka muda ukifika sio kwasababu ya nyie kunguni mnaosumbuliwa na chuki.Mimi sio kondoo kama wewe; huoni kondoo wenye kupata akili wamezinduka kufanywa kitega uchumi!
As long as huyo mjasiliamali wenu ataendelea kuwa Mwenyekiti wenu hamfiki mbali; mtabaki kuwa saccos yake. Ndio maana wenye akili wanaangalia viable options za kupata chama kingine makini. Huo ndio utakuwa mwisho wa siasa za ubabaishaji.
Hatumtaki chadema, huyu mnafiki tu abaki huko huko kwa mafisadi wenzake.Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.
Wapumbavu sana ccm. Yan hata huoni wakihoji kama anavyosema ni kweli au laah ila tu sababu anaongelea maswala ya maslai yao binafsi basi amekuwa tatizo kwao, ccm ni wabinafsi haijawah tokea duniani hapa, ccm wanapenda wainba mapambio tuKwa nini asikimbilie mahakamani kama covid-19, akomae humo humo kupiga majizi spana,
Leo nimelala usiku kucha gizani, yaani Tanesco wana mgao hadi wa usiku, na joto hili la Dar na mbu mnalaza watu usiku mzima bila umeme, bado maswala ya kiusalama........wakiongea watu kama Mpina kupinga wizi na matumizi mabaya ya pesa za umma mnawaona maadui.
Mkuu umeongea vema lakini naomba nikukumbushe kwamba hii hoja haihusu maandamano na utengamano bali inahusu CCM kumfukuza Luhanga Mpina baada ya kuonekana anatetea maslahi ya umma na rasilimali za taifa.upinzani siyo uhasimu na CCM haiogopi wapinzani, sera za CCM ni pamoja na kujikosoa na kuchagiza maendeleo. wapinza wanakaribishwa sana katika hoja zenye kulinda tunu za Taifa letu si kupinga tu ilimradi kupinga, Mama ameachana na siasa za maji Taka amewapa nafasi Muandamane lakini mwisho wa siku Nchi ni yetu wote. na maendeleo ya mtu binafsi yanabakikatika jukumu lake.
Mkuu are you serious? Ufisadi wa trilion 2 aliofanya Mwigulu kwenye SGR na uuzaji wa nchi kwa waarabu wa DP World ni mambo ya kufikirika? Kuwa serious walau kidogo basi. Mbona watu mnakosa uchungu na rasilimali za taifa kiasi hiki?Nadhani lengo ni kumuonya aache utunzi wake wa mambo ya kufirika, asipojirekebisha aelewe kinachofuata wanamtimua.