CCM wajifunze sasa waachane na viongozi wenye utata kwenye matokeo ya elimu na wenye utata wa vyeti

Haswaaaa, kama ulikuwepo. Misikiti ya pale seafront yote iligeuzwa makanisa.
Misikiti ipi Sasa kila kanisa Lina historia ya ujenzi. Wakati wa waarabu Dar es salaam hakuwepo. Mambo yalikuwa bagamoyo. Ukoloni ndio umejenga makanisa.
 
Unaweza kusoma lakini usielemike, kama Magufuli.

Wasomi wa Tanzania ni utumbo kama yule aliyekwenda bungeni kuwapima samaki waliopikwa kwa ruler.

Sasa huyo 'msomi" kaelimika kweli?
Nawew uanjionaga una point kumbe debe tupu na chuki binafs inakuteza popote ulipo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Duh wee ndio think tank la waislamu inchni

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kaz gani huyu mama ameweza kufanya kazi zote Ni za jemedari wetu magufuli ,magufuli for live viwango vyake havikamatiki Wala Hakuna atakae weza kumfikiaa magu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kama nape kumbe ni failure alipata IV 29
Ulielewa alichokisema Chongolo au unakurupuka tu?.
Chongolo
Tunzeni na huko juu
Chongolo anafahamu nini kuhusu mkataba, analeta maneno matupu haonyeshi yameandikwa wapi katika mkataba kwa sababu wamezoea kuwaongopea wananchi
 
Jiwe alikuwa na elimu ya magumashi
 
Nawaona nawaona
 
Unaweza kusoma lakini usielemike, kama Magufuli.

Wasomi wa Tanzania ni utumbo kama yule aliyekwenda bungeni kuwapima kwa rula samaki waliopikwa.

Sasa huyo 'msomi" kaelimika kweli?
Halafu wabongo ni watu wa kusahau haraka na kufata upepo... Leo hii washasahau aloyafanya huyo mpima samaki

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lilikuwa kubwa zaidi pale Magufuli alipoingia madarakani na PhD fake
 
Job Ndugai kasema ukweli kwenye negotiations na mambo muhimu ya kitaifa ni vyema kupeleka watu waliojizatiti vyema kielimu,maadili,watu wanaoweza kushauri bila kuegemea maslahi ya mtu wala watu.CCM inapeleka watu 0 darasani,wenye njaa kupindukia,watu ambao ni chawa na sio washauri matokeo yake ni kama haya ya DP world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…