CCM walienda kufanya "show off" na uvunjifu wa Katiba Yao wenyewe, haukua mkutano!

Chukuwachakomapema ni hatarii kwa afya ya MDANGANYIKA!
 
Hivi wale machangudoa wa bongo movie zaidi ya kwenda kulala na wajumbe na kuwaachia maradhi kwa zile siku mbili, wana mchango gani zaidi ndani ya chama au hili taifa letu?
 
Specifically.

Wamevunja.

Katiba ya CCM ya 1977 toleo la Disemba 2022, ibara ya 100 (5) c.
Na hawa ndio wanawaita Wachawi na akasema Wameshakufa au km wapo basi Watawaua mmoja baada ya mwingine
 
Tupe ushahidi wa kuvunjwa Katiba ya CCM? Taja ibara au vipengele husika
 
Ilikua ni LAZIMA akubali maana na yeye ni mnufaika wa mfumo a
Kwani na Wazee kama yeye bado wana tamaa zile zile kama za zamani za maisha ??!
Je Wazee wenye tamaa wanaweza wakasimamia haki ??!
Mimi naamini mtu akishakuwa Mzee hapaswi kuwa na tamaa tamaa ya maisha ! Anatakiwa asimame kwenye ukweli na ausimamie huo ukweli 🙏
Ilikua ni LAZIMA akubali maana na yeye ni mnufaika wa mfumo a
 
Tamaaa ipo hadi siku MTU anaingia kaburini Ndugu yangu
 
ccm akili zao bana wao wanarudisha akina wasira huku chadema wanasema mbowe has to go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…