gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Alienguliwa na nani?.Au mimi ndio sijui maana au yofauti ya kuenguliwa au mtu kushindwa uchaguzi kwa matokeo yake kuporwa.Profesa Jay ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani ambao kuenguliwa kwake kuliwauma hata CCM wenyewe.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app