Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Alifika Bei Kama Asemavyo Mwenyekiti Wa Ccm Mkoa Wa MaraAlishanunuliwa kipindi Cha mwendakuzimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifika Bei Kama Asemavyo Mwenyekiti Wa Ccm Mkoa Wa MaraAlishanunuliwa kipindi Cha mwendakuzimu.
Profesa Jay alikuwa anahudhuria kwenye kesi ya Mbowe. Wacha njaa yako chukua hiyoProf J wakati mzima hakuwahi kumtembelea mbowe na hajawahi kusema Mbowe siyo gaidi.
Watakwenda tu hata mbowe mwenyewe anajua!Segerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
Ila taga wote ni kama mbwa mwitu wenye kuvalia ngozi ya kondoo, Kaa nao kwa wema ila usiwaamini🤔.Ugonjwa hauna siasa wala dini acha utoto ,inapofikia suala la ugonjwa weka mbali siasa na ujinga,J alikuwa mbunge wa wote,nyimbo zake hazisikilizwi na cdm tu, daaaaaaaah hufanani na kituko ulichoandika,umeongea funza
Mlimsusa baada ya mkewe kutoa namba ya kuingiziwa michango.Tinacheza kote kote mbali na usanii tunaochezewa na mataga &co.
Unahakika na usemalo kwani tinawajueni🤔.Mlimsusa baada ya mkewe kutoa namba ya kuingiziwa michango.
Mna vijimambo nyie dah
Huyo j alishafika Bei kitambo. We ulimuona akiangaika na kesi ya mbowe.
Dunia inaenda kasi sana. Ni mwaka sasa tangu aondoke yule mwovu.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alkhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi...
Mbona unaishi kwa hisia,Huyo j alishafika Bei kitambo. We ulimuona akiangaika na kesi ya mbowe.
Huyo j alishafika Bei kitambo. We ulimuona akiangaika na kesi ya mbowe.
Yaani CCM waliumia baada ya Kitendo Chao Cha Kumuengua Prof Jay sio ?Profesa Jay ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani ambao kuenguliwa kwake kuliwauma hata CCM wenyewe.
Kwahiyo wameenda kumuona mtu wao..mwana wa mitulinga.Prof J wakati mzima hakuwahi kumtembelea mbowe na hajawahi kusema Mbowe siyo gaidi.
Mama Samia alienda Kama unakumbukaIla undercover wao akimmiminia mpinzani risasi 16 hawamjulii hali.
Pingq kwq factsUnahakika na usemalo kwani tinawajueni[emoji848].
Kwa nini?Profesa Jay ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani ambao kuenguliwa kwake kuliwauma hata CCM wenyewe.
Hawana taarifa yoyoteSegerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?