Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Thanks all the same .. I think I have been too inquisiveRespect bro.
Let your ego not drive you out of your dignity.
Leave this kind of the statements to noise makers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks all the same .. I think I have been too inquisiveRespect bro.
Let your ego not drive you out of your dignity.
Leave this kind of the statements to noise makers.
Hukumu inatoka liniHao wanafaa kunyongwa kabisa Sio kutembelewa
USSR
Una maslahi gani kwenye hiliBavicha wamezingua sana kwenye issue ya Jay!
Mwisho wa siku wote wako kwenye shida.. Tofauti ni majengo tuuUgonjwa hauna hiyari, ugaidi una hiyari.
Wala haachi kukusalimuMchawi hakunyimi maji
Nilijaribu tu kuhojiKumbuka ni Jambo la hiyari.
HATA HILI LILILOFANYIKA Ni jambo zuri na la kupongezwa.
Vinginevyo inabidi tuambiane mara ya mwisho CHADEMA kuhudhuria shughuli za serikali kila wanapoalikwa au kumwona kiongozi wa CCM anapoumwa.
....After all; hata wakienda kumwona Mbowe wapinzani bado hawataishiwa cha kusema.
Mchonganishi huyu, na kinyonga rangi ya kijaniUna maslahi gani kwenye hili
Acha kumshutumu awehuru kuuongea Kwa uhuru, na utoa maoni yake bila kuzongwa ni haki yake ya msingi.Respect bro.
Let your ego not drive you out of your dignity.
Leave this kind of the statements to noise makers.
Chadema wapo bize mahakamani
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alkhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi...
Sio kuenguliwa sema kuporwa na akina mafweza kwa ushirikiano na neckccm🤔Profesa Jay ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani ambao kuenguliwa kwake kuliwauma hata CCM wenyewe.
Tinacheza kote kote mbali na usanii tunaochezewa na mataga &co.Chadema wapo bize mahakamani
Hukumuona Chief Hangaya ameenda kumsalimia Tundu?Najua Kitendo mlichokifanya kwa Wapuuzi wengi waliopo mtapata Sifa na Kupongezwa ila kwa Werevu wachache ndiyo wanazidi tu Kuwadharau japo mlishadharaulika Kitambo tu...
Hii thread naiwekea lamination nitaisoma Hadi 2030 Mungu akiniweka hai. Hili kundi la Wanafiki linaloshangilia matatizo ya Wapinzani Leo kujifanya wema kuliko Wema Sepetu ni janjajanja ya kijinga.Najua Kitendo mlichokifanya kwa Wapuuzi wengi waliopo mtapata Sifa na Kupongezwa ila kwa Werevu wachache ndiyo wanazidi tu Kuwadharau japo mlishadharaulika Kitambo tu...
Inpekta Swila kaenda hospital binafsi kuchukua ED baada ya kupigwa spana na Kibatala mkojo ukajaa kwenye suruali.Wasisahau na Afande Swilla anaumwa,shahidi wao waende wakamwone
Acheni hizo kwenyekesi ya Mbowe yeye ndiye alimtonya Kibatala yule jamaa iliyekuwa anachabo!!Kumbe! Ndio maana akawa kimya mda mrefu