Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hawajabeba picha ya Mamasamia!
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alkhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi...
Unataka walipuliwe?Segerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
Hao wanafaa kunyongwa kabisa Sio kutembelewaSegerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
Bavicha wamezingua sana kwenye issue ya Jay!Segerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
[emoji106]Wazee wa nongwa aka wasio na jema..
wasingekwenda mngesema, wamekwenda mnasema.
ukisimama n'chale, ukikaa n'chale, ukiruka n'chale, ukikimbia n'chale. (in makonde vocal).
Ugonjwa hauna hiyari, ugaidi una hiyari.Segerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
Prof J wakati mzima hakuwahi kumtembelea mbowe na hajawahi kusema Mbowe siyo gaidi.Vipi Prf J hakuwagusia na kuwaeleza kuwa Mbowe sio gaidi..waende pia kumjulia hali.
#MaendeleoHayanaChama
Si uende memkwa ukajifunze kuandika mbona unajiaibisha humu jf?kama sio uadui.mjaacha kuteka watu,kukandamiza demokrasia,kusumbua watu na hii
May he get well soon. Huyo wife wake yuko njema. Wenyewe wanaita pis kali.
Kumbuka ni Jambo la hiyari.Segerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
UtanistuaNasubiri Jibu
Hahaha, ww mwenyewe umekosea mistari pitia tena, ila Profesa apone haraka kwa uwezo wa Mungu.Dada habari samahani naomba nikuulize akajibu koma tafadhali hii ngoma gari Eeh unajua dada WE vipi embu nipishe dada mbona mkali we kinyago kubali yaishe
Jay