Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua Kitendo mlichokifanya kwa Wapuuzi wengi waliopo mtapata Sifa na Kupongezwa ila kwa Werevu wachache ndiyo wanazidi tu Kuwadharau japo mlishadharaulika Kitambo tu...
Ugonjwa hauna siasa wala dini acha utoto ,inapofikia suala la ugonjwa weka mbali siasa na ujinga,J alikuwa mbunge wa wote,nyimbo zake hazisikilizwi na cdm tu, daaaaaaaah hufanani na kituko ulichoandika,umeongea funzaNajua Kitendo mlichokifanya kwa Wapuuzi wengi waliopo mtapata Sifa na Kupongezwa ila kwa Werevu wachache ndiyo wanazidi tu Kuwadharau japo mlishadharaulika Kitambo tu...
Mama Samia alienda, nyarandu alienda, Mzee mwinyi alienda
Safi saaaana kipenzi Cha watu huyu
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alkhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shaka...
Nilitamani kumjibu lakini umechukua majibu yangu yote. Safi sana.Ugonjwa hauna siasa wala dini acha utoto ,inapofikia suala la ugonjwa weka mbali siasa na ujinga,J alikuwa mbunge wa wote,nyimbo zake hazisikilizwi na cdm tu, daaaaaaaah hufanani na kituko ulichoandika,umeongea funza
Alimaanisha Fare.Hiyo fair hiyo[emoji848]
Kuna umri ukifika unatakiwa kuwa na hekima kuliko hisia. Mshanajr nahisi kabisa kwa uelewa wake kimtazamo hahitaji kuwaza kama nyie mabachelor sugu wa mjini msiojua hata familia zinavyoongozwa.Acha kumshutumu awehuru kuuongea Kwa uhuru, na utoa maoni yake bila kuzongwa ni haki yake ya msingi.
Huna jema. Tumia japo kipande kidogo tu cha akili yako kukubali kuwa chadema wamemtelekeza Jose, CCM wamemwona ni sehemu ya wahitaji. Wameamua kumsaidia.Mchawi hakunyimi maji
Walienda waliporudi wakapata kitisho toka kwa Mwenyekiti hayati.Mama Samia alienda, nyarandu alienda, Mzee mwinyi alienda
Familia ilifanya ugonjwa wa Prof jay ni private issue ndio maana hukuona Chadema wakiweka hata habari ya ugonjwa.Ni jana familia imekubali kuja public.Bavicha wamezingua sana kwenye issue ya Jay!
Usitufokee! Hakuna aliyewaomba hao team watesi wa watanzania kumtembelea Profesa J, wamejipendekeza wenyewe.Wazee wa nongwa aka wasio na jema..
wasingekwenda mngesema, wamekwenda mnasema.
ukisimama n'chale, ukikaa n'chale, ukiruka n'chale, ukikimbia n'chale. (in makonde vocal).
..hii ngoma aghali sio gari..watu wa njombe bwanaDada habari samahani naomba nikuulize akajibu koma tafadhali hii ngoma gari Eeh unajua dada WE vipi embu nipishe dada mbona mkali we kinyago kubali yaishe
Jay
Wazee wa nongwa aka wasio na jema..
wasingekwenda mngesema, wamekwenda mnasema.
ukisimama n'chale, ukikaa n'chale, ukiruka n'chale, ukikimbia n'chale. (in makonde vocal).
Na Inspekta Swilla. @Wa Mivhongo mtakwenda kumwona lini?Hao wanafaa kunyongwa kabisa Sio kutembelewa
USSR
Risasi zina hiari? Huu wema wa mkorogo CCM mmejipaka lini?Ugonjwa hauna hiyari, ugaidi una hiyari.
Hivi unajua kilichomkuta Hangaya alipomtembelea Lissu hospital kule Nairobi???
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alkhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Shak...
Halafu kule kwetu kuna nyoka anaitwa swila ni balaa huyoNa Inspekta Swilla. @Wa Mivhongo mtakwenda kumwona lini?